Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mr and Mrs Gibacha walivyosheherekea Xmass nyumbani kwao Virginia na wageni wao.

 Bwana na Bibi Gibacha wakiwa na wageni wao siku ya Krismai nyumbani kwao Virginia walipokuwa wakisherehekea siku hiyo katika picha Bi Gibacha akiwa katikati akipata picha ya kumbukumbu na wageni wake Wageni wa Bwana na Bibi Gibacha wakiwa katika picha ya pamoja Wageni wa Gibacha wakiwa mezani tayari kwa chakulaWageni wakipata picha ya pamoja.kwa picha zaidi bofya soma zaidi

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

ALLY SHARIF AKAMATO NONDO CHUO KIKUU CHA VIRGINIA MASHARIBI(WEST VIRGINIA UNIVERSITY)

Ally Sharif akipata picha baada ya kukumata nondo katika chuo kikuu cha West Virginia siku ya Jumapili May 17, 2015.Ally Sharif akipata picha na baba yake.Ally akiwa amebebwa na dada yake LilianAlly akiwa na Aunty Aisha na Bibi Rose.Ally na dada yake Lilian.Ally na baba na mama.Kwa picha zaidi bofya soma zidi

 

11 years ago

Bongo5

Muigizaji wa ‘Mrs Doubtfire’ Robin Williams wa Marekani akutwa amekufa nyumbani kwake

Muigizaji na mchekeshaji maaarufu wa Marekani Robin Williams amekutwa amekufa nyumbani kwake California, Marekani Jumatatu (Agosti 11) huku ripoti ya polisi ikionesha kuwa huenda amejiua (asphyxia). Imeelezwa kuwa kwa siku za hivi karibuni Williams ambaye amefariki akiwa na umri wa miaka 63 alikuwa akipambana na sonona (depression). “This morning, I lost my husband and my […]

 

10 years ago

BBCSwahili

Mtoto awa mfungwa nyumbani kwao

Mtoto mdogo wa miaka mitano afungiwa chumba cha chini nyumbani kwao,aachwa afe njaa

 

10 years ago

GPL

WAZAZI WAMTAKA WOLPER AKAISHI NYUMBANI KWAO

Waandishi wetu
MTU kwao! Licha ya kuwa staa wa muvi za Bongo, mwigizaji kiwango, Jacqueline Wolper Massawe anadaiwa kuitwa na wazazi wake kwenda kuishi nyumbani kwao, Kibaha mkoani Pwani ili kuepukana na skendo za kila mara za mjini. Staa wa muvi za Bongo, mwigizaji kiwango, Jacqueline Wolper Massawe. Kwa mujibu wa chanzo, Wolper amewekewa msimamo huo na wazazi wake, hususan mama yake mzazi aliyemwambia kwa kuwa ana usafiri...

 

10 years ago

Bongo Movies

Picha: JB Akiwa Nyumbani Kwao kwa Mzee Wake

Leo ikiwa ni siku ya Ijumaa kuu, Staa mkubwa kabisa wa Bongo Movies, Jacob Stephen ‘JB’ ame-share nasi picha hizi akiwa nyumbani kabisa  kwa mzee wake.

Katika maelezo yake JB amesema kuwa siku kama ya leo huwa wanautaratibu kama familia kwenda kanisani pamoja.

“Leo niko nyumbani kwa mzee, Ijumaa ya pasaka tuna utaratibu wa kwenda kanisani wote” JB aliandika mara baada ya kubandika picha huyo hap juu akiwa na mzee wake.

Picha huyo nyingine JB alieleza kuwa huyo ni mdogo wao wa mwisho...

 

9 years ago

Bongo Movies

Hivi Ndivyo Lulu Alivyosherekea Krismasi Nyumbani Kwao Kilimanjaro

lulu33

“Proudly Chagga❤️❤️❤️”-By Lulu on Insta

Staaa mrembo wa Bongo Movies, Elizabeth Michael ‘Lulu’ ilimbidi afunge safari hadi mkoni Kilimanjaro kwenye kula siku kuu ya Krismasi mwaka huu.
Akiwa yeye pamoja na wazazi wake wote wawili Lulu ameshare nasi picha hizi kupitia ukurasa wake mtandaoni.
“Niko Na Baba Mkweeee🙆ooopssss I mean Baba Angu😁🏃hadi vidole sikuhizi havina mfupa”- Lulu aliandika kiutani kwenye picha hiyo hapo chini akiwa na baba yake.

“Niko Na Baba Mkweeee🙆ooopssss I mean Baba Angu😁🏃hadi vidole sikuhizi havina mfupa-L

“Niko Na Baba Mkweeee🙆ooopssss I mean Baba Angu😁🏃hadi...

 

10 years ago

Vijimambo

FAMILIA YA AMEIR YAJUMUIKA NA MARAFIKI NYUMBANI KWAO KUSHEREHEKEA SIKUKUU YA EID

Seif Ameir (kati) akiwa na marafiki zake aliowaalika nyumbani kwake Greenbelt, Maryland katika kusherehekea sikukuu ya Eid mosi ambayo nchini Marekani na Uarabuni imeadhimishwa siku ya Ijumaa July 17, 2015.Wengine katika picha ni Abdul na Ramadhan (kulia).Kushoto ni Nargis, mama mwenye nyumba wa Seif Ameir akiangalia kitu kwenye simu wakiwa na Missy T.Seif Ameir na mwanae wakiwa na mgeni wao Abdul wakipata menyu.Nargis katika picha ya pamoja na Sophia Mombasa.Kwa picha zaidi bofya soma zzaidi

 

10 years ago

Michuzi

UP DATES: MSIBA WA BANZA STONE NYUMBANI KWAO SINZA JIJINI DAR

 Baadhi ya ndugu na jamaa wa Marehemu Ramadhan Massanja "Banza Stone" wakijadiliana jambo mchana huu, nyumbani kwao Sinza Lion, Jijini Dar es salaam.
Mawasiliano yakiendelea kupeana taarifa na ndugu wengine.

 

5 years ago

BBCSwahili

Mbwana Samatta: Je mashabiki wake walio nyumbani kwao huko Mbagala wanasemaje?

Baada ya kujiunga na klabu ya Aston Villa ya Uingereza kutoka klabu ya Genk, nahodha wa taifa Stars amepata umaarufu mkubwa sio tu nchini Tanzania bali hata Afrika mashariki.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani