Vyama vyaipinga NEC
HATUA ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kuandika upya daftari la kudumu la wapiga kura, imeendelea kupingwa kwamba haijavishirikisha vyama vya siasa nchini kama wadau muhimu. Katika mahojiano na...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima27 Mar
NEC yaonya vyama Chalinze
TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imevionya vyama vya siasa kuacha kutumia lugha za vitisho na matusi katika kampeni za uchaguzi mdogo wa ubunge zinazoendelea katika Jimbo la Chalinze. Akizungumza...
10 years ago
Habarileo20 Jun
NEC yabanwa vyama kuwa na wakalimani
TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imetakiwa kuvibana vyama vya siasa vitakavyosimamisha wagombea wa nafasi ya urais kuwa na wakalimani wa lugha za alama katika mikutano yao ya kampeni ili kutoa fursa kwa walemavu kuweza kuelewa wanachokizungumza.
9 years ago
Mwananchi13 Oct
NEC, vyama wagongana hatima ya Wapigakura Oktoba 25
10 years ago
Habarileo14 Jul
NEC, vyama vya siasa waweka maadili
TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imefikia mwafaka na vyama vya siasa kuweka maadili ambayo yataviongoza vyama hivyo wakati wa kampeni hadi siku ya kupiga kura.
10 years ago
Mtanzania06 Feb
NEC yaagizwa ikutane na vyama vya siasa
Na Maregesi Paul, Dodoma
BUNGE limeitaka Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) ikutane na Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD), kuangalia namna ya kufanikisha uandikishaji wa wananchi katika Daftari la Kudumu la wapiga Kura.
Kauli hiyo ilitolewa bungeni juzi na Mwenyekiti wa Bunge, Mussa Zungu alipokuwa akijibu mwongozo wa Mbunge wa Kuteuliwa, James Mbatia.
“Waheshimiwa wabunge kama mtakumbuka leo asubuhi (juzi asubuhi), mheshimiwa Mbatia aliomba mwongozo kuhusu uandikishaji wa Daftari la Kudumu la...
9 years ago
Habarileo30 Sep
NEC yavitoa hofu vyama wizi wa kura
TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imevitoa wasiwasi vyama vya siasa kuwa hakutakuwepo na wizi na udanganyifu wa kura katika matokeo ya uchagauzi wa rais, wabunge na madiwani, utakaofanyika nchini kote Oktoba 25, mwaka huu.
9 years ago
Habarileo02 Oct
NEC yavijia juu vyama vya siasa
TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imevitaka vyama vya siasa na wagombea wao, kuwa tayari kukubali matokeo ya uchaguzi, watakayoyatangaza kwa mujibu wa taratibu na sheria, kama walivyosaini katika Mwongozo wa Maadili.
9 years ago
Mwananchi03 Oct
NEC yashusha rungu kwa vyama vya siasa
10 years ago
Mwananchi13 Feb
UANDIKISHAJI WAPIGA KURA: Vyama 22 vyaungana kuishukia NEC