Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


PINDA ASHUHUDIA MLIMA WA MAHINDI AKIWA ZIARANI WILAYANI MBOZI

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na mkewe, mama Tunu wakikagua sehemu ya shehena ya mahindi iliyohifadhiwa nje ya maghala ya Hifadhi ya Taifa ya Chakula, NFRA, enjeo la Vwawa, wilayani Mbozi mkoani Mbeya Jumapili Machi 1, 2015. Maelfu ya tani ya mahindi, yamelazimika kuhifadhiwa nje baada ya maghala yaliyotengwa maalum kuhifadhi nafaka hiyo kujaaSehemu ndogo ya shehena ya mahindi yaliyonunuliwa na serikali na kuhifadhiwa nje ya maghara ya NFRA, Vwawa Mbozi baada ya maghala kujaa, Machi 1, 2015

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

MAKAMU WA RAIS AKIWA ZIARANI KICHAMA KINONDONI LEO



Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa na Mlezi wa CCM Mkoa wa Dar es Salaam, Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akisalimiana na Wananchi na baadhi ya Wajumbe wa Kamati ya Siasa na Sekretarieti ya CCM Wilaya ya Kinondoni  alipowasili katika Ofisi ya DMDP Magomeni Wilaya ya Kinondoni Jijini...

 

10 years ago

Michuzi

DEREVA AFARIKI DUNIA BAADA YA GARI ALILOKUWA AKISAFIRIA KUACHA NJIA NA KUPINDUKA WILAYANI MBOZI,MBEYA

Dereva aliyekuwa akiendesha gari lenye namba za usajili T.910 CYF aina ya Toyota Noah aliyetambulika kwa jina la Stanford Luenje (30) mkazi wa mbozi alifariki dunia baada ya gari hilo kuacha njia na kupinduka huko eneo la Mlowo Wilayani Mbozi.
Tukio hilo limetokea usiku wa kuamkia leo majira ya saa 01:30 huko eneo la mlowo, kata ya mlowo, tarafa ya vwawa, wilaya ya mbozi, mkoa wa mbeya katika barabara kuu ya mbeya/tunduma.
Aidha katika ajali hiyo watu wawili waliofahamika kwa majina ya  1....

 

10 years ago

Michuzi

Mh. Makalla ziarani Wilayani Namtumbo, Mkoani Ruvuma

Naibu Waziri wa Maji, Mh. Amos Makalla amefanya ziara ya kikazi wilaya ya Namtumbo Mkoani Ruvuma, pamoja na mambo mengine amezindua mradi mkubwa wa Maji katika kijiji cha Mkongo Nakawale ambapo watu zaidi ya 4000 wanapata Maji safi.
Aidha amekagua mradi wa Maji Milonji na ametoa agizo hadi kufikia tarehe mei 12 mwaka huu mkandarasi awe amekamilisha kuchimba kisima kingine baada ya kisima cha awali kuwa na Maji machache.
Amemwagiza Katibu Mkuu  wa Wizara ya Maji kuunda kikosi kazi cha watalaam...

 

11 years ago

Michuzi

MAVUNO MAKUBWA YA MAHINDI SHAMBANI KWA MH. PINDA

Waziri Mkuu,Mizengo Pinda akikagua mavuno ya mahindi kutoka shambani kwake yaliyokusanywa nyumbani kwake Kibaoni wilayani Mlele, Mpanda Mei 24, 2014. Mheshimiwa Pinda anatarajia kuvuna zaidi ya magunia 1000 ingawa ekari tano za mahindi hayo ziliharibiwa na Tembo kutoka hifadhi ya Katavi. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

 

10 years ago

Tanzania Daima

Pinda: Ruksa wakulima kuuza mahindi nje

WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda, amesema ruksa kwa wakulima walio na mahindi kuuza nje ya nchi. Hatua hiyo imetokana na wakulima wengi kuzuiwa kuuza mahindi yao nje ya nchi huku wakiwa...

 

10 years ago

Vijimambo

KATIBU MKUU WA CHADEMA DR WILBROAD SLAA AKIWA ZIARANI BARANI ULAYA

Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willibroad Slaa akiwa na Mshauri wa Masuala ya Uchumi, Sayansi na Maendeleo ya Jamii katika ulimwengu wa dijiti (digital), Dk. Mario Voigt, walipokutana Villa La Collina, Milan kwa ajili ya kujadiliana na kubadilishana uzoefu kuhusu namna bora ya kusimamia uchumi unaonufaisha wananchi hususan kwenye nchi zenye utajiri wa rasilimali lakini watu wake wanakabiliwa na umaskini, kama Tanzania. Dk. Voigt ni mtaalam katika eneo hilo,...

 

11 years ago

Michuzi

Mh. Simbachawene ziarani Jimboni kwake kibakwe Wilayani Mpwapwa

Naibu Waziri wa Ardhi Mhe.George Simbachawene ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Kibakwe akikagua ujenzi wa jengo la ofisi ya waalimu shule ya msingi iramba kijiji cha Iramba kata ya Rudi Wilayani Mpwapwa ikiwa ni sehemu ya ziara yake ya kutembelea Jimbo la kibakwe. Kulia kwakwe ni Katibu wa CCM Wilaya Bw. Mbogo ambaye amefuatana na Naibu Waziri kwenye ziara hiyo.Picha na. Mgheni Anthony.

 

10 years ago

Vijimambo

PINDA ZIARANI QATAR

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Waziri Mkuu wa Qatar , Sheikh Abdullah Nasser Al Thani kwenye Ofisi ya Waziri Mkuu huyo iliyopo Doha Jumapili Desemba 21, 2014.Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiongozwa na Waziri Mkuu wa Qatar, Sheikh Abdullah Nasser Al Thani kwenda kwenye chumba cha mikutano baada ya kuwasili kwenye Ofisi ya Waziri Mkuu huyo iliyopo Doha kwa mazungumzo ya kiserikali akiwa katika ziara ya kikazi nchini humo Desemba 21, 2014.Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na...

 

10 years ago

Michuzi

KATIBU MKUU WA CCM,NDUGU KINANA ZIARANI WILAYANI KOROGWE MKOANI TANGA

 Katibu  Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akishona nguo kwenye ofisi ya Veronica Simba (kushoto) iliyopo Mombo Sokoni,kulia ni Mbunge wa Korogwe Vijijini Ndugu Stephen Ngonyani ,Katibu Mkuu alikuwa kwenye ziara ya siku moja katika wilaya ya Korogwe Vijijini ambapo licha ya kukagua miradi mbali mbali ya ujenzi wa maabara na ofisi za CCM alipata nafasi ya kuwahutubia wananchi na kuwasikiliza.  Katibu  Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akimuelekeza Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani