Ni kweli Nyerere kafa kwa huzuni?
WIKI mbili zilizopita niliandika makala iliyobeba kichwa cha habari cha ‘Mandela katuachia fundisho, tutalitekeleza?’ Katika makala hiyo nilijaribu kuyaangalia maisha ya Mandela, hasa baada ya kuanza harakati zake za kuutokomeza...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi13 Oct
Tuseme kweli, tunajidanganya si kumuenzi Mwalimu Nyerere
10 years ago
VijimamboCHUMBA CHA HABARI CHA GAZETI LA JAMBO LEO NA STAA SPOTI CHAZIZIMA KWA HUZUNI BAADA YA KUFIWA NA MENEJA WAO MZEE RAMADHANI KIBANIKE
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-akUSMuMoELE/VLYtEZkZc2I/AAAAAAAAmcQ/AHNbTksNfQc/s72-c/LEMUTUZII899.jpg)
Utajua Marafiki wa kweli na Mburulazzz, Lulu Michael Ndio Rafiki wa Kweli
![](http://2.bp.blogspot.com/-akUSMuMoELE/VLYtEZkZc2I/AAAAAAAAmcQ/AHNbTksNfQc/s640/LEMUTUZII899.jpg)
10 years ago
Mwananchi18 Aug
Unaposoma unaweza kutambua taarifa anazoandika mtunzi zilizo kweli na zisizo kweli?
9 years ago
Mtanzania05 Jan
Ni huzuni
*Msaidizi wa IGP afariki dunia kwa mafuriko
NA RAMADHAN HASSAN, DODOMA
GERALD Ryoba ambaye ni Msaidizi wa Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini (IGP), Ernest Mangu, amefariki dunia na familia yake baada ya gari walilokuwa wakisafiria kusombwa na mafuriko mkoani Dodoma jana.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, David Misime, aliwambia waandishi wa habari jana, kwamba tukio hilo lilitokea eneo la Kibaigwa mjini hapa.
Alisema kwamba, Ryoba na familia yake, walikuwa wakitoka mkoani Geita wakielekea jijini...
9 years ago
Habarileo19 Oct
Vilio, huzuni maziko ya Filikunjombe
SAFARI ya aliyekuwa mbunge mahiri wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Deo Filikunjombe, hapa duniani, ilikamilika jana saa 10.30 jioni wakati mwili wake ulipozikwa kwenye makaburi ya Kanisa Katoliki mjini Ludewa, katika jimbo ambalo aliliongoza kwa ufanisi mkubwa kwa miaka mitano iliyopita.
10 years ago
VijimamboPICHA INANITIA HUZUNI KILA NIIANGALIAPO
9 years ago
Michuzi19 Oct
VILIO,HUZUNI MAZIKO YA DEO FILIKUNJOMBE
![Marehemu Deo Filikunjombe.](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/UUzRjQ-ryeBVLnmnXjMH1ajCdag4dCT864c8CHloaFYPWnZ3oTCjJzd_3XKLzNdlTO3uJ15iDAz1eAnLUkOg_-noLZVNmp_nxFT1bpUdt1suCvZI595ZEbrfn2wuwZKr=s0-d-e1-ft#http://habarileo.co.tz/images/resized/images/deo-filikunjombee_210_120.jpg)
SAFARI ya aliyekuwa mbunge mahiri wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Deo Filikunjombe, hapa duniani, ilikamilika jana saa 10.30 jioni wakati mwili wake ulipozikwa kwenye makaburi ya Kanisa Katoliki mjini Ludewa, katika jimbo ambalo aliliongoza kwa ufanisi mkubwa kwa miaka mitano iliyopita.Vilio, huzuni, simanzi vilitawala wakati wa maziko ya mwanasiasa huyo kijana ambaye alizikwa pamoja na wenzake wawili wanaotajwa kwamba walikuwa watu wake wa karibu. Filikunjombe (43)...
9 years ago
BBCSwahili01 Oct
Furaha na huzuni mahujaji wakirejea Tanzania