Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NEC yavitoa hofu vyama wizi wa kura

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imevitoa wasiwasi vyama vya siasa kuwa hakutakuwepo na wizi na udanganyifu wa kura katika matokeo ya uchagauzi wa rais, wabunge na madiwani, utakaofanyika nchini kote Oktoba 25, mwaka huu.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

NEC: Hakuna wizi na udanganyifu wa kura Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25

1.

Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Damian Lubuva akisalimiana na Mwakilishi wa Chama cha Kitaifa cha Watu Wasioona Zanzibar (ZANAB), Adili Mohamed wakati wa mkutano baina ya taasisi za watu wenye ulemavu nchini na NEC iliyofanyika leo Jumanne Septemba 29, 2015 Jijini Dar es Salaam.

2.

Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi  (NEC), Jaji Damian Lubuva akisalimiana na Mwakilishi wa Shirikisho la Watu Wenye Ulemavu Tanzania (SHIVYAWATA), Mkoa wa Dar es Salamm Mohamed Chazi ...

 

10 years ago

Mwananchi

UANDIKISHAJI WAPIGA KURA: Vyama 22 vyaungana kuishukia NEC

>Vyama vya siasa nchini vimeibana Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), wakitaka iweke wazi kama itaweza kukamilisha mchakato wa uandikishaji Daftari la Wapiga kura kabla ya Kura ya Maoni iliyopangwa kufanyika Aprili 30.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wizi wa kura hadi kwenye kura ya maoni!

WAKATI Bunge Maalumu la Katiba linaendelea, kuna wanaosema kwamba hata kura ya maoni haiwezi kusaidia sana maana hapa Tanzania kuna hofu ya wizi wa kura. Tume ya uchaguzi tuliyonayo sasa...

 

11 years ago

Habarileo

Hofu ya wizi wa watoto wa kike

HOFU kubwa imetanda Manispaa ya Sumbawanga kwa wazazi wenye watoto wadogo wa kike, kutokana na taarifa zilizozagaa za kuwepo kwa watu wanaodaiwa kuiba watoto wadogo wa kike na kuwauza kusikojulikana.

 

9 years ago

Vijimambo

HIZI NDIZO SABABU YA KWANINI MATOKEO YA URAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO KURA ZILIZOPIGWA ZANZIBAR HAYAKUATHIRI KURA ZA NEC



Katika uchaguzi wa Zanzibar, utaratibu ni kwamba Watanzania Zanzibar wanapiga kura 5, yaani Rais wa Zanz, Mwakilishi na diwani. Pia wanapiga kura ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mbunge.

Kwenye kituo cha kupigia kura kuna meza 2. Moja ni ya tume ya uchaguzi Zanzibar (ZEC) na nyingine ni ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC).

Meza ya NEC ina watumishi wake na Meza ya ZEC ina watumishi wake.

Watumishi wa NEC wanaripoti moja kwa moja kwa NEC na watumishi wa ZEC wanaripoti moja kwa moja...

 

10 years ago

Vijimambo

Chadema: Kauli ya JK yavitia hofu vyama vya siasa

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimepinga kauli ya Rais Jakaya Kikwete kwamba kura ya maoni ya kupitisha au kuikataa katiba inayopendekezwa itafanyika wakati wowote kabla ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2015 kwa kuwa inakiuka makubaliano kati yake na viongozi wa vyama vya siasa.

Rais Kikwete alisema juzi mjini Dodoma baada ya kukabidhiwa Rasimu ya Katiba inayopendekezwa iliyoandaliwa na Bunge Maalum la Katiba (BMK), alisema kuwa kura ya maoni ya kuipitisha Katiba hiyo au kuikataa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Vyama vyaipinga NEC

HATUA ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kuandika upya daftari la kudumu la wapiga kura, imeendelea kupingwa kwamba haijavishirikisha vyama vya siasa nchini kama wadau muhimu. Katika mahojiano na...

 

11 years ago

Tanzania Daima

NEC yaonya vyama Chalinze

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imevionya vyama vya siasa kuacha kutumia lugha za vitisho na matusi katika kampeni za uchaguzi mdogo wa ubunge zinazoendelea katika Jimbo la Chalinze. Akizungumza...

 

10 years ago

Habarileo

NEC yabanwa vyama kuwa na wakalimani

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imetakiwa kuvibana vyama vya siasa vitakavyosimamisha wagombea wa nafasi ya urais kuwa na wakalimani wa lugha za alama katika mikutano yao ya kampeni ili kutoa fursa kwa walemavu kuweza kuelewa wanachokizungumza.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani