Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAMISS ‘VICHWA’ WALIOGOMA KUPOTEA!

Millen Magese. Na Hamida Hassan
LICHA ya fani ya u-miss hapa nchini kughubikwa na changamoto mbalimbali ikiwemo tabia mbaya mbele ya jamii hususan kipindi cha hivi karibuni, lakini baadhi ya washindi na washiriki wa shindano hilo ambao ni vichwa wamejitahidi kusimama thabiti katika mbio za kukimbizana na mafanikio. Wapo wachache walioajiriwa na serikali pamoja na makampuni na mashirika binafsi kutokana na ujuzi wa taaluma zao...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Waliogoma Tazara waburuzwa kortini

Makao Makuu ya tazara, Dar es SalaamWAKATI mgomo wa wafanyakazi wa Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia (TAZARA) ukiingia katika siku ya tano leo, menejimenti ya mamlaka hiyo imewashitaki Mahakama ya Kazi wafanyakazi wote waliogoma, kushinikiza kulipwa mishahara yao ya miezi mitano.

 

11 years ago

Habarileo

Kinana atuliza wakandarasi waliogoma

KATIBU Mkuu wa Chama Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana, amefanikiwa kuwarejesha kazini wakandarasi waliogoma kufanya kazi ya ujenzi wa barabara za Mkoa wa Rukwa, kutokana na kutolipwa fedha za ujenzi kwa wakati. Wakandarasi hao waligoma kutokana na kile kinachoelezwa Serikali kuchelewa kuwalipa fedha zao, hali iliyowafanya waondoe vifaa vyao na kusimama kwa kazi ya ujenzi na kusababisha usumbufu kwa wakazi wa mkoa huo kutokana na ubovu wa barabara hizo.

 

10 years ago

GPL

MAMISS MORO WAMCHEFUA MEYA WA DAR

Na Danstan Shekidele/Risasi Mchanganyiko
ONESHO la burudani ya warembo lililoitwa Miss Valentine, lililofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita katika Ukumbi wa Vybe mjini hapa kusherehekea siku hiyo ya wapendanao, liligeuka kuwa kichefuchefu mbele ya aliyekuwa mgeni rasmi, Meya wa Jiji la Dar es Salaam, Didas Masaburi. Mrembo akipita jukwaani katika onesho la burudani ya warembo lililoitwa Miss Valentine huko Morogoro. Mmoja wa...

 

10 years ago

Vijimambo

HAYA NDIO MADAI YA MADEEVA WALIOGOMA

Madai hayo ni pamoja na kupewa mikataba bora ya ajira, ambayo itahusisha utaratibu wa ulipwaji wa mishahara ili kuisaidia serikali kukusanya kodi tofauti na ulipwaji wa posho ambao unatumika sasa kupitia huduma za kibenki yazinayotolewa kupitia simu za mikononi.
Wanadai utaratibu huo wa sasa umekuwa ukiwafanya wadhalilike kwa kulipiwa na abiria chakula na kinywaji mahotelini wanapokuwa safarini.

Mengine ni kupinga uamuzi wa serikali wa kuwataka kurudi chuo kusoma wakidai kuwa hakuna jipya...

 

9 years ago

BBCSwahili

Waislamu waliogoma wafutwa kazi Marekani

Waislamu 200 wanaofanya kazi katika kiwanda kimoja cha nyama Colorado, Marekani wamefutwa kazi baada yao kugoma.

 

9 years ago

MillardAyo

Achana na headlines za Steve Harvey za Miss Universe, kutana na list ya mastaa kumi wa soka waliowahi kudata kwa mamiss …

Najua headlines za Mashindano ya Miss Universe zimemalizika wiki hii, licha ya kuwa MC  wa sherehe hiyo Steve Harvey kumtangaza kimamkosa Miss Colombia Ariadna Gutierrez Arevalo kama mshindi ila baadae alisahisha kosa hilo, mtu wangu wa nguvu December 24 naomba nikusogezee mastaa kumi wa soka waliowahi kudata kwa mamiss. 10- George Best na Mary Stavin Staa wa zamani wa klabu ya […]

The post Achana na headlines za Steve Harvey za Miss Universe, kutana na list ya mastaa kumi wa soka waliowahi...

 

10 years ago

Michuzi

MISS TANZANIA USA PAGEANT YAPAMBA MOTO, MAMISS WAANZA KUWASILI TAYARI KUWASHA MOTO LEO JUMAMOSI


 Kutoka kushoto ni Maria Rutayuga kuotoka Maryland, Jesca Kalemera kutoka New Jersey, Mercy Sukaya kutoka Michigan na Grace Mlingi kutaoka Maryland. Washiriki wakimsikiliza mmoja ya waratibu alipokua akiwaelekeza jambo kwenye hotel waliyofikia ya Double Tree iliyopo Dwntown Silver Spring.
PICHA ZAIDI BOFYA HAPA

 

10 years ago

GPL

MISS TANZANIA USA PAGEANT YAPAMBA MOTO, MAMISS WAANZA KUWASILI TAYARI KUWASHA MOTO LEO JUMAMOSI‏

 Miss Tanzania USA Pageant kesho itafikia ukingoni itakapofanyika Downtown, Silver Spring Maryland nchini Marekani katika picha Jesca Kalemera (aliyesimama) akijinoa mwishomwisho mbele ya washiriki wenzake huku Pendo Rancy (kushoto) mmoja ya waratibu wa Miss Tanzania USA Pageant akimsikiliza wengine katika picha ni washiriki wa Miss Tanzania USA Pageant 2014 Maria Rutayuga (wapili toka kushoto), Mercy Sukaya (watatu toka...

 

10 years ago

GPL

KUPOTEA KWA UJAUZITO (PSEUDOCYSIS)

Tatizo hili pia huitwa ‘false Pregnancy’ au Phantom Pregnancy au Hysterical Pregnancy’ na wataalamu wengine huita ‘Pseudo pregnancy’.Mwanamke mwenye tatizo hili hujihisi ni mjamzito lakini baada ya muda huona siku zake kama kawaida. Mwanamke anakuwa na dalili zote za ujauzito   kama matiti kujaa, chuchu kuuma, kuhisi kichefuchefu na hata kutapika asubuhi au kutopenda baadhi ya vyakula lakini...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani