Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Moraviani Mbeya wamaliza mgogoro kwa masharti

MGOGORO uliolikumba Kanisa la Moraviani Jimbo la Kusini Magharibi (Mbeya) kati ya waumini na baadhi ya wachungaji dhidi ya askofu wao, Alikisa Cheyo, umemalizika baada ya kufikishana mbele ya Kamati...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Kikwete, Kenyata wamaliza mgogoro

Kikwete na Uhuru KenyattaNAIROBI, KENYA
RAIS wa Kenya, Uhuru Kenyatta na Rais Jakaya Kikwete wamekubaliana magari ya Tanzania yaruhusiwe kuingia Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyata na safari za ndege za Shrika la Ndege la Kenya (Kenya Airways) ziruhusiwe ziendelee na safari zake kama kawaida nchini Tanzania.
Katibu Mkuu wa Mambo ya Nje wa Kenya, Amina Mohammed, alisema uamuzi huo ulifikiwa jana katika mkutano kati ya Rais Jakaya Kikwete na Uhuru Kenyatta mjini Windhoek Namibia, katika sherehe za maadhimisho...

 

5 years ago

Michuzi

SERIKALI KUUPATIA MUAROBAINI MGOGORO WA ENEO LA ITUHA MBEYA-WAZIRI HASUNGA

Waziri wa Kilimo Mhe Japhet Hasunga (Mb) na Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mhe Albert Chalamila wakikagua ramani ya eneo la Ilomba lenye mgogoro kati ya Taasisi ya Utafiti wa Kilimo-TARI Uyole na wananchi kabla ya kufanya ziara kugagua maeneo hayo wakiambatana na wananchi jana Tarehe 9 Aprili 2020. (Picha Zote Na Mathias Canal, Wizara ya Kilimo) Waziri wa Kilimo Mhe Japhet Hasunga (Mb) na Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mhe Albert Chalamila wakiambatana na wananchi wakikagua eneo la Ilomba lenye mgogoro kati...

 

11 years ago

Michuzi

MFUKO WA PSPF WAMALIZA WIKI YA UTUMISHI KWA MAFANIKIO MAKUBWA

Ofisa masoko wa mfuko wa pesheni kwa watumishi wa umma'PSPF' Bi, Rahma Ngassa kulia akimkaribishakatibu Mkuu Kiongozi  Balozi Ombeni Sefue katika banda la PSPF wakati wa maonesho ya wiki ya utumishi wa Umma yaliyomalizika jumatatu ya wiki hii Add caption Ofisa uhendeshaji wa mfuko wa pesheni kwa watumishi wa umma 'PSPF' Bw, Mohamed Masoud kulia akimpatia mahelezo katibu Mkuu Kiongozi  Balozi Ombeni Sefue alipotembeleabanda la PSPF wakati wa maonesho ya wiki ya utumishi wa Umma...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Serikali zimeanza kulegeza masharti ya kukabiliana maambukizi, Je kulegeza masharti ni hatari kiasi gani?

Nchini Uingereza watu wameanza kurejelelea shughuli zao za kawaida, watu kukutana, baadhi ya watoto wanarejea shuleni, maeneo ya maonyesho ya magari yanafunguliwa, na masoko kufunguliwa tena.

 

10 years ago

Mwananchi

Simba kuishangilia Yanga kwa masharti

Klabu ya Simba imewapa masharti mahasimu wao wa jadi, Yanga kama inahitaji mashabiki wao waishangilie kwenye mchezo wa keshokutwa wa Kombe la Shirikisho la Soka Afrika (CAF), dhidi ya BDF IX ya Botswana.

 

10 years ago

BBCSwahili

Venezuela yatoa Masharti kwa Marekani

Venezuela imeipa wiki mbili Marekani kuondoa baadhi ya Wanadiplomasia wake walio nchini Venezuela

 

10 years ago

Mwananchi

Zitto atoa masharti kwa Lowassa

Mwanza. Kiongozi wa Chama cha ACT - Wazalendo, Zitto Kabwe amesema iwapo Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa anataka kugombea urais kupitia chama hicho afuate taratibu za chama ikiwamo kutangaza mali zake.

 

10 years ago

Habarileo

Membe adhaminiwa kwa masharti Arusha

Bernard MembeWANANCHI jijini Arusha waliojitokeza kumpokea na kumdhamini Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe jana, walimpa masharti kada huyo wa CCM ya kutekeleza endapo atafanikiwa kuingia Ikulu kupitia chama hicho.

 

10 years ago

BBCSwahili

Masharti kwa wimbo wa taifa China

Wimbo wa taifa wa China hautaruhusiwa kuchezwa tena maharusini , matangani, au kwenye hafla zozote zisizo za kiserikali.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani