Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MIPAKA YA HAUSIGELI NDANI YA NYUMBA!-3

maha Ni matumaini yangu kwamba umzima na unaendelea vyema na shughuli zako za kila siku kama kawaida. Mimi niko poa, namshukuru Mungu kwa kunifanya kuwa miongoni mwa wale wanaoendelea kupumua hadi leo.
Mpenzi msomaji wangu, wiki iliyopita utakumbuka nilianza kuzungumzia mada hii. Leo nitaenda moja kwa moja kwenye ile mipaka ya hausigeli ndani ya nyumba nikiamini mwisho wa siku wanandoa watajifunza kitu kitakachoziboresha ndoa...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

MIPAKA YA HAUSIGELI NDANI YA NYUMBA -2

TUKO ndani ya kumalizia Sikukuu ya Pasaka,  lakini moyo wangu utakuwa safi kama sikukuu hii itapita huku nikiwa nimetoa la moyoni kuhusu maisha ya wanandoa wa siku hizi. Ninaposema wanandoa namaanisha watu wawili wa jinsi tofauti wanaoishi kama mume na mke ndani ya nyumba moja. Katika miaka ya hivi karibuni, kimjinimjini familia nyingi zinazojiweza zimekuwa zikiajiri wasichana wa kazi (mahausigeli) kwa ajili ya kuwasaidia...

 

11 years ago

GPL

MIPAKA YA HAUSIGELI NDANI YA NYUMBA

TUKO ndani ya kumalizia Sikukuu ya Pasaka,  lakini moyo wangu utakuwa safi kama sikukuu hii itapita huku nikiwa nimetoa la moyoni kuhusu maisha ya wanandoa wa siku hizi. Ninaposema wanandoa namaanisha watu wawili wa jinsi tofauti wanaoishi kama mume na mke ndani ya nyumba moja. Katika miaka ya hivi karibuni, kimjinimjini familia nyingi zinazojiweza zimekuwa zikiajiri wasichana wa kazi (mahausigeli) kwa ajili ya kuwasaidia...

 

10 years ago

Michuzi

KAMISHNA WA FORODHA NA ULINZI WA MIPAKA WA MAREKANI ATEMBELEA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe. Mathias Chikawe (kushoto), akizungumza na Kamishna wa Forodha na Ulinzi wa Mipaka toka Serikali ya Marekani Bw. R. Gil Kerlikowske alipomtembelea ofisini kwake kuzungumzia masuala ya ushirikiano wa shughuli za kiulinzi kati ya Serikali ya Tanzania na Marekani. Kulia ni Msaidizi wa Balozi wa Marekani hapa nchini Bi. Virginia Blaser. Kamishna wa Forodha na Ulinzi wa Mipaka toka Serikali ya Marekani Bw. R. Gil Kerlikowske (kulia), akifafanua...

 

11 years ago

Dewji Blog

Kipindi cha “Mimi na Tanzania” chavuka mipaka ya Tanzania, safari ni ndani ya jiji la Washington DC

IMG-20140725-WA0004

Pichani ni Mtangazaji anayeongoza Kipindi cha ‘Mimi na Tanzania’ Hoyce Temu aliyewahi kushika taji Miss Tanzania mwaka 1999 akiwa nje ya Ubalozi wetu wa Tanzania nchini Marekani mara baada ya kuwasili ambapo alimua kufunga safari kwa ajili ya kufanya mazungumzo maalum na Balozi wetu wa Tanzania nchini Marekani Mh. Liberata Mulamula.

IMG-20140725-WA0006

Mtangazaji wa Kipindi cha Mimi na Tanzania Hoyce Temu akitia saini kitabu cha wageni kwenye Ubalozi wetu wa Tanzania nchini Marekani.

IMG-20140725-WA0005

Hapa akiwa mapokezi ya...

 

11 years ago

Mwananchi

Tanapa yajenga nyumba za watalii wa ndani

Kilio cha Watanzania kushindwa kutembelea Hifadhi za Taifa kwa kuogopa gharama kubwa kimepatiwa ufumbuzi baada ya Shirika la Hifadhi za Taifa (Tanapa), kujenga nyumba za kulala wageni katika maeneo hayo ambazo zitatoza malipo ya chini kwa watalii wa ndani.

 

10 years ago

GPL

NYUMBA YAUNGUA MARA 3 NDANI YA MWEZI

Na Shomari Binda,Musoma
KATIKA hali isiyo ya kawaida, nyumba ya mkazi wa Kata ya Nyasho Manispaa ya Musoma, David Obambo, imeungua moto mara tatu ndani ya mwezi mmoja na kuwashangaza watu. Askari wa zimamoto akishuhudia nyumba ilivyoteketea kwa moto. Tukio la kwanza la kuungua kwa nyumba hiyo, lilitokea Desemba 10, mwaka huu saa 7 mchana na wiki moja baadaye siku kama hiyo na muda huo nyumba hiyo iliungua tena na kusababisha...

 

10 years ago

GPL

WATOTO 8 WAKUTWA WAMEUAWA NDANI YA NYUMBA AUSTRALIA

Wakazi waishio jirani na eneo la mauaji hayo wakiwa wamekusanyika nje ya nyumba hiyo mjini Cairns. WATOTO nane wamekutwa wameuawa kwenye nyumba moja katika mji wa Cairns eneo la Queensland kaskazini mwa Australia. Polisi nchini Australia wakiendelea na uchunguzi katika eneo hilo. Vyombo vya habari nchini humo vimesema kuwa watoto hao wote kati ya miezi 18 na miaka 15 walikuwa wamechomwa visu. Polisi wa eneo… ...

 

9 years ago

Vijimambo

HURUMA MHAPA: BIOGESI IMEONGEZA UPENDO NDANI YA NYUMBA

Mfugaji na mkulima wa kijiji cha Ibumila kata ya Kichiwa wilayani Njombe Huruma Mhapa (kulia) akielezea namna alivyo nufaika na matumizi ya biogesi kwa kutumia samadi alipotembelewa na kamati ya uhamasishaji wa matumizi ya biogesi (NBSC) pamoja wataalum kutoka Programu ya uenezi wa mitambo ya biogesi ngazi ya kaya (TDBP). Maadhimisho biogesi kitaifa yalifanyika katika Kitongoji cha Lunyunyu, Halmashauri ya Mji Njombe mkoani Njombe jana. (Picha na Friday Simbaya)Mratibu wa Program ya Biogesi...

 

10 years ago

Mtanzania

Mama aua watoto wake, awafukia ndani ya nyumba

IMG-20150126-WA0001NA THOMAS MURUGWA, TABORA
JESHI la Polisi linawashikilia watu wawili wakazi wa Manispaa ya Tabora kwa tuhuma za kuwanyonga watoto wawili hadi kufa, kisha kuwafukia ndani ya nyumba waliyokuwa wanaishi.
Tukio hilo la kusikitisha linadaiwa kufanyika juzi saa moja jioni katika eneo la Chechem Manispaa ya Tabora walikokuwa wakiishi watuhumiwa wa mauaji hayo.
Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tabora, Juma Bwire, amethibitisha jana kutokea kwa mauaji hayo ya kikatili na kuwataja watuhumiwa kuwa ni...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani