Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sitti: chozi langu limenifidia

wiwSitti Mtemvu. 

Na Imelda Mtema
SITTI Mtemvu, mrembo aliyeshinda taji la Miss Tanzania Mwaka 2014 lakini akavuliwa baada ya kubainika udanganyifu, amesema chozi lake alilomwaga siku za nyuma, limem-faidisha kwani hivi sasa anaishi kwa amani na furaha.

Akizu-ngumza hivi karibuni jijini Dar, Sitti alisema alipata maumivu makali siku alipovuliwa taji hilo, lakini alijipa moyo huku akifarijiwa na watu wake wa karibu.

“Naamini kila chozi langu lililodondoka lina faida kubwa maana imenifanya...

Global Publishers

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Sitti Tanzania Foundation inakuletea Chozi la Sitti 02.05.2015 @Mlimani City Conference Hall


Sitti Abbas Mtemvu, jina alilopewa kutoka kwa Bibi yake mzaa Baba, ambae nae wakati wa enzi zake alipewa jina hilo kutokana na umahiri wake wa kughani akifananishwa na msanii na mtunzi maarufu aliepata kutokea akiitwa Siti Binti Saad. Umahiri wa bibi ulimfanya kuwahi kushinda tuzo mbalimbali za sanaa wakati huo katika ukumbi maarufu wa burudani ulioitwa Anatoglou…….Nae alipozaliwa alipewa tunu, tunu ya jina la Sitti.

Haya ni machache latika kitabu chake kipya kikiitwa – Chozi la Sitti……Kwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Chozi hupenda amani

CHOZI ni moja ya jamii za ndege wanaopatikana kwa wingi katika eneo la Afrika Mashariki. Chozi pamoja na ndege mwingine ajulikanaye kwa jina la  Kiingereza Spiderhunte, wanatengeneza familia ya Nectariniidae....

 

10 years ago

GPL

Okwi amwaga chozi akisimulia

Kiungo mshambuliaji nyota wa Simba, Emmanuel Arnold Okwi. Musa Mateja na Martha Mboma
KIUNGO mshambuliaji nyota wa Simba, Emmanuel Arnold Okwi, ameshindwa kujizuia kumwaga machozi wakati akielezea tukio lake la kupigwa kiwiko ‘pepsi’ na beki Aggrey Morris kuwa ni la kikatili na lingeweza kumsababishia hata ulemavu kwa kuwa baada ya kuanguka alimmalizia kwa kumkita teke. Okwi, raia wa Uganda, ameliambia Championi...

 

10 years ago

Bongo Movies

Dotnata Amwaga Chozi ‘Lokesheni’

Mwigizaji  mkongwe wa filamu za kibongo, Illuminata Posh maarufu kama Dotnata, amesema alitoa machozi wakati akirekodi sinema inayohusu unyanyasaji wanaofanyiwa watoto wadogo, hasa alipobaini ukweli kuwa wanakosa mtetezi hata wa kuweza kuhisi mateso wanayokutana nayo.

“Watoto wanapata mateso sana kutoka kwa jamii inayowazunguka, wakipoteza wazazi au familia ikifarakana, wanaoumia zaidi ni wao kwani huingia mitaani na kuwa ombaomba, wanajiingiza kwenye wizi, ukahaba na ushoga. Wanafanya haya...

 

9 years ago

Mtanzania

KARRUECHE ADONDOSHA CHOZI NIGERIA

image-7ABUJA, NIGERIA

ALIYEKUWA mpenzi wa msanii wa RnB nchini Marekani Chris Brown, Karrueche Tran, amejikuta akidondosha chozi baada ya kukutana na watoto yatima nchini Nigeria.

Mrembo huyo alikuwa nchini humo kuongoza sherehe za Pool Party mjini Abuja, lakini aliamua kutembelea kwenye
kituo cha watoto yatima cha IDP Camp, ambapo aliwakuta watoto hao wakiwa wamevaa T-shirt zilizoandikwa
‘Bring Back Our Girls’ (‘Wasichana wetu warudishwe’) Inakumbukwa kuna wasichana wengi ambao wametekwa nchini...

 

10 years ago

Mwananchi

Albino wamtoa chozi Kikwete

Rais Jakaya Kikwete ametokwa na machozi wakati akisikiliza wimbo ya masikitiko ya watoto wenye ulemavu wa ngozi (albino), na akaeleza kuwa ni upumbavu kuamini kuwa viungo vyao vinaleta utajiri.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Chozi la Sendeka ni la kiuzalendo au la mamba?

CHRISTOPHER ole Sendeka, ni mmoja wa wabunge niliokuwa nikiwaamini kuwa wametawaliwa na uzalendo. Hulka ya watu wa kabila lake, Wamasai ya kutokuwa wanafiki, wakiwa wanaipenda na kuiheshimu haki pamoja na...

 

10 years ago

GPL

KARRUECHE ATOA CHOZI KUMUONA ROYALTY

Mtangazaji ambaye pia ni mwanamitindo, Karrueche Tran. New York, Marekani
MTANGAZAJI ambaye pia ni mwanamitindo, Karrueche Tran juzikati alijikuta katika wakati mgumu baada ya kuonana uso kwa uso na mtoto wa Chris Brown, Royalty. Mtoto wa Chris Brown, Royalty. Chanzo makini kinafunguka kuwa tangu bi’dada huyo agundue kuwa Chris alimsaliti na kutembea na mwanamke (Nia Guzman-Amey) na… ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani