Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Oxfam yamtema Scarlet Johanneson

Kama balozi wake kwa kuunga mkono kampuni ya Israel inayoendesha shughuli zake katika eneo la walowezi katika Ukingo wa Magharibi

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Pistons yamtema Hasheem

Timu ya Kikapu ya Pistons imemtema Mchezaji wake kutoka nchini Tanzania, Hasheem Thabeet.

 

10 years ago

GPL

Yanga yamtema Kaseja Caf

Kipa wa Yanga Juma Kaseja. Na Mwandishi Wetu
YANGA imetuma majina 23 kwa ajili ya kikosi chao kitakachoshiriki michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika lakini imemtema kipa Juma Kaseja. Katika majina yaliyotumwa kwenye makao makuu ya Shirikisho la Soka Afrika (Caf), hakuna jina la Kaseja.
Caf imeipanga Yanga kuanza na BDF ya Botswana, ambayo ni timu inayomilikiwa na jeshi la ulinzi la nchi hiyo. Habari za uhakika kutoka Caf...

 

10 years ago

GPL

Yanga yamtema Kaseja rasmi, yamdai 400m

Kipa wa Yanga Juma Kaseja. Na Sweetbert Lukonge, Zanzibar
YANGA imetangaza rasmi kuachana na kipa Juma Kaseja lakini Championi Ijumaa linafahamu ukweli kuwa klabu hiyo imepanga kumfungulia mashitaka ya kumtaka alipe shilingi milioni 400, kutokana na kuvunja mkataba. Akitangaza kwa waandishi wa habari jana, Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano wa klabu hiyo Jerry Muro alisema kuwa Kaseja ndiye aliyevunja mkataba na klabu hiyo...

 

11 years ago

TheCitizen

Oxfam awards ‘Mama Shujaa’

 Oxfam Tanzania has said it is high time more advocacy initiatives geared towards creating a friendlier environment for small scale farmers were carried out.

 

10 years ago

BBCSwahili

Oxfam:Wanajeshi wa DRC ni wanyanyasaji

Oxfam limesema kuwa dhuluma zinazoendeshwa na wanajeshi mashariki mwa jamhuri ya DRC ni sawa na zile zinazoendeshwa na waasi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Oxfam:Watu 50,000 wametoroka Darfur

Shirika la Oxfam limesema kuwa zaidi ya watu elfu hamsini kutoka eneo la Darfur huko Sudan wamekimbia makazi yao

 

10 years ago

TheCitizen

Oxfam cautions against incentives in attracting FDI

The competitions of developing countries’ governments to attract foreign direct investment (FDI) through provision of excessive incentives and failing to properly regulate the activities of private investments is making their people remain in poverty, Oxfam International chief said.

 

11 years ago

BBCSwahili

Oxfam yaanzisha Kombe la dunia mbadala

Shirika la kutoa huduma za kibinadamu, Oxfam, limeanzisha shindano la kombe la dunia mbadala linaloshirikisha mataifa washiriki.

 

10 years ago

BBCSwahili

Oxfam yatangaza Mradi kupambana na Ebola

Shirika la misaada Oxfam lasisitiza msaada wa mamilioni ya dola kusaidia nchi za Afrika Magharibi zilizoathiriwa na Ebola

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani