Nimr yapata maabara inayohamishika
Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (Nimr), imezindua maabara inayohamishika ya uchunguzi wa magonjwa hatari iliyogharimu Sh120 milioni. Â Â Â
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili11 Dec
Tanzania yapata maabara ya kipekee
10 years ago
Habarileo10 Dec
Maabara Muhimbili yapata ubora wa kimataifa
HOSPITALI ya Taifa ya Muhimbili (MNH) kupitia kitengo cha maabara imepokea cheti cha kimataifa cha ithibati kutoka Taasisi ya Kimataifa ya Viwango (ISO) baada ya kuonekana kutoa huduma bora za kitabibu.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/0gGC4ZQuxjO4V1Lw8eS3YYTgJc-Q2Rg8ViqHaLa8DCLiTf6K9wzI7JuSY2xwqIjXPO8egMVp*jlkv1dT8O9x8*XuO5RIVgm5/001.MAKUMBUSHO.jpg)
SEKONDARI YA MAKUMBUSHO YAPATA MSAADA WA VIFAA VYA MAABARA YA KISASA YA KOMPYUTA
10 years ago
Mwananchi07 Jan
Kuna tofauti ya maabara na majengo ya maabara
11 years ago
Tanzania Daima22 Apr
Dk. Bilal kufungua kongamano NIMR
MAKAMU wa Rais, Dk. Mohammed Gharib Bilal, anatarajia kufungua kongamano la 28 la Sayansi la Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR) sambamba na kukabidhi tuzo kwa...
10 years ago
Habarileo26 Mar
NIMR yatengeneza dawa ya Ukimwi
TAASISI ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR), imetengeneza dawa za asili zilizoboreshwa kwa ajili ya tiba kwa magonjwa mbalimbali, ikiwemo Ukimwi baada ya kuzifanyia utafiti kubaini uwezo na usalama wake.
9 years ago
Habarileo14 Oct
Kikwete ataka NIMR itafiti magonjwa yasiyoambukiza
RAIS Jakaya Kikwete ameiagiza Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR), kujikita zaidi kutafiti magonjwa yasiyoambukiza kwa sababu watu wengi wanaugua magonjwa hayo kwa sasa.
11 years ago
Habarileo25 Apr
NIMR kutengeneza dawa kwa teknolojia ya chembehai
TAASISI ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR), imesema inatarajia kuanza kutengeneza dawa za binadamu zitokanazo na mimea kwa kutumia teknolojia ya kisasa ya kutumia chembe hai ya mimea bila kukata mti husika.
11 years ago
TheCitizen03 Jul
NIMR collects data on dengue fever outbreak