Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nigeria kuchunguza udhalilishaji kambini

Nigeria inachunguza taarifa za ubakaji, usafirishaji wa watoto na udhalilishaji kambi za wakimbizi.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Wakimbizi wafia kambini mpakani Nigeria

Taarifa kutoka nchini Cameroon zinasema kuwa wakimbizi waliotoroka kutoka kwa wapiganaji wa Boko:H wamefariki klatika kambi ya wakimbizi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Nigeria kuchunguza utekaji mpya

Serikali nchini Nigeria inachunguza taarifa za kutekwa idadi kubwa ya wanawake na wasichana kaskazini Mashariki mwa nchi hiyo

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Kauli ya Muhongo ya udhalilishaji’

KAULI ya Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo, kuwa kuna watanzania wanaomiliki  eneo lenye ukubwa wa jiji la Dar es Salaam mara tatu imeelezwa kuwa ni udhalillishaji dhidi...

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanaume 13 washtakiwa kwa udhalilishaji

Wanaume 13 asili ya Somalia washtakiwa kwa udhalilishaji dhidi ya Watoto wa kike

 

10 years ago

BBCSwahili

Ripoti yafichua udhalilishaji wanawake

Shirika la Human Rights Watch limeripoti udhalilishwaji kijinsia wanaofanyiwa wanawake nchini Somalia na askari wa kulinda amani

 

10 years ago

Habarileo

Magereza wakanusha udhalilishaji wa watuhumiwa

Kamishna Jenerali wa Magereza, John MinjaJESHI la Magereza limesema limefanya uchunguzi kubaini tuhuma mbalimbali ambazo zimekuwa zikiripotiwa kwenye vyombo vya habari za kunyanyaswa na kutendewa vitendo visivyofaa watuhumiwa wa kesi za ugaidi na kugundua taarifa hizo hazina ukweli.

 

11 years ago

Habarileo

Wataka kesi za udhalilishaji kuharakishwa

WANAHARAKATI wanaopambana na vitendo vya udhalilishaji wa kijinsia, wamevitaka vyombo vya sheria nchini ikiwemo Mahakama, kuzipatia ufumbuzi wa haraka kesi za udhalilishaji wa kijinsia, ikiwemo ubakaji. Ofisa wa Utetezi wa Chama cha Waandishi wa Habari (TAMWA), Asha Abdi alisema jumla ya kesi 996 ziliripotiwa katika vituo vya Polisi Unguja na Pemba.

 

9 years ago

Dewji Blog

UN, SMZ kushirikiana kukomesha udhalilishaji wa kijinsia

IMG_9939

Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa  na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo (UNDP) nchini, Alvaro Rodriguez akizungumza na waandishi wa habari katika ofisi za Dawati la Jinsia na Watoto, Mkoa wa Kaskazini Unguja katika Kijiji cha Mahonda wakati wa ziara fupi ya kukagua miradi inayofadhiliwa na Umoja wa Mataifa visiwani humo ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya miaka 70 ya Umoja huo tangu kuanzishwa.

Na Mwandishi wetu, Zanzibar.

Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa  na...

 

10 years ago

Vijimambo

DC Makonda kutinga kortini kwa udhalilishaji.

Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda.
Viongozi wawili wa Chama cha Mapinduzi (CCM), wanakusudia kumfikisha mahakamani Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda, Jumatatu ijayo kwa madai ya kuwakashifu, kuwadhalilisha na kuwatukana.

Viongozi hao ni aliyekuwa Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Dar es Salaam, John Guninita na Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Singida Mgana Msindai.

Akisoma kusudio hilo jana mbele ya waandishi wa habari kwa niaba ya mwenzake, Guninita alisema.

Makonda hakustahili kuteuliwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani