Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sekondari Tandika yapatiwa vitabu

BENKI ya Afrika Tanzania imezindua programu ya kusaidia sekta ya elimu kwa kugawa vitabu katika shule za sekondari nchini. Katika utekezaji wa programu hiyo, benki hiyo imetoa vitabu kwa shule...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

MTUNZI MKONGWE WA VITABU ZANZIBAR AZINDUA VITABU VITATU VYA HADITHI ZA KALE

Mtunzi mkongwe wa vitabu Zanzibar Bi. Fatma Moh’d Salim (Jinja) akionyesha vitabu vya hadithi za kale alivyovitunga, katika sherehe za uzinduzi wa vitabu hivyo zilizofanyika nyumbani kwake Chukwani Zanzibar. Mwandishi wa Habari wa Redio Annur Fm Kasim Khamis akimuuliza suali Bi. Fatma Jinja kuhusiana na utunzi wa vitabu vyake alivyo vizindua. Baadhi ya waalikwa waliohudhuria sherehe za uzinduzi wa vitabu hivyo wakimskiliza Bi. Fatma Jinja (hayupo pichani) alipokuwa akitoa maelezo juu ya...

 

10 years ago

Vijimambo

NGUMI ZILIVYOPIGWA TANDIKA

Bondia Azizi Rashid kushoto akipambana na Azizi Abdallah wakati wa mpambano wao uliofanyika katika ukumbi wa musoma bar tandika maguruwe Abdallah alishinda kwa point mpambano uho Bondia Hassan Rajabu kushoto akipambana na Said Wigo wakati wa mpambano wao uliofanyika katika ukumbi wa musoma bar tandika maguruwe mpambano huo ulisha kwa droo Bondia Amani Bariki kushoto akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Ally Mustafa wakati wa mpambano wao uliofanyika katika ukumbi wa musoma bar tandika...

 

11 years ago

Michuzi

kombe la chandimu tandika

Gado-kwa-gado katika mechi hii ya mchangani huko Tandika, Dar es salaam. Baada ya viwanja vingi kuvamiwa jiji limebakiwa na vichache vya kukuza vipaji kama ilivyokuwa zamani.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Ilala yapatiwa vifaa tiba

HALMASHAURI ya Manispaa ya Ilala, imepokea msaada wa vifaa tiba vyenye thamani ya zaidi ya sh. milioni moja kutoka kampuni ya Double tree. Akizungumza jijini Dar es Salaam jana, wakati...

 

10 years ago

Michuzi

NMB YAWAFIKIA WAKAZI WA TANDIKA

       Benki ya NMB juzi ilifungua tawi jipya maeneo ya Tandika- Dar es Salaam tawi linalokadiriwa kuhudumia Zaidi ya wateja 300 kwa siku. Tawi la NMB Tandika lipo maeneo ya Sokoni karibu na kituo cha polisi Tandika katika makutano ya mtaa wa Chihota na Ugweno.Tawi hili linatoa huduma kwa wakazi wa Tandika, Yombo,Buza,Mtongani na maeneo mengineyo. Mkuu wa Wilaya ya Temeke Mhe. Sophia Mjema akikata utepe kuashiria  uzinduzi rasmi wa tawi la NMB Tandika.  Kutoka kushoto  ni; Kaimu Mkurugenzi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Serikali yapatiwa bil. 108/-

TANZANIA imepokea msaada wa dola za Kimarekani milioni 66.1 (sawa na sh. bilioni 108.5) kutoka kwa wadau wa maendeleo, zitakazotumika kuboresha sekta ya afya. Akizungumza na waandishi wa habari jijini...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Shule yapatiwa msaada wa mil 14/-

MFANYABIASHARA na Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Arif Abri ametoa msaada wa sh milioni 14 kwa shule ya Sekondari ya Nyerere iliyopo wilaya ya Iringa kwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Hospitali Iringa yapatiwa vifaa

SHIRIKA lisilo la kiserikali la Iringa Development of Youth Disabled and Children Care (IDYDC) kwa kushirikiana na Redio Nuru FM ya mjini hapa, wametoa misaada ya viti vitano vya kubebea...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Shule ya Magole yapatiwa madawati

SHULE ya Msingi Magole iliyopo wilayani Kilosa, Morogoro imepatiwa msaada wa madawati 32 na Benki ya Posta Tanzania yenye thamani ya sh milioni tano. Meneja wa benki hiyo tawi la...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani