UJAUZITO UKUSABABISHIA KUWA NA TABIA MBADALA
Jade Sylvester mwenye umri wa miaka 25 anashindia toilet paper mwaka sasa tangia kuanza tabia hiyo ya kula karatasi za maliwatoni. Mimba ya kwanza ndiyo ilisababsiha haya yote, akina mama wengi upatwa na mikasa kama hii ya kupenda kula vitu ambavyo kwa hali ya kawaida huwa ni vigumu kufanya. Habari ndiyo hiyo Jade ubugia mizigo 8 kwa siku na anashindwa kujizuia kupenda kula mzigo huo licha ya kuto kuwa na mimba kwa sasa.
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Global Publishers16 Dec
Masongange akana kuwa na ujauzito wa Davido
Agnes Masogange.
MWANAMITINDO Agnes Masogange, amekana kuwa na ujauzito wa mwanamuziki maarufu wa Nigeria aitwaye Davido, hii ni baada ya Agnes kuandika kwenye mtandao kuonyesha upendo wake kwa mwanamuziki huyo.
Hata hivyo, Agnes amemaliza mkanganyiko huo na kuzifuta picha zote zilizoleta taharuki na kuweka picha ya mpenzi wake halisi wa kiume.
Hata hivyo, Davido bado hajatoa kauli yoyote kuhusu suala hilo.
11 years ago
Bongo Movies17 Jun
Wema ‘akana’ kuwa na ujauzito wa Diamond! Ila afunguka haya mazito, soma hapa
Baada ya stori nyingi kuzagaa kuwa mwigizaji na mpenzi halali wa mwanamuziki wa bongo fleva Diamond Platinumz – Wema sepetu kuwa yu mjamztio wa wiki 7 na mimba ya msanii huyo, hatimaye leo hii mwanadada Wema ameamua kufunguka “exclusively” kwenye mtandao mmoja wa kijamii na kujibu habari hizo akisema haya yafuatayo kama tunavyomnukuu hapo chini…
“Jamani hizi habari za mimi kuwa pregnant(mjamzito).... sijui watu wanatolea wapi... Im NAT(NOT)... Dah... I wish I was... But im nat wapenzi...
10 years ago
BBCSwahili26 Aug
Uwanja wageuzwa kuwa kituo cha kubadilishia tabia Kenya
10 years ago
GPL
BILA UJANJA HATA UWE NA TABIA NZURI, FIGA BOMBA HUFAI KUWA MKE!
10 years ago
Mwananchi07 Jun
JITAMBUE:Je unajua kuwa una haja ya kujifunza tabia mpya katika maisha yako?
11 years ago
Michuzi
AFANDE SELE AWAASA WASANII KUUNGANA NA KUWA KITU KIMOJA,AWATAKA KUACHA TABIA YA KUBAGUANA.


9 years ago
Michuzi
11 years ago
Mwananchi05 Apr
Barabara mbadala kujengwa
9 years ago
Mwananchi28 Dec