‘Msiwabebe wanaojipitisha majimboni’
NA MWANDISHI WETU, MUFINDI
HALMASHAURI ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) wilayani Mufindi, imewataka viongozi wa matawi na kata kutokubali kuwabeba baadhi ya wanachama walioanza kujipitisha kwenye majimbo, kwa lengo la kujiandaa na uchaguzi mkuu mwakani.
Katibu wa CCM wilayani Mufindi, Miraji Mtaturu, alisema hayo wakati akisoma maazimio ya halmashauri hiyo, iliyokuwa na lengo la kupokea utekelezaji wa ilani ya uchaguzi kwa kipindi cha miezi sita iliyopita.
Alisema ni kosa kikanuni kuanza...
Uhuru Newspaper
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo18 Jul
Wanaojipitisha urais mambo sasa magumu
MAKADA wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) waliopewa adhabu kutokana na kuanza harakati za kuomba ridhaa kugombea urais, baadhi yao wako katika hatihati ya ama kuongezewa adhabu au kuenguliwa kwenye kinyang’anyiro hicho.
10 years ago
Uhuru Newspaper26 Mar
Wanaojipitisha kusaka uongozi watakiwa kusubiri
NA MWANDISHI WETU
MJUMBE wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC), ya CCM, Dk. Edmund Mndolwa, amesema viongozi wanaojipitisha kwa ajili ya kutaka uongozi ndani ya chama, wanawachanganya wananchi, hivyo wasubiri muda ufike.
Aidha, amewataka baadhi ya viongozi wa CCM, wanaowatumia viongozi wa dini kuwatetea wakati wanapokosolewa, kuacha mara moja tabia hiyo.
Dk. Mndolwa alisema hayo mjini Dar es Salaam, jana, alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari.
Alisema muda wa kupata wagombea ndani ya chama...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-7k3VMaPNbtM/XoYAKvDS_UI/AAAAAAAC83g/0n-2APXAuTcrm34dPc5wOUQYqSVWBwOnQCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
CCM IKUNGI CHATOA KARIPIO KWA WANAOJIPITISHA PITISHA KUTOA RUSHWA ILI WACHAGULIWE
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Ikungi,Mkoani Singida
kimekamilisha zoezi la kutoa mafunzo kwa viongozi wa serikali za
vijiji,mitaa na vitongoji waliochaguliwa katika uchaguzi wa serikali
za mitaa na kutoa karipio kali kwa baadhi ya watu wanaotarajia
kugombea nafasi mbali mbali za uongozi kwenye uchaguzi mkuu ujao
walioanza kujipitisha pitisha na kutoa rushwa kwamba majina yao
hayatasita kukatwa.
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wilaya ya Ikungi,Bwana...
9 years ago
Mwananchi01 Nov
Wanawake 22 waliotikisa majimboni
10 years ago
Mwananchi08 Mar
Moto wawaka majimboni
9 years ago
Habarileo17 Aug
Mtifuano Ukawa wakolea majimboni
SIKU chache baada ya uongozi wa NLD mkoani Mtwara kudai hautambui mpango wa kuachiana majimbo unaohubiriwa na viongozi wakuu wa umoja wa vyama vinne vya upinzani, hali si shwari katika Jimbo la Morogoro Kusini Mashariki, baada ya Chadema na CUF, kila kimoja kusimamisha mgombea wake jimboni humo.
10 years ago
Habarileo18 May
Takukuru kusambaza makachero majimboni
TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) inatarajia kusambaza vijana wa kazi katika majimbo yote nchini, kuwashughulikia wote walioonesha nia ya kugombea nafasi mbalimbali za uchaguzi, ambao wanatoa rushwa ili kupata wafuasi.
10 years ago
Mwananchi10 Feb
Wabunge waweka kambi majimboni
11 years ago
Tanzania Daima01 Apr
Wanawake watakiwa kuwania uongozi majimboni
CHAMA cha Wabunge Wanawake Tanzania (TWPG) kimewakata wanawake wenzao kujitokeza kuwania nafasi mbalimbali badala ya kusubiri nafasi za uteuzi. Kauli hiyo ilitolewa mjini hapa jana na Makamu Mwenyekiti wa chama...