Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sinema ya Okwi gumzo

KITENDO cha mshambuliaji wa kimataifa Emmanuel Okwi wa Ugganda, kuikacha ghafla timu yake ya Yanga na kurejea Simba, kumezua gumzo kubwa kila kona kwa wapenzi wa soka nchini. Wakati baadhi...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Sinema ya Maliasili yatua bungeni

SERIKALI imebanwa itoe ufafanuzi wa utata uliojitokeza katika Wizara ya Maliasili na Utalii, baada ya Katibu Mkuu, Maimuna Tarishi kutengua uamuzi wa waziri wake, Lazaro Nyalandu na kuwarejesha kazini vigogo...

 

11 years ago

GPL

SINEMA ZA KIBONGO LINI ZITABADILIKA?

Baadhi ya wasanii wa Bongo Muvi. KWENU,
Watayarishaji wa sinema za Kibongo. Hongereni sana na kazi. Mimi nipo sawa na mishe zangu zinaendelea vyema kabisa. Leo nimewakumbuka kwa barua kwa lengo la kuwekana sawa kidogo.
Ni kweli kuna tofauti kubwa sana katika sinema zetu za sasa na zile za miaka mitano iliyopita lakini kiukweli bado kuna changamoto nyingi.  Kuna makosa mengi madogomadogo ambayo yanaachwa na yanaweza...

 

10 years ago

BBCSwahili

Sony yasitisha utoaji Sinema

Kampuni ya Sony imetangaza kusitisha mpango wake wa awali wa kutaka kutoa na kusambaza sinema dhidi ya Korea Kaskazini.

 

10 years ago

Mwananchi

UCHAMBUZI: Tumechoka na sinema hii ya wabunge

>Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni mhimili mmojawapo kati ya mihimili mitatu ya dola.

 

10 years ago

BBCSwahili

Sinema kuhusu Kim Jong Un yazuiliwa

Kampuni ya Sony imefutilia mbali kuonyeshwa kwa filamu kwa jina The Interview ,filamu ya ucheshi kuhusu mauaji ya rais Kim Jong-un

 

5 years ago

Michuzi

SINEMA YA YANGA NA MORRISON YAANZA UPYA



Yassir Simba, Michuzi Tv Sakata la mchezaji wa Young Africans raia wa Ghana,Bernard Morrison limechukua sura mpya ambapo kupitia nakala iliyotolewa na kaimu katibu mkuu wa klabu ya Yanga Wakili Simon Patrick leo tarehe 24/06/2020  klabu ya Yanga imeamua kumkata kiasi cha shillingi 1,500,000 pesa taslimu ya kitanzania  mchezaji huyo kutokana na kile kinachdaiwa na klabu hiyo kuwa mchezaji huyo alifanya mahojiano na chombo cha habari bila kufuata utaratibu uliowekwa na kabu.
Katika siku hizi...

 

11 years ago

GPL

VURUGU KANISA LA MORAVIAN... NI FULL SINEMA

Stori: Haruni Sanchawa
ILIKUWA ni full sinema mwishoni mwa wiki iliyopita baada ya waumini wa Kanisa la Moravian, lililopo Mwananyamala Msisiri jijini Dar es Salaam kuanzisha vurugu kubwa zilizozimwa na Jeshi la Polisi baada ya kulazimika kutumia mabomu ya kutoa machozi ili kuwadhibiti na hatimaye kuwakamata 29 kati yao. Waumini wakipandishwa kwenye difenda. Inadaiwa kuwa waumini wa kanisa hilo lenye jengo la ghorofa moja...

 

10 years ago

Mwananchi

Wafuasi CUF wacheza ‘sinema’ mahakamani

Ilikuwa kama sinema wakati wafuasi 30 wa Chama cha Wananchi (CUF) wanaokabiliwa na kesi ya kufanya maandamano na mikusanyiko isiyo halali, wakitimua mbio mahakamani baada ya kufutiwa mashtaka kwa muda.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Sinema ya KCU (1990) Ltd ilivyochukua sura mpya

NJAMA za kumfukuza mwakilishi wa Chama cha Msingi Kamachumu kutoka kwenye nafasi yake, imeelezwa kugonga mwamba baada ya wanaushirika wa Kamachumu kuonyesha imani kubwa kwa mwakilishi wao. Uongozi wa Chama...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani