Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nimr yapata maabara inayohamishika

Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (Nimr), imezindua maabara inayohamishika ya uchunguzi wa magonjwa hatari iliyogharimu Sh120 milioni.     

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Tanzania yapata maabara ya kipekee

Tanzania imepata maabara inayoweza kuhamishwa kutoka eneo moja hadi jingine ambayo itasaidia kukabiliana na maradhi ya mlipuko kama vile Ebola.

 

10 years ago

Habarileo

Maabara Muhimbili yapata ubora wa kimataifa

HOSPITALI ya Taifa ya Muhimbili (MNH) kupitia kitengo cha maabara imepokea cheti cha kimataifa cha ithibati kutoka Taasisi ya Kimataifa ya Viwango (ISO) baada ya kuonekana kutoa huduma bora za kitabibu.

 

10 years ago

GPL

SEKONDARI YA MAKUMBUSHO YAPATA MSAADA WA VIFAA VYA MAABARA YA KISASA YA KOMPYUTA

Wanafunzi wa kidato cha tatu wa Shule ya Sekondari ya Makumbusho,Mariam Rajabu na Faraja Abdallah wakimsikiliza  Mkuu wa Kitengo cha Vodacom Foundation, Renatus Rwehikiza (kulia) akiwafafanulia jambo kuhusiana na matumizi ya kompyuta mpakato zilizokabidhiwa na mfuko huo kwa kushirikiana na Samsung ikiwa ni msaada kwa wanafunzi wa shule hiyo kuweza kupata mafunzo ya masomo mbalimbali kupitia kompyuta.
Baadhi ya wanafunzi...

 

10 years ago

Mwananchi

Kuna tofauti ya maabara na majengo ya maabara

Desemba 9 mwaka jana ndiyo ulikuwa mwisho wa utekelezaji wa agizo la Rais Jakaya Kikwete kuhusu ujenzi wa maabara katika shule za sekondari za Serikali nchi nzima.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Dk. Bilal kufungua kongamano NIMR

MAKAMU wa Rais, Dk. Mohammed Gharib Bilal, anatarajia kufungua kongamano la 28 la Sayansi la Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR) sambamba na kukabidhi tuzo kwa...

 

10 years ago

Habarileo

NIMR yatengeneza dawa ya Ukimwi

 Dk Mwele Malecela TAASISI ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR), imetengeneza dawa za asili zilizoboreshwa kwa ajili ya tiba kwa magonjwa mbalimbali, ikiwemo Ukimwi baada ya kuzifanyia utafiti kubaini uwezo na usalama wake.

 

9 years ago

Habarileo

Kikwete ataka NIMR itafiti magonjwa yasiyoambukiza

RAIS Jakaya Kikwete ameiagiza Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR), kujikita zaidi kutafiti magonjwa yasiyoambukiza kwa sababu watu wengi wanaugua magonjwa hayo kwa sasa.

 

11 years ago

Habarileo

NIMR kutengeneza dawa kwa teknolojia ya chembehai

Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR), Dk. Mwele Malecela akichangia mada wakati wa Kongamano la Wanasayansi Watafiti Dar es Salaam jana. Watafiti mbalimbali walikuwa wakiwasilisha ripoti za utafiti wao na kujadiliwa kwa pamoja. (Picha na Mroki Mroki).TAASISI ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR), imesema inatarajia kuanza kutengeneza dawa za binadamu zitokanazo na mimea kwa kutumia teknolojia ya kisasa ya kutumia chembe hai ya mimea bila kukata mti husika.

 

11 years ago

TheCitizen

NIMR collects data on dengue fever outbreak

Following the recent outbreak of Dengue fever in Tanzania, the National Institute for Medical Research (NIMR) has completed data collection as a first step in researching on the disease.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani