Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ni huzuni

pic 21*Msaidizi wa IGP afariki dunia kwa mafuriko

NA RAMADHAN HASSAN, DODOMA

GERALD Ryoba ambaye ni Msaidizi wa Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini (IGP), Ernest Mangu, amefariki dunia na familia yake baada ya gari walilokuwa wakisafiria kusombwa na mafuriko mkoani Dodoma jana.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, David Misime, aliwambia waandishi wa habari jana, kwamba tukio hilo lilitokea eneo la Kibaigwa mjini hapa.

Alisema kwamba, Ryoba na familia yake, walikuwa wakitoka mkoani Geita wakielekea jijini...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Vilio, huzuni maziko ya Filikunjombe

SAFARI ya aliyekuwa mbunge mahiri wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Deo Filikunjombe, hapa duniani, ilikamilika jana saa 10.30 jioni wakati mwili wake ulipozikwa kwenye makaburi ya Kanisa Katoliki mjini Ludewa, katika jimbo ambalo aliliongoza kwa ufanisi mkubwa kwa miaka mitano iliyopita.

 

9 years ago

Michuzi

VILIO,HUZUNI MAZIKO YA DEO FILIKUNJOMBE

Marehemu Deo Filikunjombe.

SAFARI ya aliyekuwa mbunge mahiri wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Deo Filikunjombe, hapa duniani, ilikamilika jana saa 10.30 jioni wakati mwili wake ulipozikwa kwenye makaburi ya Kanisa Katoliki mjini Ludewa, katika jimbo ambalo aliliongoza kwa ufanisi mkubwa kwa miaka mitano iliyopita.Vilio, huzuni, simanzi vilitawala wakati wa maziko ya mwanasiasa huyo kijana ambaye alizikwa pamoja na wenzake wawili wanaotajwa kwamba walikuwa watu wake wa karibu. Filikunjombe (43)...

 

9 years ago

BBCSwahili

Furaha na huzuni mahujaji wakirejea Tanzania

Tanzania ni mojawapo ya nchi barani Afrika zenye idadi kubwa ya watu ambao bado hawafahamiki walipo baada ya kutokea mkanyagano Mecca, Saudi Arabia. Hadi sasa watu 6 inajulikana walipoteza maisha.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ni kweli Nyerere kafa kwa huzuni?

WIKI mbili zilizopita niliandika makala iliyobeba kichwa cha habari cha ‘Mandela katuachia fundisho, tutalitekeleza?’ Katika makala hiyo nilijaribu kuyaangalia maisha ya Mandela, hasa baada ya kuanza harakati zake za kuutokomeza...

 

10 years ago

Vijimambo

PICHA INANITIA HUZUNI KILA NIIANGALIAPO

Bernadeta akimpa pole Henry Kente siku ya ibada ya kumbukumbu ya maisha ya marehemu Mr. Wilbard Kente Jumamosi March 21, 2015 Washington, DC.

 

10 years ago

Africanjam.Com

ISOME BARUA YA HUZUNI YA PETR CECH KUWAAGA CHELSEA

Arsenal wamemsainisha mkataba golikipa Petr Cech kutoka Chelsea, Cech mwenye miaka 33 ametua Emirates Stadium kwa mkataba wa muda mrefu (undisclosed) baada ya kudumu Chelsea kwa muda wa miaka 11.
Baada ya kumwaga wino kujiunga na Arsenal, Cech ameandika barua ya kuwaaga mashabiki wa Chelsea kwa ushirikiano waliompa kwa kipindi chote alichokuwa anaitumikia klabu hiyo.Hii hapa ni barua yake….Sikuwahi kufikiria kama ingekuja kutokea sikumoja nitakuja kusema kwaheri kwenye klabu ya Chelsea. Klabu...

 

10 years ago

GPL

MAISHA YA HUZUNI YA CHOKI BAADA YA KIFO CHA MKEWE!

Makala: Gladness Mallya
Ni maisha ya huzuni! Zikiwa zimepita siku kadhaa tangu aondokewe na mkewe kipenzi, Shuea Hamis ’Mama Shuu’, Mkurugenzi wa Bendi ya Extra Bongo ‘Wazee wa Kizigo’, Ali Choki, kwa mara ya kwanza amefunguka mazito kuhusiana na maisha anayoishi sasa. Mkurugenzi wa Bendi ya Extra Bongo ‘Wazee wa Kizigo’, Ali Choki . Mke wa Choki alifariki dunia hivi karibuni baada...

 

10 years ago

Mwananchi

SIMULIZI: Huzuni, hofu vyatesa familia ya albino aliyetekwa, kuuawa -2

>Shija anasema yeye ni mtoto wa tatu kuzaliwa kwa baba na mama yake, walizaliwa watoto wanane, kati ya hao wanne ni albino, lakini kati ya albino hao wawili wamekufa, hivyo wamebaki wawili.

 

10 years ago

Vijimambo

MSAFARA WENYE MWILI WA MAREHEMU SAMUEL LUANGISA WAACHA HUZUNI BUKOBA



Gari lenye mwili wa marehemu Samuel Luhangisa lililosindikizwa na msafara mrefu wa magari,na pikipiki nyuma yake limeacha huzuni kubwa kwa wakazi wa mji wa Bukoba.Msafara huo ulikatiza katika viunga vya mji huo ikiwa ni safari yake ya mwisho kabla ya kupumzishwa katika nyumba yake ya milele tarehe 3/Juni/2015.Marehemu Samuel Luangisa ni miongoni mwa waasisi wa Taifa na katika vipindi tofauti alikuwa Mkuu wa Mkoa wa Ziwa Magharibi(Kagera)Mbunge na Meya wa Manispaa ya Bukoba pamoja na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani