Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mwambusi: Ushindi umetutoa ganzi

Kocha Mkuu wa Mbeya City, Juma Mwambusi amesema sasa wametoka kwenye ganzi baada ya kuiongoza timu yake kupata ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Ndanda FC juzi kwenye Uwanja wa Sokoine, Mbeya.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

CCM MNAKIPASUA CHAMA BILA GANZI

Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, January Makamba. Wiki iliyopita nilisoma habari iliyomhusu Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, January Makamba ambaye alimtolea uvivu mshauri wa zamani wa Siasa wa Rais Jakaya Kikwete, Kingunge Ngombale Mwiru kwa kuupinga mchakato wa uteuzi wa mgombea wa urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) na kusema bila kupindapinda kuwa anakivuruga chama....soma...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Makonda awatia ganzi viongozi UVCCM

HATIMA ya Paul Makonda kuhusu kauli aliyoitoa dhidi ya aliyewahi kuwa Waziri Mkuu, Edward Lowassa, itajulikana baada ya kumalizika kwa maadhimisho ya miaka 37 ya kuzaliwa kwa Chama Cha Mapinduzi...

 

11 years ago

Mwananchi

Mwambusi ageuka ‘mbogo’

>Kocha wa Mbeya City, Juma Mwambusi   amewashutumu watu waliomzushia kuwa amenunuliwa nyumba na klabu ya Azam FC, hali iliyofanya maisha yake kuwa hatarini kabla ya mchezo huo.

 

11 years ago

Mwananchi

Mwambusi alalamikia waamuzi

Kocha wa Mbeya City, Juma Mwambusi amesema mdudu mbaya anayefanya kiwango cha soka nchini kishindwe kukua ni waamuzi wasiokuwa wadilifu katika uchezeshaji wao hasa kwa timu ndogo zinazoibuka na kuonyesha ushindani mkubwa dhidi ya timu kubwa.

 

9 years ago

Mwananchi

Mwambusi amlilia Nyoso

Siku moja baada ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), kumlima rungu la miaka miwili nahodha wa Mbeya City, Juma Nyoso kutokana na kitendo cha utomvu wa nidhamu, kocha wa timu hiyo Juma Mwambusi amesema hana la kusema kufuatia adhabu aliyopewa mchezaji wake.

 

9 years ago

Habarileo

Mwambusi arithi mikoba ya Mkwasa

KLABU ya Yanga jana ilisaini rasmi mkataba wa mwaka mmoja na nusu na aliyekuwa Kocha Mkuu wa Mbeya City, Juma Mwambusi kuwa msaidizi wa Mholanzi Hans van der Pluijm.

 

10 years ago

Habarileo

Mbeya City kuendelea na Mwambusi

UONGOZI wa klabu ya Mbeya City unajipanga kusaini mkataba mpya na kocha Juma Mwambusi baada ya kufikia makubaliano kati ya pande zote mbili mwishoni mwa juma hili.

 

10 years ago

Mwananchi

Ziara Yanga yamkuna Mwambusi

Kocha wa Mbeya City, Juma Mwambusi amesema ujio wa Yanga ndani ya Jiji la Mbeya hilo ni kama zali kwao kwani mechi yao ya kirafiki watakayocheza nao Jumapili itamsaidia kukijenga kikosi chake.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mwambusi Kocha Bora 2013/14

KOCHA wa timu ya Mbeya City, Juma Mwambusi, ameibuka Kocha Bora wa Ligi Kuu Tanzania Bara iliyofikia tamati Aprili 19, mwaka huu. Kwa ushindi huo, Mwambusi alijitwalia kitita cha sh...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani