Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


RECHO AND I AMEONDOKA NA AHADI YANGU

ILINICHUKUA muda kukikubali kifo cha rafiki yangu kipenzi, mwigizaji Rachel Haule ‘Recho’ ambacho kilitokea Mei 26, mwaka huu katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, Dar.
Lakini sina cha kufanya. Ni kweli Recho ameondoka. Hapa nataka nizungumzie kidogo maisha yangu na marehemu Recho. Marehemu Rachel Haule ‘Recho’ akiwa na mumewe Saguda enzi za uhai wake Kama inavyokuwa kwa wanadamu wengi kupitia...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

JK: Sifa yangu ni kutekeleza ahadi

HUKU akikaribia kukabidhi madaraka kwa Rais wa Awamu ya Tano baadaye mwaka huu, Rais Jakaya Kikwete amesema moja ya sifa yake na ya chama tawala, CCM, ni kutekeleza ahadi walizowaahidi Watanzania wakati wa kampeni za uchaguzi mkuu mwaka 2010.

 

11 years ago

Tanzania Daima

BOB: Kanumba ametangulia na ahadi yangu

“KIFO cha mwigizaji Steven Kanumba kilinishtua na kuniuma, kwani ni mtu ambaye nilikuwa nimepanga kufanya naye kazi nyingi, lakini nikiwa nimeahidiwa kufanya naye kazi, ghafla furaha yangu iliingia dosari baada...

 

10 years ago

GPL

BABA HAJI: KANUMBA AMEONDOKA NA SANAA YA BONGO

Hamida Hassan na Shani Ramadhani/Risasi NYOTA wa filamu za Kibongo, Haji Adamu Rajabu ‘Baba Haji’ amefunguka kuwa, soko la filamu  Bongo kwa sasa linashuka siku hadi siku  na sababu kubwa ni  wasanii kutopenda kwenda shule kujiendeleza kielimu na kujua ni jinsi gani filamu inatakiwa kutengenezwa. Nyota wa filamu za Kibongo, Haji Adamu Rajabu ‘Baba Haji’. Akizungumza na Risasi Jumamosi,  Baba...

 

10 years ago

Bongo Movies

Ray Awashangaa Wanaodai Kanumba Ameondoka na Tasnia ya Filamu

Staa mkubwa wa Bongo Movies, Vicent Kigosi 'Ray' hivi juzi kati kupitia kukursa wake kwenye mtando picha wa Instagram amendika mtazamo juu ya tasnia ya filamu na wadau wote kwa ujumla.

Napenda kuchukua furrsa hii kuwashukuru wadau wote kwa michango na sapoti yenu iliyosaidia kuifikisha tasnia ya filamu hapa ilipo.

Bila nyinyi pengine hadithi ingekuwa tofauti leo kikubwa ni kujenga moyo wa kizalendo kwa wasanii wetu leo kuna misemo kila kona eti Kanumba kafa na tasnia imekufa, najaribu...

 

11 years ago

GPL

DIAMOND AMEONDOKA KWENDA NIGERIA KUFANYA VIDEO MPYA

Diamond akiwa na Bab Tale tayari kwa safari yao. Wema Sepetu hakukosa kumsindikiza kipenzi chake uwanja wa ndege. Wiki iliyopita Diamond Platnumz alisema anatarajia kusafiri kwenda…

 

9 years ago

Mwananchi

KONA YA MAKENGEZA : Ahadi za nani zitatufikisha kwenye nchi ya ahadi?

Ama kweli, mwaka wa uchaguzi ni mwaka wa uchafuzi. Nimesema mara nyingi kwamba wanasiasa huwa wanajiona miungu kabisa. Wakiona kitu, wanasema, na iwe, ikawa jioni, ikawa asubuhi siku ya kwanza. Ni sawa. Hasa katika mwaka wa uchafuzi. Hawasubiri hadi hata asubuhi, ikawa jioni ikawa usiku mambo yote yatakuwa sawa na mbinguni.

 

10 years ago

Mwananchi

Ahadi, ahadi sasa zimetosha kwenye klabu

Kuna msemo unaosema “miluzi mingi humpoteza mbwa”. Kwamba mbwa anayeongozwa na miluzi kufanya jambo fulani, anaweza kushindwa kutekeleza maelekezo ya bosi wake iwapo miluzi itazidishwa.

 

9 years ago

Bongo5

Mwana FA: Sijawahi kukaa na baba yangu maisha yangu yote (Video)

12292738_1516860355279681_1179389451_n

Pengine hukuwa unalijua hili. Mwana FA hajawahi kuishi na baba yake katika maisha yake yote.

FA ametuambia hilo baada ya kumuuliza tofauti ya malezi aliyoyapata kutoka kwa baba yake na yale anayompa mwanae wa kike, Malikah.

“Mimi sijawahi kukaa na baba yangu maisha yangu yote,” anasema.

“Nimekuwa naruka ruka sana, mara nakaa kwa shangazi yangu, mara nakaa kwa babu yangu, kwa bibi yangu ndiyo kwetu ilikuwa, kwa shangazi yangu mwingine hivyo,” ameongeza.

“Experience niliyokuwa naiona ni kwa...

 

11 years ago

GPL

KIFO CHA RECHO...

Na Waandishi Wetu
Maskini! Wakati tasnia ya filamu Bongo ikiwa katika majonzi ya kuondokewa na ‘dairekta’ na mwigizaji mkubwa, Adam Phillip Kuambiana (38), pigo lingine limetokea kwa wasanii hao kwa kuondokewa na kichwa kingine, Sheila Haule ‘Recho’ (26).Recho alikutwa na umauti Mei 26, mwaka huu katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, Dar alipokuwa amelazwa baada ya kujifungua kwa oparesheni Mei 25,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani