Masongange akana kuwa na ujauzito wa Davido
Agnes Masogange.
MWANAMITINDO Agnes Masogange, amekana kuwa na ujauzito wa mwanamuziki maarufu wa Nigeria aitwaye Davido, hii ni baada ya Agnes kuandika kwenye mtandao kuonyesha upendo wake kwa mwanamuziki huyo.
Hata hivyo, Agnes amemaliza mkanganyiko huo na kuzifuta picha zote zilizoleta taharuki na kuweka picha ya mpenzi wake halisi wa kiume.
Hata hivyo, Davido bado hajatoa kauli yoyote kuhusu suala hilo.
Global Publishers
Habari Zinazoendana
11 years ago
Bongo Movies17 Jun
Wema ‘akana’ kuwa na ujauzito wa Diamond! Ila afunguka haya mazito, soma hapa
Baada ya stori nyingi kuzagaa kuwa mwigizaji na mpenzi halali wa mwanamuziki wa bongo fleva Diamond Platinumz – Wema sepetu kuwa yu mjamztio wa wiki 7 na mimba ya msanii huyo, hatimaye leo hii mwanadada Wema ameamua kufunguka “exclusively” kwenye mtandao mmoja wa kijamii na kujibu habari hizo akisema haya yafuatayo kama tunavyomnukuu hapo chini…
“Jamani hizi habari za mimi kuwa pregnant(mjamzito).... sijui watu wanatolea wapi... Im NAT(NOT)... Dah... I wish I was... But im nat wapenzi...
9 years ago
Mtanzania28 Aug
Davido akana kupima DNA
![Davido-11](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2015/08/Davido-11-200x300.jpg)
IKIWA ni miezi mitatu tangu msanii wa muziki nchini Nigeria, David Adeleke ‘Davido’ apate mtoto wa kike aliyezaa na mpenzi wake wa zamani, msanii huyo amesema hana mpango wa kupima vina saba ‘DNA’ kwa kuwa anaamini mtoto huyo ni wake.
“Ningefanya hivyo kama ningekuwa na wasi wasi, lakini kwa sasa wala sina wasi wasi wowote na ninakubali kuwa ni mtoto wangu maana anafanana sura na mimi,” alisema Davido.
9 years ago
Bongo512 Dec
Agnes Masogange ana ujauzito wa Davido?
![masogange4](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/masogange4-300x194.jpg)
Kama ni ‘kiki’ basi imefanikiwa, kwa sababu hadi mitandao ya Nigeria imeripoti kuwa kuna uwezekano Agnes Masogange akawa na ujauzito wa staa wa Naija, Davido.
Agnes na Davido wameonekana kuwa karibu siku za hivi karibuni, baada ya kuwa wanapost picha tofauti tofauti wakiwa wanakula bata pamoja kama couple.
Mtandao wa Pulse wa Nigeria umeandika kuwa kuna uwezekano malkia huyo wa ‘shepu’ Bongo, Agnes akawa na ujauzito wa Davido baada ya kupost picha ya kipimo cha mimba kinachoonesha...
9 years ago
MillardAyo17 Dec
Haya ndio majibu ya Davido kuhusu ujauzito wa mrembo Agness Masogange!
Wiki moja iliyopita, Mtanzania Agness Masogange alikuwa topic kubwa kwenye mitandao ya kijamii baada ya post yake kwenye Instagram kuzua mjadala mkubwa na kuibua uvumi mkubwa sana kati yake na Davido staa wa muziki kutoka Nigeria. Masogange alipost kipimo cha ujauzito kwenye page yake ya Instagram, post iliyoibua mjadala mkubwa Nigeria na Tanzania na kuacha […]
The post Haya ndio majibu ya Davido kuhusu ujauzito wa mrembo Agness Masogange! appeared first on TZA_MillardAyo.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1lp73GxRT8Ym*LrZjbTS6dcW6*mTbGcSJgfOSW0*68L0IRcAjui*jFLZ8TxjRj9IqyvkR4UWN7YPg0u3I5Wg0y-TBfAdRB1w/YoungKiller.gif?width=650)
YOUNG KILLER AKANA DEMU WAKE KUWA CHINI YA 18
10 years ago
Vijimambo11 Dec
UJAUZITO UKUSABABISHIA KUWA NA TABIA MBADALA
![](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2014/12/10/23EF8F8C00000578-2868198-image-a-14_1418206709031.jpg)
![](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2014/12/10/23EF86E400000578-2868198-image-m-13_1418206700716.jpg)
Jade Sylvester mwenye umri wa miaka 25 anashindia toilet paper mwaka sasa tangia kuanza tabia hiyo ya kula karatasi za maliwatoni. Mimba ya kwanza ndiyo ilisababsiha haya yote, akina mama wengi upatwa na mikasa kama hii ya kupenda kula vitu ambavyo kwa hali ya kawaida huwa ni vigumu kufanya. Habari ndiyo hiyo Jade ubugia mizigo 8 kwa siku na anashindwa kujizuia kupenda kula mzigo huo licha ya kuto kuwa na mimba kwa sasa.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/gikBPgJguSUK7UH8zh2oRKAw3zFXefW1cqSTJI9Hw9kOWyRGad6DbBmIltp04DmN9iwAQzyLtj1gxgAcpEyRcQfp8vPmorJk/BET.jpg?width=650)
DAVIDO AKIRI KUWA NA MTOTO WA KIKE
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/SKrIC3RTpc8/default.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-Pe4JuzwJAow/VRpRPH6XqtI/AAAAAAAArBo/IQHO8nOCTOU/s72-c/larry.jpg)
TAZAMA VIDEO YA DAVIDO AKIMPONDA DIAMOND KUWA NYIMBO ZAKE HAZIPIGWI WIKI HII ALIPOKUWA KENYA
![](http://1.bp.blogspot.com/-Pe4JuzwJAow/VRpRPH6XqtI/AAAAAAAArBo/IQHO8nOCTOU/s1600/larry.jpg)
When asked by Larry whether East African music receives airplay in Nigeria, Davido gave a brutally honest NO. He even admitted that this collabo with Diamond ‘Number One’ is not played in Nigeria. As true as it may be, that came out badly from a guy who was about to perform in Kenya.