Mwenyekiti mstaafu UVCCM atoa somo
MWENYEKITI mstaafu wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Dodoma Mjini, Robert Mwinje, amewahamasisha vijana kuwahoji wagombea wa nafasi mbalimbali katika Uchaguzi Mkuu ujao kama wana sera zitakazowasaidia vijana.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziKAMANDA MSTAAFU WA UVCCM KINONDONI ASHIRIKI KATIKA USAFI WA MAZINGIRA
11 years ago
Tanzania Daima02 Jun
Mwenyekiti UVCCM Singida asimamishwa
BARAZA Kuu la Umoja wa Vijana (UVCCM) Mkoa wa Singida limemsimamisha uongozi Mwenyekiti wao wa mkoa, Martin Labia Lissu kwa madai ya kushindwa kutoa utetezi dhidi ya tuhuma zilizokuwa zikimkabili....
10 years ago
Mtanzania15 Jun
Mwenyekiti UVCCM Iringa ajiuzulu
Na Aziza Masoud, Dar es Salaam
MWENYEKITI wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Mkoa wa Iringa, Tumaini Msowoya, amejiuzulu nafasi yake kwa kile alichodai kuepuka mgongano wa masilahi.
Amesema amefikia hatua hiyo baada ya mume wake, Frank Kibiki kutangaza nia ya kuwania ubunge wa Iringa Mjini, huku akihisi kutotenda haki katika vikao vya chama ambavyo huwa na uamuzi.
Taarifa iliyotolewa kwa vyombo vya habari jana na Tumaini, ilieleza kuwa ameamua kuchukua hatua hiyo ili aweze...
9 years ago
Habarileo15 Oct
Mwenyekiti UVCCM Kilolo akimbilia Chadema
MWENYEKITI wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) wilaya ya Kilolo, mkoani Iringa, Sifuni Makongwa juzi ametangaza kukihama Chama Cha Mapinduzi (CCM) na kujiunga na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema).
11 years ago
GPLWAJUMBE UVCCM MORO WAMKATAA MWENYEKITI WAO
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/S5oOR1dkyIlzjLv2MlL3W2SqSTeCjxiCYBdbaVRlBztZLUsaJXvnPoinxEVApx*lCTvUxjkPyuv6G8vpMBsv9MlfHvqKmiid/DUDE.jpg)
DUDE ATOA SOMO LA MCHEPUKO
10 years ago
Habarileo07 Dec
Mgombea CCM atoa somo
WAGOMBEA wa nafasi ya uenyekiti wa mtaa katika maeneo mbalimbali, wametakiwa kutumia vizuri majukwaa yao kutangaza sera za vyama vyao na vile wanavyoweza kutatua matatizo ya wananchi, badala ya kutoa kashfa.
11 years ago
Mwananchi12 Apr
Lipumba atoa somo bungeni
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Kqu4JOS-VwPvmf97kEatkXahTMhQlCVgOxRO20yPrGr6AkV-4MwKdE154YNUwCtLo216xzaBHjMCaJkMzaLSnyNS28iWuyct/johari.jpg)
JOHARI ATOA SOMO LA UZAZI