Part I: Diamond na Dimpoz hawaelewani? kolabo na Usher Raymond? mauzo ya...
![](http://img.youtube.com/vi/h_TWP_ywOvI/default.jpg)
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-xLQ90A6OkS4/VUjQCOaQwDI/AAAAAAAHVhw/vM_6WE3oVn8/s72-c/Batalia_NLG_lrg.jpg)
Diamond Platnumz Kufanya kolabo na Usher Raymond?
![](http://3.bp.blogspot.com/-xLQ90A6OkS4/VUjQCOaQwDI/AAAAAAAHVhw/vM_6WE3oVn8/s1600/Batalia_NLG_lrg.jpg)
Babu Tale (pichani) ni meneja wa Diamond Platnumz, amekutana kwenye hii Exclusive na dstv.com na kukubali kuizungumzia hiyo na ishu nyingine zote.
Kama wataka muziki ya kukupendeza basi jiburudishe na kipindi ya Official African Chart kila Jumanne saa 21:00 kwenye MTV Base.
Kupata chanzo na mengi mengine BOFYA HAPA
5 years ago
Bongo514 Feb
Huu ndio ujumbe wa Diamond kwa Raymond na Fahyma
Diamond aibariki familia mpya ya msanii wa WCB,Rayvanny ambaye amepata mtoto wake wa kwanza wiki hii.
Ni furaha kuitwa baba au mama hasa katika kipindi ambacho ulichokuwa ukikisubiria kwa hamu. Wawili hao wamefanikiwa kupaa mtoto wa kiume ambaye wamempatia jina la Jayden.
Kupitia mtandao wa Instagram, amewapongeza Ray na Fahyma kwa kuandika, “Congrats @rayvanny & @Fahyma_ on your first Born!… Inshaallah, Mwenyez Mungu awape Baraka, awalindie na wajalie kila lenye kheri ili Mumkuze vyema...
11 years ago
CloudsFM10 Jun
MAFIKIZOLO WAMUOMBA KOLABO DIAMOND
Kundi la Mafikizolo la Afrika Kusini limemuomba kolabo Staa wa Bongo Fleva,Diamond Platnumz ambapo jana (June 9) waliingia katika studio ya Oskido iliyoko Johannesburg kurekodi wimbo huo.
“We doing a collaboration with Diamond,the song is sounding awesome yes” aliandika Theo Kgosinkwe wa Mafikizolo katika moja ya picha wakiwa studio na Diamond.
Collabo hiyo ya Mafikizolo na Diamond itampa nafasi nzuri zaidi Platnumz sababu ya ukubwa walionao wanamuziki hao wa Afrika Kusini.
Mafikizolo ni...
11 years ago
Tanzania Daima22 Jul
Kopa kufanya kolabo na Alikiba, Diamond
MALKIA wa mipasho nchini, Khadija Kopa, amesema katika kuchanganya ladha ya muziki kwa wapenzi wake, amepanga kufanya kolabo na wasanii wa muziki wa kizazi kipya, wakiwemo Alikiba na Diamond Platinumz....
11 years ago
Tanzania Daima03 Feb
Ali Kiba: ‘Kolabo’ na Diamond haitatokea
NYOTA wa muziki wa kizazi kipya nchini, Ali Kiba, amesema haitakuja kutokea kufanya ‘kolabo’ na msanii wa muziki huo, Naseeb Abdul ‘Diamond Platinum’ katika maisha yake. Kauli hiyo ya Ali...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/lET3ABatHUlfWFUFFlkMZQGCa*aBoVPTYf*NTyUb7PT3vdfZeIUCpJrI8425HH6r2aqUe09D0764I5OC5pbQoz9mxwmDwTxb/c.jpg)
DAYNA: SINA MPANGO WA KOLABO NA DIAMOND
10 years ago
CloudsFM13 Feb
Ruby afungukia kolabo yake na Diamond
9 years ago
Bongo516 Oct
Diamond adai kolabo yake na Ne-Yo imewatisha wasanii wa Nigeria