Nimewekeza ‘boom’ la Chuo kufanya muziki
Penye nia pana njia na mvumilivu hula mbivu’ licha ya kuchanganywa na usemi wa ngoja ngoja huumiza matumbo.Katika kila safari ya mja, hunena kupitia tone la jasho analosotea juani.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo518 May
New Music: Ponchy Montana Ft Ay & Eunice – Boom Boom
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-qtwox7lrZtc/VmfqbR8rmXI/AAAAAAAILNo/uhfTqOfyGj4/s72-c/IMG_7109.jpg)
WANAFUNZI WA CHUO CHA KODI JIJINI DAR WATIMIZA WAJIBU KUFANYA USAFI KATIKA CHUO CHAO
CHUO cha Kodi cha Mwenge jijini Dar es Salam wameitikia wito wa kauli ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.John Pombe Joseph Magufuli kufanya usafi katika mazingira ya Chuo hicho.
Kaimu Mkuu wa Chuo cha Kodi, Edward Mwakimonga amewasihi wanafunzi pamoja na wananchi kwa ujumla kuwa usafi ni afya na ikiwezekana iwe ni kawaida kufanya usafi kila baada ya wiki mara moja ili kuweka mazingira safi.
Nae Waziri Mkuu wa serikali ya chuo cha Kodi, Jeremia Shushu amewashukuru wanafunzi pamoja...
11 years ago
Mwananchi15 Feb
Msondo; Chuo cha muziki kisicho na majengo
10 years ago
Mwananchi06 Dec
Nyota aliyeamua kuacha chuo akafanye muziki
9 years ago
Bongo520 Aug
Nahreel kufungua chuo cha muziki ‘TIMS’
11 years ago
Mwananchi03 Aug
Saisalu: Nafanya muziki kutafuta ada ya chuo
9 years ago
Bongo530 Oct
Nitaendelea kufanya muziki — Professor Jay
![Professor akiwa kwenye shughuli za kisiasa](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/04/Professor-akiwa-kwenye-shughuli-za-kisiasa-94x94.jpg)
9 years ago
Bongo504 Dec
Sijaacha, na sitoacha kufanya muziki – Cpwaa
![Cpwaa na meneja wa T.I , Joson Gete](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2014/10/Cpwaa-na-meneja-wa-T.I-Joson-Gete-300x194.jpg)
Rapper Cpwaa amesema anashangazwa na watu wanaozusha kwamba ameacha muziki wakati sio kweli.
Akizungumza na Bongo5, Cpwaa amewataka mashabiki wake kupuuza uvumi huo.
“Mimi ninachowaambia mashabiki wangu, nipo na bado ndio kama naanza,” amesema. “Kuna watu wanavumisha nimeacha muziki, sijui hizo taarifa wamezipatawa wapi? Nataka mashabiki wangu wajue bado nipo na kuna kazi nyingi zitakuja na mtapata ile ladha ya muziki wa Cpwaa wanaemjua,” ameongeza.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!!...
10 years ago
CloudsFM01 Apr
Diamond: Nina uwezo wa kufanya muziki wowote
Staa wa Bongo Fleva,Diamond Platinumz amefunguka kuwa ana uwezo wa kufanya muziki wa aina yoyote kipaji ambacho amejaaliwa na Mwenyezi Mungu.