Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Vyama vyaipinga NEC

HATUA ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kuandika upya daftari la kudumu la wapiga kura, imeendelea kupingwa kwamba haijavishirikisha vyama vya siasa nchini kama wadau muhimu. Katika mahojiano na...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

NEC yaonya vyama Chalinze

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imevionya vyama vya siasa kuacha kutumia lugha za vitisho na matusi katika kampeni za uchaguzi mdogo wa ubunge zinazoendelea katika Jimbo la Chalinze. Akizungumza...

 

10 years ago

Habarileo

NEC yabanwa vyama kuwa na wakalimani

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imetakiwa kuvibana vyama vya siasa vitakavyosimamisha wagombea wa nafasi ya urais kuwa na wakalimani wa lugha za alama katika mikutano yao ya kampeni ili kutoa fursa kwa walemavu kuweza kuelewa wanachokizungumza.

 

9 years ago

Mwananchi

NEC, vyama wagongana hatima ya Wapigakura Oktoba 25

Upo mgongano wa maslahi kati ya Tume ya Taifa ya uchaguzi (NEC)  na vyama vya siasa juu ya mustakabali wa wapiga kura hapo Oktoba 25.

 

10 years ago

Habarileo

NEC, vyama vya siasa waweka maadili

Jaji Damian LubuvaTUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imefikia mwafaka na vyama vya siasa kuweka maadili ambayo yataviongoza vyama hivyo wakati wa kampeni hadi siku ya kupiga kura.

 

10 years ago

Mtanzania

NEC yaagizwa ikutane na vyama vya siasa

mussa zunguNa Maregesi Paul, Dodoma

BUNGE limeitaka Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) ikutane na Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD), kuangalia namna ya kufanikisha uandikishaji wa wananchi katika Daftari la Kudumu la wapiga Kura.

Kauli hiyo ilitolewa bungeni juzi na Mwenyekiti wa Bunge, Mussa Zungu alipokuwa akijibu mwongozo wa Mbunge wa Kuteuliwa, James Mbatia.

“Waheshimiwa wabunge kama mtakumbuka leo asubuhi (juzi asubuhi), mheshimiwa Mbatia aliomba mwongozo kuhusu uandikishaji wa Daftari la Kudumu la...

 

9 years ago

Habarileo

NEC yavitoa hofu vyama wizi wa kura

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imevitoa wasiwasi vyama vya siasa kuwa hakutakuwepo na wizi na udanganyifu wa kura katika matokeo ya uchagauzi wa rais, wabunge na madiwani, utakaofanyika nchini kote Oktoba 25, mwaka huu.

 

9 years ago

Habarileo

NEC yavijia juu vyama vya siasa

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imevitaka vyama vya siasa na wagombea wao, kuwa tayari kukubali matokeo ya uchaguzi, watakayoyatangaza kwa mujibu wa taratibu na sheria, kama walivyosaini katika Mwongozo wa Maadili.

 

9 years ago

Mwananchi

NEC yashusha rungu kwa vyama vya siasa

Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imetoa muda wa saa 48 kwa vyama vya siasa vilivyobandika picha za wagombea maeneo yasiyostahili Jimbo la Moshi mjini kuyaondoa mara moja.

 

10 years ago

Mwananchi

UANDIKISHAJI WAPIGA KURA: Vyama 22 vyaungana kuishukia NEC

>Vyama vya siasa nchini vimeibana Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), wakitaka iweke wazi kama itaweza kukamilisha mchakato wa uandikishaji Daftari la Wapiga kura kabla ya Kura ya Maoni iliyopangwa kufanyika Aprili 30.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani