MKONGO WA WOLPER, HUSNA HUYU HAPA
![](http://api.ning.com:80/files/omkt7cwbhXJ7v6bTDfFXjxACpE9q6YRfFh8GDFHdEaFhOms6dnH-R5VXhZ51o1jNaXFvaowS8Wa1rX-lgcHqbXF-TpMJSXcM/mkongo.jpg?width=650)
Stori: Hamida Hassan na Gladness Mallya Mambo hadharani! Kigogo ambaye ni raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo anayewagombanisha mastaa wawili Bongo, Jacqueline Wolper Massawe na Husna Maulid ni huyu hapa. Anaitwa Rajab Mwami Shamweshi. Staa wa Bongo Muvi, Jacqueline Wolper Masswe. Habari zilizolifikia Ijumaa zilidai kwamba baada ya mtafaruku wa mastaa hao kuripotiwa na gazeti mama la hili, Uwazi la Jumanne iliyopita, jamaa...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/72Jod1iYAGGgEcJBfuAYIPrDUDyJ1GUCajxsTHsa904zw40a3hp0V2tQ*s4SWlbcsSJaGQeueXUeniO4Xa9rMTvGejf6bH-5/kigogo.jpg?width=650)
WOLPER, HUSNA WAMGOMBEA MKONGO
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/eOkD9SMZvVrXYvejWx2BHlV2hbEIBzX7BWc9S8IJpZQ6-6pg4OyIHljg2D2C*DQP0ojrl-Zn92pZzymHVpacQib7v8bOikUI/mwami.jpg)
MKONGO WA WOLPER, HUSNA: NAMTAKA LULU KWA GHARAMA YOYOTE!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ga2iaGVWnSEVYt9h0Gmv1nDjUqznRiRLT8JPdNW6hemEVO0Ag6eSQmNqamuTiFot9S4NWMjgTLO0vPVq-ERUCYgK88CFU4Jn/MKONGO.jpg)
WOLPER AMWANGUKIA MKONGO!
9 years ago
Bongo Movies09 Oct
Lulu, Wolper Watangaziwa Kichapo na Husna Maulid
Video Queen wa Bongo ambaye pia aliwahi kushiriki Miss Tanzania 2011, Husna Maulid amewatangazia kichapo kwa mastaa wawili wa Bongo Muvi, Jacqueline Wolper na Elizabeth Michael ‘Lulu’ endapo watathubutu tena kumsogelea mpenzi wake wa sasa (jina kalificha).
Akizungumza na Ijumaa hivi karibuni Husna ambaye pia amejikita kwenye ujasiriamali alisema kuwa, wakati f’lani yeye na Lulu walizinguana kwa sababu ya mwanaume aliyekuwa akifahamika kwa jina la Seki, akawa mpole, wakati mwingine...
9 years ago
Bongo Movies01 Nov
Wolper Amfungukia Mrithi wa Mkongo
SIKU chache baada ya kumwagana na aliyekuwa mchumba wake, raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, mwigizaji Jacqueline Wolper amesema kuwa hawezi kuendelea kubaki bila mtu lakini anahitaji mtu mwenye sifa.
Akizungumza na mwanahabari wetu, Wolper alisema kutokana na kuingia kwenye uhusiano na wanaume tofauti akiwemo mfanyabiashara maarufu, Dallas ambao ameshindwa kufanya nao maisha, anahitaji mtu ambaye kweli atajiridhisha kuwa anafaa kuwa mume na si vinginevyo.
Alipoulizwa kuhusu Daktari...
9 years ago
Bongo Movies29 Nov
Shamsa: Mkongo wa Wolper,Wema Amenitongoza
STAA wa filamu Bongo, Shamsa Ford juzikati alimwaga ‘ubuyu’ hadharani kwa kusema kwamba, yule jamaa Mkongo ambaye amekuwa akidaiwa kutoka na Wema Sepetu, Jacqueline Wolper amemtongoza.
Akizungumza na kona ya Bongo Movies Shamsa alisema, hivi karibuni alienda saluni na kukutana na ujumbe wa Mkongo wa Wema, Wolper ukimuhitaji kimapenzi jambo ambalo lilimuudhi sana.
“Hii si mara ya kwanza kunitongoza kwani nakumbuka kuna siku mtu aliniomba namba ya simu na baadaye nikapigiwa na huyo Mkongo...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/SRbpV0Al75rGNqBffV1hT3Ott07m98UC*iO-VH-VfEV9kDuV9237iqCQ2dOyKWBThz*fEe36BGtSSpfggWSMwJvXsm8mYsJr/JAMAA.jpg?width=650)
ALIYEBUNI TANZANIA HUYU HAPA
10 years ago
Tanzania Daima12 Nov
Rais fukara huyu hapa
WAKATI viongozi wakuu wa nchi mbali mbili duniani wakiishi maisha ya ukwasi wa hali ya juu kutegemeana na uchumi wa taifa husika, hali hiyo iko tofauti kwa Rais wa Uruguay,...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/hMNECPNor9*UqevMoR8qdgBdA-C2OPf4XrnYjMvo6OM4OEU7b1rPfi5kOqcb6ZdYfKn4Lbc-JA3cZdCN8Rizi89d*l6qfeQR/Cheka.jpg?width=650)
ALIYEMPONZA CHEKA HUYU HAPA