Msikiti mkubwa Afrika wajengwa Algeria
Msikiti utakaoshindana na maeneo mengine ya Kiislam ya kuabudia makubwa kuliko yote duniani unajengwa pwani ya Algeria
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-09C2HfNa7MI/Vlrm4FwmOrI/AAAAAAAII_k/HbxChilFEjY/s72-c/8dd172c3-aef3-4cc7-a8d8-4b88f56ba413.jpg)
HATIMAYE MSIKITI WA KIJIJI CHA MLAMLENI WILAYA YA MKURANGA WAJENGWA UPYA KWA MSAADA WA WASAMARIA WEMA WA NDANIO NA NJE YA NCHI
Na Ghalib Nassor Monero
Asalaam Alaykum Warahmatullahi wabarakatu, Alhamdulilah....
Kwa Niaba ya wakazi wa kijiji cha Mlamleni , kitongoji cha kimbangulie , wilaya ya Mkuranga Mkoa wa Pwani ninatoa shukran za dhati kwanza Ma Admin wote wa blogs mlioshirikiana nasi katika kulitangaza jambo hili la kheri.
Pili tunawashukuru wale wote wadau ambao wameshirikiana nasi kwa hali na mali katika Ujenzi wa Jengo hili la msikiti kutoka Nyasi Mpaka kuwa katika Muonekano mpya kama mnavyo ona katika...
Asalaam Alaykum Warahmatullahi wabarakatu, Alhamdulilah....
Kwa Niaba ya wakazi wa kijiji cha Mlamleni , kitongoji cha kimbangulie , wilaya ya Mkuranga Mkoa wa Pwani ninatoa shukran za dhati kwanza Ma Admin wote wa blogs mlioshirikiana nasi katika kulitangaza jambo hili la kheri.
Pili tunawashukuru wale wote wadau ambao wameshirikiana nasi kwa hali na mali katika Ujenzi wa Jengo hili la msikiti kutoka Nyasi Mpaka kuwa katika Muonekano mpya kama mnavyo ona katika...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-zO-7nkS0Xoc/XlkvqaDIDvI/AAAAAAACH9Y/Cd-ra3zMIlExj6x7TNe4oa95kYDzia55ACLcBGAsYHQ/s72-c/m%2B%25287%2529.jpg)
RAIS DK. MAGUFULI AKAGUA LEO UJENZI WA MSIKITI UTAKAOKUWA MKUBWA KULIKO YOTE TANZANIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-zO-7nkS0Xoc/XlkvqaDIDvI/AAAAAAACH9Y/Cd-ra3zMIlExj6x7TNe4oa95kYDzia55ACLcBGAsYHQ/s400/m%2B%25287%2529.jpg)
Ikulu Dar es Salaam
Rais Dk. John Magufuli leo amekagua maendeleo ya ujenzi wa Msikiti wa Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA) unaojengwa Kinondoni Jijini Dar es Salaam ambao utakuwa...
10 years ago
BBCSwahili19 Sep
Msikiti wazua Utata Afrika Kusini
Uzinduzi wa Msikiti wa umma Afrika kusini wazua hisia kali miongoni mwa waumini wa Kiislamu
10 years ago
BBCSwahili19 Jan
Algeria kuchuana na Afrika kusini
Algeria yenye wachezaji nyota Yacine Brahimi, Sofiane Feghouli inapigiwa upato dhidi ya Afrika kusini katika mechi ya kundi C
10 years ago
BBCSwahili20 Jan
Algeria yainyuka Afrika Kusini 3-1
Michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika, Afcon imeendelea nchini Equatorial Guinea,kwa Algeria kuichapa Afrika Kusini 3-1
10 years ago
BBCSwahili23 Oct
10 years ago
BBCSwahili19 Jan
Algeria vs Afrika kusini:Ukweli wa mambo
Afrika kusini haijafungwa na Algeria katika michuano miwili kati ya timu hizo baada ya kuishinda Algeria 2-1 mwaka 1996
10 years ago
BBCSwahili16 Oct
Algeria fainali Kombe la Afrika 2015
Timu ya Algeria ndio timu ya kwanza kujikatia tikiti ya kushiriki kombe la Afrika Januari 2015baada ya kuinyuka Malawi 3-0.
10 years ago
BBCSwahili13 Mar
FIFA:Algeria ni timu bora Afrika
Algeria imesalia katika nafasi ya kwanza katika orodha mpya ya timu bora barani Afrika
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania