Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MKUTANO WA BAWACHA ARUSHA

 Mbunge wa Arusha Mjini Mh Godbless Lema akihutubia katika mkutano wa BAWACHA Arusha. Baadhi ya kinamama waliohudhuria mkutano wa BAWACHA wakionekana wenye furaha.Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Kaskazini Mh Amani Golugwa (wa pili kutoka kushoto) akicheza ngom kuwaunga mkono akinamama wa Arusha katika mkutano wa Baraza la Wanawake BAWACHA Arusha

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Mkutano mkuu wa LAPF waanza Arusha

MMKUTANO mkutano mkuu wa saba wa wadau wa Mfuko wa Pensheni wa LAPF, ambao unatarajiwa kuhudhuriwa na wajumbe zaidi ya 700 kutoka ndani na nje ya nchi, umeanza jana jijini...

 

9 years ago

Mwananchi

Burundi wakacha mkutano wa upatanishi Arusha

Mazungumzo ya kutafuta suluhu ya mgogoro wa nchi ya Burundi yameanza jijini Arusha bila serikali ya nchi hiyo kutuma wawakilishi kwenye mkutano huo.

 

10 years ago

Habarileo

Wanafunzi ‘wapigwa’ mkutano Ukawa Arusha

Mwanasheria wa Chadema, Tundu LissuKATIKA hali isiyokuwa ya kawaida, wanafunzi wa shule za msingi za Mwangaza na Ngarenaro, juzi walidaiwa kupata kipigo kutoka kwa vijana waliojiita ‘Makamanda’ wa umoja wa vyama vya siasa vya upinzani ujulikanao kama Ukawa, baada ya baadhi yao kufika katika mkutano huo uliofanyika viwanja vya karibu na shule yao.

 

11 years ago

Michuzi

MKUTANO WA MAJAJI WANAWAKE DUNIANI KUFANYIKA ARUSHA

Chama cha Majaji Wanawake Tanzania (TAWJA) kwa kushirikiana na Chama cha Majaji Wanawake Duniani (IAWJ) kitafanya Mkutano wake Mkuu wa 12 utakaofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa (AICC), Arusha, Tanzania. 
 Mkutano huo wa Kimataifa ambao utashirikisha jumla ya Majaji Wanawake takribani 600 kutoka nchi mbalimbali duniani wakiongozwa na Rais wao ambaye ni Mtanzania, Mhe. Eusebia Munuo, Jaji wa Rufaa (Mstaafu), utaanza rasmi mnamo tarehe 05 Mei, 2014 na utafunguliwa na Mhe. Dr....

 

10 years ago

GPL

TASWIRA ZA MKUTANO WA CHADEMA JIJINI ARUSHA JANA

Mnadhimu wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni, ambaye pia ni Mwanasheria Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, akihutubia katika mkutano uliofanyika jana kwenye Uwanja vya Samunge, Kilombero jijini Arusha. Makamanda wa Chadema wakifuatilia mkutano…

 

11 years ago

Michuzi

JK afungua Mkutano mkuu wa NSSf jijini Arusha leo

 Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa NSSF  Bwana Crescentius Magori akimkaribisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete  katika viwanja vya AICC mjini Arusha ambapo alifungua mkutano Mkuu wa wadau wa NSSF leo jioni. Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akisisitiza jambo muda mfupi baada ya kuwasili katika ukumbi wa kimataifa wa mikutano wa Arusha AICC mjini Arusha leo ambapo alifungua mkutano wa nne wa wadau wa NSSF.Wengine katika picha kutoka kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Arusha...

 

10 years ago

Vijimambo

ANGALIA LIVE MKUTANO WA LOWASSA ARUSHA SASA HIVI


Kwa kuangalia mkutano wa Mhe. Edward Lowassa kutangaza nia Live unaoendelea sasa hivi Arusha bofya hapa

 

11 years ago

Michuzi

MAANDALIZI YA MKUTANO MKUBWA WA CPA JIJINI ARUSHA YAIVA

Katibu wa Bunge,Dk Thomas Kashililah(kulia) akiongozana na Wabunge ambao ni Wajumbe wa Chama cha Wabunge wa Jumuiya ya Madola(CPA) na watumishi wa Bunge wakiwa kwenye Hoteli ya Ngurdoto Mountain Lodge, mkoani Arusha kwaajili ya maandalizi ya mkutano mkubwa wa 45 utakaofanyika mwezi huu. Katibu wa Bunge,Dk Thomas Kashililah(kulia) akishauliana na jambo na maafisa wa Hoteli ya Ngurdoto Mountain Lodge mkoani Arusha wakati wa ziara ya Wabunge ambao ni Wajumbe wa Chama cha Wabunge wa Jumuiya ya...

 

10 years ago

Habarileo

Mkutano wa NHC, Baraza la Ujenzi kuwa Arusha Feb. 19

BARAZA la Ujenzi Endelevu na Utunzaji wa Mazingira Tanzania kwa kushirikiana na Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), wameandaa mkutano wa kwanza utakaoshirikisha nchi Jumuiya wanachama wa Afrika Mashariki, kwa ajili ya kujadili masuala ya ujenzi unaozingatia mazingira.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani