TAARIFA YA MSIBA WA BAHATI MWAKABUNGU
![](http://3.bp.blogspot.com/-30Qami4osSA/VAaaB3oaeNI/AAAAAAAGcK0/6iTxbguR3Pw/s72-c/bahati.jpg)
MAREHMU BAHATI MWAKABUNGU ENZI ZA UHAI WAKE
WANAFUNZI AMBAO TUMEPITA CHUO CHA BIASHARA KITUO CHA DAR ES SALAAM (CBE) TUNASIKITIKA KUTANGAZA KIFO CHA ALIYEKUWA MWANAFUNZI MWENZETU BAHATI MWAKABUNGU AMBAYE AMEFARIKI JUZI HAPA DAR ES SALAAM.
MSIBA UPO KWA KAKA YAKE NOEL MWAKABUNGU MAENEO YA BUZA JIJINI DAR ES SALAAM, TAARIFA KUTOKA KWA WANA FAMILIA WANASEMA MAZISHI YATAFANYIKA LEO TAREHE 3/09/2014 KATIKA MAKABURI YA KINONDONI MUDA WA ALASIRI.
KWA TAARIFA ZAIDI UNAWEZA KUWASILIANA NA NAMBA...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
CloudsFM28 Jul
JESHI LA POLISI LATOA TAARIFA KUHUSU AJALI MWIMBAJI NYIMBO ZA INJILI, BAHATI BUKUKU
Kamanda wa Polisi mkoa wa Dodoma David Misime - SACP Na: Sylvester Onesmo wa Jeshi la Polisi Dodoma Gari lenye namba IT 7945 aina ya Toyota Nadia ikiendeshwa na EDSON S/O MWAKABUNGU, Mnyakyusa, Miaka 31 mkazi wa Tabata – Dar es Salaam liliacha njia na kugonga gema na kusababisha majeruhi kwa watu watatu baada ya kugongwa na gari lingine linalosadikiwa kuwa ni Fuso.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi DAVID MISIME – SACP amesema ajali hiyo imetokea tarehe...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-AzGFfH4FUF4/Uxs7XkD1j5I/AAAAAAAFSCg/tvp2U8RyTrA/s72-c/New+Picture+(12).png)
Taarifa ya Msiba
![](http://2.bp.blogspot.com/-AzGFfH4FUF4/Uxs7XkD1j5I/AAAAAAAFSCg/tvp2U8RyTrA/s1600/New+Picture+(12).png)
Marehemu anatarajiwa kuzikwa nyumbani kwake Morogoro siku ya Jumanne tarehe 11/3/2014. Marehemu ataagwa kesho Jumapili...
10 years ago
Vijimambo02 Nov
TAARIFA YA MSIBA DMV
Kama ilivyo mila na desturi yetu kupeana pole ndio utamaduni wetu hasa katika kipindi hiki kigumu cha Jaffari kumpoteza mpendwa mama yake.
Kwa yeyote anayetaka kutoa mkono wa pole anapatikana katika address hii 5701 UNION BRIDGET CT, BOWIE...
10 years ago
Michuzi23 Oct
TAARIFA YA MSIBA MINNESOTA
Familia ya ndugu Joel & Janeth Mburu inasikitika kuwataarifu juu ya msiba wa ghafla wa mama mzazi wa Janeth na Godson Gabagambi uliotokea leo hii asubuhi-Karagwe, nchini Tanzania.Mipango ya mazishi inaendelea kufanyika huko Karagwe, Tanzania .
Kwa marekani, Msiba upo nyumbani kwa Ndugu Joel & Janeth Mburu, Minnesota na watu wanakutanika nyumbani hapo kuanzia leo kwa anwani ifuatayo:-5250 Villa WayEdina MN 55436.
Kwa Uingereza ,msiba upo kwa Peter Gabagambi ;61...
10 years ago
Vijimambo22 Mar
TAARIFA YA MSIBA DMV NA TANZANIA
11 years ago
Michuzi22 Jun
TAARIFA YA MSIBA MINNESOTA NA TANZANIA
Tunasikitika kuwataarifu ya kuwa Ndugu yetu na mwanajumuiya mwenzetu Elibariki Mshomi amefiwa na mdogo wake,Robert Mshomi huko Moshi Tanzania.Mazishi yamepangwa kufanyika Jumatatu June 23 2014 nyumbani kwao Moshi. Kama ilivyo kawaida ya desturi yetu,tunaombwa kujitokeza kumfariji ndugu yetu katika kipindi hiki kigumu.
Tutakuwa na Memorial Service,maombi na nafasi ya watu kuleta rambi rambi siku ya jumapili June 22nd 2014 saa kumi na nusu jioni (4.30pm)...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-11B-edOpP2o/U8wtqPWl2OI/AAAAAAAF4JU/zvPs8AI4MDs/s72-c/IMG-20140720-WA0029.jpg)
TAARIFA YA MSIBA WA CLEMENT CHAGULA
![](http://1.bp.blogspot.com/-11B-edOpP2o/U8wtqPWl2OI/AAAAAAAF4JU/zvPs8AI4MDs/s1600/IMG-20140720-WA0029.jpg)
Misa ya kumuaga marehemu itafanyika katika kanisa la st Albans jijini Dar es salaam siku ya Jumatatu tarehe 21 Julai 2014 saa saba mchana. Baada ya hapo mazishi yatafanyika katika makaburi ya kinondoni.
Bwana alitoa Bwana ametwaa
Jina lake na lihimidiweAmen
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-QeQ76yvRbtA/VFpXEWXPDOI/AAAAAAADMcc/blaeEyeLVeA/s72-c/stambuli.jpg)
Taarifa ya msiba Tanzania na Massachusetts
![](http://3.bp.blogspot.com/-QeQ76yvRbtA/VFpXEWXPDOI/AAAAAAADMcc/blaeEyeLVeA/s1600/stambuli.jpg)
Familia ya Stambuli inasikitika kutangaza kifo cha mtoto wao Idrissa Stambuli (32) kilichotokea Jumatatu tarehe 03/11/2014 huko Tanzania. Mazishi yatafanyika Jumatano tarehe 5/11/2014 baada ya salatul dhuhri huko Mbagala, Dar es salaam, Tanzania.
Kwa hapa Marekani msiba upo nyumbani 17 Walsh Street, Springfield, Massachusetts 01109.
Tutafanya kisomo cha kumuombea marehemu Jumamosi Novemba 8, 2014 kuanzia saa kumi jioni (4pm) mpaka saa Tatu usiku (9pm) katika Masjid Al Baqi 148 Fort...
10 years ago
Vijimambo28 Sep
Taarifa ya msiba Columbus, OHIO
Tunasikitika kuwapa taarifa ya msiba. Mwenyekiti wa jumuiya ya watanzania Columbus Deo Mwajulujwa Amefiwa na dada yake Angela Mchoropa. Dada Angela aliugua miezi michache iliyopita , Alipopata nafuu akaenda nyumbani Tanzania ambako Mauti yalimfikia. Kama mila Na desturi zeta kushirikiana na kumfariji mwenzetuKatia kipindi hiki kigumu. Anuani ya Deo ni hii ifuatayo:
1440 Sharon Green Columbus Ohio 43229 (614)378-8655
MWENYEZI MUNGU AMLAZE PEMA PEPONI"
Uongozi