Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


RIHANNA AKANUSHA KUTOKA NA MATT BARNES

Diva wa R&B asiyekaukiwa vituko kutoka nchini Marekani, Robyn Rihanna Fenty ‘RiRi’. New York, Marekani DIVA wa R&B asiyekaukiwa vituko kutoka nchini Marekani, Robyn Rihanna Fenty ‘RiRi’ hivi karibuni amekuja juu baada ya staa wa NBA, Matt Barnes kudai kuwa kwa sasa wapo karibu na ikiwa mipango yao itakwenda vizuri, siku si nyingi wanaweza kudumbukia kwenye dimbwi la malavidavi kulifufua upya penzi...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

Jokate Akanusha Kutoka na Millard Ayo!

Mwanamitindo na mwigizaji, Jokate Mwegelo ameucho molea vilivyo uvumi uliozagaa kuwa ana uhusiano wa kimapenzi na mtangazaji Millard Ayo wa Clouds FM.

Uvumi huo ulianzia mitandaoni ambapo mwanahabari wetu alipomtafuta Jokate juzikati, aliweka plain ukaribu wake na Millard ambaye ni mtangazaji mwenye mvuto mkubwa kwa jamii.

“Millard ni mshkaji, namkubali kutokana na uchapakazi wake, anajua kujituma na ni mpambanaji lakini nje ya hapo hakuna cha zaidi,” alisema Jokate.

Picha: Jokate akiwa...

 

10 years ago

GPL

MAMA KANUMBA AKANUSHA KUTOKA NA SERENGETI BOI

Mayasa Mariwata
MAMA wa marehemu, Steven Kanumba, Flora Mtegoa amekanusha vilivyo taarifa zilizozagaa kuwa ana uhusiano wa kimapenzi na kijana mdogo ambaye amemzidi umri (serengeti boy). Mama wa marehemu, Steven Kanumba, Flora Mtegoa (mwenye kipaza sauti) akizungumza jambo. Mama Kanumba ambaye pia amefuata nyayo za mwanaye kwa kujiingiza katika uigizaji, alifunguka hayo alipokuwa akizungumza na mwanahabari wetu mambo...

 

9 years ago

Bongo Movies

Lulu Akanusha Kutoka na Tekno, Atoa Maelezo ya Kina

Elizabeth ‘Lulu’ Michael amelazimika kuandika maelezo marefu kukanusha tetesi zilizoenea kwenye mitandao ya kijamii kuwa alivunja amri ya sita na hitmaker wa Duro, Tekno aliyekuwepo Dar siku ya mwaka mpya.

10661050_464736387045632_291073524_n

Haya ni maelezo yake aliyoandika kwenye Instagram:

Okay…naona watu Mnatafutaga Topic Na mkipata picha story mnatungaga mnazozijua NI hivi….naomba heshima Na busara vitumike Nilikutana Na Tekno Kwenye show yake Na alikuja kunisalimia kwenye meza Yangu,picha zote zilizopigwa Na yeye au mtu...

 

9 years ago

Bongo Movies

Mume wa Dada Yake na Diamond Akanusha Kutoka na Wema

Mume wa dada yake na Diamond, Esma, Petit Man ambaye pia ni mfanyakazi wa kampuni ya Wema Sepetu, Endless Fame Film amekanusha kutoka kimapenzi na na bosi wake huyo.

Akizungumza kwenye kipindi cha na FNL cha EATV jana, Petit alisema anamheshimu Wema kama bosi wake.

“Niko na Wema huu ni mwaka wa nane inasemekana vitu hivyo hivyo,” alisema. “Lakini Wema akiwa tu karibu na mtu basi watu wanasema hivyo. Ilikuwa kwa Mirror wakasema hayo, maneno hayo ni maneno wanayoyaongea. Hakuna kitu...

 

9 years ago

Bongo5

Idris Sultan akanusha kuwahi kutoka kimapenzi na Wema Sepetu

Mshindi wa BBA 2014, Idris Sultan amekanusha kuwahi kutoka kimapenzi na Wema Sepetu baada ya kuonekana kuwa karibu zaidi katika miezi kadhaa iliyopita. Akizungumza jana kwenye kipindi cha Mkasi TV kinachorushwa kupitia kituo cha runinga cha EATV, Idris alisema hajawahi kutoka kimapenzi na Miss Tanzania huyo wa mwaka 2006 kama watu wanavyosema. “Kwahiyo mimi nikiwa […]

 

11 years ago

Bongo5

Meninah: Diamond hata kumshika mkono sijawahi, akanusha tetesi za kutoka nae

Mara nyingi habari za mastaa hususan za mahusiano huanza kama tetesi, kisha hufuata hatua ya pili ambayo ni kukanusha, halafu baadae huja na majibu ya ‘mapenzi moto moto’. Narudia tena ‘mara nyingi’ japo si mara zote. Kuhusu tetesi za msanii wa kike wa Bongo fleva Meninah kuwa ni ‘mchepuko’ wa hit maker wa ‘Number 1’ […]

 

10 years ago

BBCSwahili

Barnes:Gerrard bado mzuri kwa Liverpool

Winga wa zamani wa klabu ya Liverpool John Barnes anaamini Gerrard bado ana uwezo wa kutosha

 

11 years ago

Mwananchi

John Barnes: Soka la akili linaumiza timu za Afrika

Wakati mashabiki wa soka barani Afrika wakiwa na matumaini kwamba moja ya timu zinazoliwakilisha bara la Afrika katika Fainali za Kombe la Dunia inaweza kufika hatua ya nusu fainali, nyota wa zamani wa Liverpool ya England, John Barnes anaamini suala la kucheza soka kwa kutumia akili ndilo linaloliumiza bara la Afrika.

 

5 years ago

Mirror Online

John Barnes rated better than Sadio Mane by ex-Liverpool star

John Barnes rated better than Sadio Mane by ex-Liverpool star  Mirror OnlineWatch: Liverpool squad sing happy birthday to Sadio Mane in group call  PlanetFootballWatch: Reds celebrate Sadio Mane's birthday on Zoom  Liverpool FCWhy huge personality difference means Liverpool have a global icon and a 'simple person' in attack  Liverpool.com‘Mane’s great but Barnes was better’ – Liverpool legend was a ‘lights out’ talent, says Nicol  Goal IndiaView Full coverage on Google...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani