Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SUGU: CHADEMA ITACHUKUA NCHI

Mbunge wa Mbeya Mjini Chadema, Joseph Mbilinyi 'Sugu'. Na Ojuku Abraham
UCHAGUZI mkuu wa Rais, wabunge na madiwani chini ya mfumo wa vyama vingi nchini, utafanyika kwa mara ya tano mwakani, huku kwa mara ya kwanza, chama tawala, CCM kikihofu kukutana na upinzani mkali, pengine kuliko wakati mwingine wowote. Hofu hii, haitokani na kufanya kwake vibaya katika utekelezaji wa Ilani yake ya Uchaguzi iliyoipatia ushindi uchaguzi...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Chadema kutikisa nchi; Helikopta tatu kurushwa nchi nzima

>Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kuanzia leo, kinarusha helkopta tatu kwa siku 14 mfululizo, katika  kutekeleza kampeni iliyopewa jina la Operesheni Pamoja Daima (ODB) itakayoendeshwa katika mikoa yote nchini.

 

10 years ago

Vijimambo

RUSHWA NI TATIZO SUGU KATIKA NCHI YETU, NANI ATAWEZA KUIONDOA?

MWANDISHI Eric Shigongo
KATIKA kumuenzi Mungu, kila mtu ambaye leo afya yake ni nzuri hana budi kumshukuru na kumtukuza huku akimuomba awaponye wale wote walio katika magonjwa.

Baada ya kusema hayo nianze kwa kusema kuwa katika kura za maoni za Chama Cha Mapinduzi, baadhi ya matawi wanachama wake wamelalamikia rushwa kwamba waliwapigia kura watu waliokuwa wanapenda kuwaongoza lakini kura zao zikachakachuliwa.

Nilisimuliwa kuhusu tawi moja eti waliochaguliwa waliiba kura na matokeo yakatajwa...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Profesa Jay, Sugu wafunika uzinduzi CHADEMA Mtandao

MKALI wa muziki wa kizazi kipya nchini, Joseph Haule ‘Profesa Jay’, juzi uusiku alikonga nyoyo za waalikwa na Wanachama wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), katika uzinduzi wa ‘CHADEMA...

 

10 years ago

Vijimambo

ALIEKUWA MCHUMBA WA MH SUGU AFUNGUKA NA KUSEMA KUWA MHESHIMIWA SUGU HAMJALI MTOTO WALIOZAA

Aliyekuwa mpenzi wake na mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi aka Sugu, Faiza Ally amemtupia mzazi mwenzake kuwa hamjali mwanae baada ya kuachana.Faiza alikuwa akiongea kwenye kipindi cha Take One cha Clouds TV ambapo alikiri kuwa kuachana na Sugu kunaendelea kumuumiza.
“Imeniathiri sana hata hailezeki,” alisema. “Naona hata nikieleza siwezi kumaliza. Imeniathiri kiasi kikubwa sana, kwa sababu na mwaka mzima kama nikipumzika kulia ni siku moja.”“Yaani inauma sana mtu ambaye ulikuwa unamuona...

 

10 years ago

BBCSwahili

WHO:Itachukua mda kukabili Ebola

Shirika la afya duniani limeonya kuwa ueneeaji wa ugonjwa wa Ebola Magharibi mwa Afrika utachukua miezi kadhaa kuudhibiti

 

11 years ago

BBCSwahili

Itachukua mwaka kuitafuta ndege ya Malaysia

Maafisa wanaoongoza juhudi za kuitafuta ndege ya Malaysia MH370 iliyopotea wamesema kuwa shughuli ya kuitafuta huenda ikachukua hadi mwaka mmoja.

 

10 years ago

BBCSwahili

Itachukua miezi sita kudhibiti Ebola

Mkuu wa shirika la Medicins Sans Frontieres, amesema kuwa itachukua miezi sita kuweza kudhibiti janga la Ebola Afrika Magharibi.

 

10 years ago

BBCSwahili

UN:Itachukua mda mrefu kuangamiza Ebola

Kiongozi wa ujumbe wa ebola katika shirika la Umoja wa Mataifa amesema kuwa harakati za kukabiliana na ebola hazijafanikiwa.

 

10 years ago

Mwananchi

BG: Itachukua muda kuzalisha gesi nchini

Shirika la Gesi la Uingereza (BG) limesema itachukua muda kuanza kuzalisha gesi kwa matumizi ya ndani na kuiuza nje ya nchi kutokana na rasilimali hiyo kugundulika katika maeneo yenye changamoto lukuki.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani