Samia: Msiuze kura zenu kwa bei ya chumvi
NA SARAH MOSSI, RUVUMA
MGOMBEA mwenza wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan, amewataka Watanzania kuthamini kura zao na kutokubali kuziuza kwa bei rahisi inayofanana na chumvi.
Samia, aliyasema hayo jana katika Kijiji cha Kingerikiti katika moja ya mikutano yake ya kampeni kwenye Jimbo la Nyasa mkoani Ruvuma.
Akihutubia wananchi wa jimbo hilo, Samia alisema wapo watu wanaopita kuwahadaa kwa kutumia fedha ili wawapigie kura katika uchaguzi mkuu ujao, huku wakiahidi ahadi...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi23 Oct
WANAWAKE LINDENI KURA ZENU:BAWACHA
![Mke wa Mgombea Urais wa Chadema, Edward Lowassa, Regina Lowassa akiwa katika mkutano wa hadhara](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/Z0Rby-Jo-vmQ8nRG4cGz1giFAG6BHMdDSE3K00xHUHUIIvQP61oVdx0AkPOBbH1zs47xRjDkXHszSeLhMPFEemzEjA2l5uwY73UEHUgAmQZm6FGjrdy3lsXN7P4ZMviSh7M34Zsd=s0-d-e1-ft#http://mwanahalisionline.com/wp-content/uploads/2015/10/Mama-Lowassa-620x308.jpg)
BARAZA la Wanawake la Chama Cha Demokrasia (Chadema) Taifa, Bawacha, limewataka wanawake nchi nzima kupiga kura na kukaa mita 200 ili kulinda kura zao kwani ni haki yao kisheria.Kauli hiyo imetolewa jana na Naibu Katibu Mkuu wa Bawacha Kunti Yusuph wakati wa mkutano na wanawake, uliofanyika katika ofisi za Chadema kanda ya ziwa Victoria jijini hapa.
Kunti ambaye ni mratibu wa mikutano ya kukutana...
9 years ago
Mtanzania22 Oct
Lowassa: Tumieni kura zenu vizuri
>> Aonya polisi, asema atawapeleka ICC
>> Ashangaa fedha kupelekwa bandari ya Bagamoyo
NA FREDY AZZAH, TANGA
MGOMBEA urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowassa, amewataka Watanzania kutumia vizuri kadi zao za kupigia kura kwa kumchagua yeye kwani watakuwa wamefanya uamuzi wa busara ambao hawataujutia.
Lowassa aliyasema hayo jana kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika kwenye viwanja vya Indian Ocean, eneo la Donge jijini Tanga, huku akisema fedha zilizopelekwa...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-pXVEO6-wbLU/VfdFckmW1MI/AAAAAAAADzE/YeZ0oZIuxkw/s72-c/IMG_0008.jpg)
BI. SAMIA SULUHU AHAIDI NEEMA KWA WAPIGA KURA MAJIMBO YA LIWALE NA NACHINGWEA
![Umati wa wanaCCM na wapenzi wa chama hicho ukiwa umefurika katika uwanja wa Sabasaba Mjini Nachingwea kwenye mkutano wa kampeni wa mgombea mwenza wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Bi. Samia Suluhu.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/09/IMG_0071.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-pXVEO6-wbLU/VfdFckmW1MI/AAAAAAAADzE/YeZ0oZIuxkw/s640/IMG_0008.jpg)
10 years ago
MichuziMtanzania MUIGIZAJI anaeishi San Francisco Ernest Napoleon, anaomba Kura zenu
![](https://fbcdn-sphotos-f-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xfa1/v/t1.0-9/1006095_10154662450890247_1313383734386018693_n.jpg?oh=ae9fc4abe37528cbdda018b7f9f3fd16&oe=54B54838&__gda__=1420737459_3806b5fc185d1b48867f979d7e599d71)
9 years ago
Michuzi11 Oct
ZITUNZENI KADI ZENU ZA KUPIGIA KURA MSIKUBALI KUZIBADILISHA NA KITU CHOCHOTE - MAMA SALMA KIKWETE
Mwito huo umetolewa hivi karibuni na Mke wa Rais Mama Salma Kikwete wakati akiongea kwa nyakati tofauti na wananchi wa vijiji vya Nyengedi na Mandawa vilivyopo katika majimbo ya Mtama na Ruangwa waliohudhuria mkutano wa kampeni ya kuwanadi wagombea wa nafasi za...
11 years ago
Michuzi25 Jul
TEAM IDDI "TEAM TANZANIA" INAOMBA KURA ZENU
Bachelors in Accounting, MBA, CPA, CGMA
Controller at
Property Management Company
KUSHIRIKIANA NA KINA MAMA NA WATANZANIA WOTE HAPA DMV
Kwa miaka mitatu mfululizo nimekuwa nikishiriki na kushirikiana na kikundi cha kina mama kwenye matembezi hiari ya Kansa. Kikundi cha kina mama wa DMV ndani yake kukiwa na watanzania wenzetu walio pitia janga la Kansa wamekuwa mbele kuwaomba na kuwataka watanzania wachangie kwenye utafiti wa Kansa na pia kuwaomba watanzania wote wafanyiwe...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-osg-FvSoJuo/U7xYOqaUa2I/AAAAAAAFzCo/bzEQInVQiy0/s72-c/sum4.jpg)
TEAM IDDI "TEAM TANZANIA" INAOMBA KURA ZENU: KUWAKUTANISHA WATANZANIA KAMA WANA DMV BILA KUJALI MENGINEYO
Katika Historia ya DMV kwa Miaka miwili mfululizo ya Uongozi wangu tumeweza kuwajumuisha watanzania kwenye mambo mbali mbali. Tumeweza kufanya SUMMER PICNIC kwa watanzania wote wa DMV . Tuliweza kujipanga na Kuhakikisha watoto, vijana na Wazee wanajumuishwa pamoja na kufurahia, Watanzania bila Kujali Vyama na mengineyo tuliweza kujumuika kwa pamoja na kufurahi. Lengo DMV MOJA.
Kwa Kuendeleza kuonyesha ni jinsi Gani umoja Ndio Lengo la Jumuiya na Sio Kupata Mamilioni ya Fedha...
11 years ago
Tanzania Daima02 Aug
Mnabinafsisha idara kwa familia zenu?
EBO! Kwa mtaji huu nadhani sasa tubinafsishe idara zote za sirikali tuwaachie familia za wateule walioteuliwa wazichukue. Kama watatulipa mrabaha au kodi hilo litaamuliwa mbele ya safari. Huko simo ila...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-vsItol2AgjI/Xlelrr4BVpI/AAAAAAALfqQ/r_qQHeZwbb8KVJnXUP2nVqpVglfkLjC-gCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
MAKAMU WA RAIS SAMIA AHAKIKI TAARIFA ZAKE ZA MPIGA KURA
![](https://1.bp.blogspot.com/-vsItol2AgjI/Xlelrr4BVpI/AAAAAAALfqQ/r_qQHeZwbb8KVJnXUP2nVqpVglfkLjC-gCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-6Dc9G7iOnJw/Xlelq0uId-I/AAAAAAALfqM/DzwUbU_OxIczC1MVyPNz9qcNhxXAKDJBgCLcBGAsYHQ/s640/2.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-tMWdUfzarVU/XlelqBzpnaI/AAAAAAALfqI/3qq704nHoJMyxf4kDJAmxAo1VQF0TyCOACLcBGAsYHQ/s640/3.jpg)