Monalisa: Piga Ua Nitaolewa Mwezi Desemba
Mrembo na kwenye sanaa ya uigizaji, Yvonne Cherry ‘Monalisa’ amesema baada ya kuchoka kuulizwa anaolewa lini, ameamua bora iwe mwezi wa 12.
Akizungumza na GPL, Monalisa alisema kutokana na hilo, kama mambo yatakwenda sawa, mwezi wa tano taratibu zitaanza na kila mmoja atamjua mumewe mtarajiwa atakayefunga naye ndoa Desemba, mwaka huu.
“Nimechoka kuulizwa kila siku unaolewa lini, ni hivi, piga ua mwaka huu. Itabidi niongee na mwenzangu na nina hakika atanikubalia, mambo yatatimia tu,”...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/xa7rDnAgaa53rZqvR89Gm240TVDotouGiYZb-Iv7sRnpWvR4RqRVi14F-qZb-4-*qSLbJGX5yIn67FsbX2h*fZzLlkkrKvj7/1.jpg?width=650)
MONALISA: NITAOLEWA MWEZI DESEMBA
10 years ago
Mwananchi21 Sep
Piga mswaki, piga deki, piga amani
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pauKaB96wESTIsj1T0bUK1ADrw6tZuukQjmfXnpiiwEigshbEgykrEjXRAAfYSTqh4itLMmgGWuycFzhS66ntvxBATP0re1M/unnamed283329.jpg)
MABASI YA MWENDO KASI KUANZA KAZI MWEZI DESEMBA JIJINI DAR
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-HEK0QDRFAKk/VfbgSFxKdDI/AAAAAAAAc94/ZD0jx_zSt18/s72-c/3.jpg)
TASWIRA ZA UWANJA WA KAITABA UNAVYOENDELEA MPAKA SASA MJINI BUKOBA. KUMALIZIKA KUJENGWA MWEZI DESEMBA 2015, KAGERA SUGAR KUTUMIA UWANJA WA MUSOMA KWA SASA.
![](http://3.bp.blogspot.com/-HEK0QDRFAKk/VfbgSFxKdDI/AAAAAAAAc94/ZD0jx_zSt18/s640/3.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-X5Wt3S3udSE/VfbhJIrz2BI/AAAAAAAAc-Q/Gr3Ol0vaPjo/s640/5.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-GDe0f46dIZA/VfbhJuyupBI/AAAAAAAAc-U/4ESsV93HWu0/s640/6.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-9uKwr4HtDww/VfbhH4OLdkI/AAAAAAAAc-I/QQDK6yIDvSg/s640/7.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-WPd0HA-I9Ck/VfbhqYdprvI/AAAAAAAAc-k/JghbrBbsirU/s640/8.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-QqWb_abmdRI/VfbhqPndAVI/AAAAAAAAc-g/5613cPEm1Zo/s640/9.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/4MXCALxsrL3yNSeD2NwBq05bOGaPe0lYXsZ7AHyveerDNhvVrK0Rpg9o9oCEOBWvNQD3*NzNFfga8W0g-LKjoBc3Y0CvOeSc/madaha.jpg?width=650)
BABY MADAHA: NITAOLEWA 2030
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/P2Q6K2rcr9GG82ED32CHPkmsw51bbibO0pbyhlCnrGf9ftA-SBT8oSoS9i-OMsedBuwGx*SqOrW2IyH6DbTG6NfxWp264mxW/wema.jpg?width=650)
WEMA: PIGA...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-JkxntoBjZD8/VP3YEwU41kI/AAAAAAAHJKA/apTB9qpP7Kk/s72-c/unnamed%2B(52).jpg)
MFUMUKO WA BEI WAONGEZEKA KIDOGO KUTOKA ASILIMIA 4.0 MWEZI JANUARI, 2015 HADI KUFIKIA ASILIMIA 4.2 MWEZI FEBRUARI, 2015
![](http://1.bp.blogspot.com/-JkxntoBjZD8/VP3YEwU41kI/AAAAAAAHJKA/apTB9qpP7Kk/s1600/unnamed%2B(52).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-1nLQAkCBnRM/VP3YEy7eD4I/AAAAAAAHJKE/yuUUI8PmvSI/s1600/unnamed%2B(53).jpg)
11 years ago
Tanzania Daima20 Jul
Stars piga Mambas
TIMU ya soka ya Tanzania, Taifa Stars, leo inawakaribisha Msumbiji ‘Mambas’ Uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam katika mchezo wa kwanza wa ngwe ya mwisho ya kuingia katika vita...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LXZYmTRupZ*od7iuXgDCB7ZjTMnU7bISoatZFrAdh1-DtHhd8-zKBIDiK2z44cgSKCBPqK9MwMc0pYnyC5keYmAf4ADjgwzR/Monalisa.jpg)
MONALISA: MIMI SI GUBEGUBE