PINDA ASHUHUDIA MLIMA WA MAHINDI AKIWA ZIARANI WILAYANI MBOZI
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na mkewe, mama Tunu wakikagua sehemu ya shehena ya mahindi iliyohifadhiwa nje ya maghala ya Hifadhi ya Taifa ya Chakula, NFRA, enjeo la Vwawa, wilayani Mbozi mkoani Mbeya Jumapili Machi 1, 2015. Maelfu ya tani ya mahindi, yamelazimika kuhifadhiwa nje baada ya maghala yaliyotengwa maalum kuhifadhi nafaka hiyo kujaaSehemu ndogo ya shehena ya mahindi yaliyonunuliwa na serikali na kuhifadhiwa nje ya maghara ya NFRA, Vwawa Mbozi baada ya maghala kujaa, Machi 1, 2015
Vijimambo
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziMAKAMU WA RAIS AKIWA ZIARANI KICHAMA KINONDONI LEO
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa na Mlezi wa CCM Mkoa wa Dar es Salaam, Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akisalimiana na Wananchi na baadhi ya Wajumbe wa Kamati ya Siasa na Sekretarieti ya CCM Wilaya ya Kinondoni alipowasili katika Ofisi ya DMDP Magomeni Wilaya ya Kinondoni Jijini...
10 years ago
MichuziDEREVA AFARIKI DUNIA BAADA YA GARI ALILOKUWA AKISAFIRIA KUACHA NJIA NA KUPINDUKA WILAYANI MBOZI,MBEYA
Tukio hilo limetokea usiku wa kuamkia leo majira ya saa 01:30 huko eneo la mlowo, kata ya mlowo, tarafa ya vwawa, wilaya ya mbozi, mkoa wa mbeya katika barabara kuu ya mbeya/tunduma.
Aidha katika ajali hiyo watu wawili waliofahamika kwa majina ya 1....
10 years ago
MichuziMh. Makalla ziarani Wilayani Namtumbo, Mkoani Ruvuma
Aidha amekagua mradi wa Maji Milonji na ametoa agizo hadi kufikia tarehe mei 12 mwaka huu mkandarasi awe amekamilisha kuchimba kisima kingine baada ya kisima cha awali kuwa na Maji machache.
Amemwagiza Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji kuunda kikosi kazi cha watalaam...
11 years ago
MichuziMAVUNO MAKUBWA YA MAHINDI SHAMBANI KWA MH. PINDA
10 years ago
Tanzania Daima31 Oct
Pinda: Ruksa wakulima kuuza mahindi nje
WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda, amesema ruksa kwa wakulima walio na mahindi kuuza nje ya nchi. Hatua hiyo imetokana na wakulima wengi kuzuiwa kuuza mahindi yao nje ya nchi huku wakiwa...
10 years ago
VijimamboKATIBU MKUU WA CHADEMA DR WILBROAD SLAA AKIWA ZIARANI BARANI ULAYA
11 years ago
MichuziMh. Simbachawene ziarani Jimboni kwake kibakwe Wilayani Mpwapwa
10 years ago
VijimamboPINDA ZIARANI QATAR
10 years ago
MichuziKATIBU MKUU WA CCM,NDUGU KINANA ZIARANI WILAYANI KOROGWE MKOANI TANGA