TAHADHALI
Muonekano wa mojawapo ya link kutoka katika ujumbe wa email. Hii ni tahadhali kwa watumiaji wa mitandao ya simu kuhusu utapeli ambao unaendelea kwa sasa ambapo kuna kundi la watu linatuma ujumbe mfupi kupitia simu za mkononi na barua pepe (email) zikiwataka watu kuhakiki akaunti zao. TAFADHALI USIFANYE HIVYO! MOJAWAPO ya ujumbe kupitia barua pepe (email): Ndugu customer, Tusaidie kuweka akaunti yako… ...
GPL
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-2XWwxLDEvDs/XnRpmOIpM9I/AAAAAAALkfk/CYLH2tspUMU7_FdbGLoRbfFv69cBL9pVgCLcBGAsYHQ/s72-c/a314bd07-c8f9-43df-ad5d-b83b01237548.jpg)
TAHADHALI YA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-2XWwxLDEvDs/XnRpmOIpM9I/AAAAAAALkfk/CYLH2tspUMU7_FdbGLoRbfFv69cBL9pVgCLcBGAsYHQ/s640/a314bd07-c8f9-43df-ad5d-b83b01237548.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/a2a36636-2d09-4bed-988e-d7e221670cc3.jpg)
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro, akinawa mikono kabla ya kuingia ofisini kwake Makao Makuu ya Jeshi hilo Jijini Dodoma leo, kuendelea na majukumu yake, ikiwa ni njia moja wapo ya kufanya mfano kwa vitendo nakusisitiza askari wote kufuata maelekezo yote yaliyotolewa na viongozi mbalimbali wa Kitaifa na wataalamu wa afya ili kujikinga na virusi vya ugonjwa
wa Corona (COVID –19).
10 years ago
Tanzania Daima21 Oct
Tuchukue tahadhali zaidi dhidi ya Ebola
TAARIFA za baadhi ya vyombo vya habari jana kwamba mtu aliyesadikiwa kuwa na ugonjwa wa Ebola Wilaya Sengerema mkoani Mwanza, amezikwa kwa hadhari kubwa na wataalamu wa afya, zimewashitua wananchi...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-vYkTHfBtPaI/Vd9UkjbXllI/AAAAAAAH0ec/SevxtmdMNhk/s72-c/p.png)
TAHADHALI YA UTAPELI KATIKA AJIRA YA POLISI
![](http://1.bp.blogspot.com/-vYkTHfBtPaI/Vd9UkjbXllI/AAAAAAAH0ec/SevxtmdMNhk/s1600/p.png)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-D7GASqyDPDM/VNocMMXKWVI/AAAAAAAHC2o/25iAQzDEgD0/s72-c/safe_image.jpeg)
TAHADHALI YA MATAPELI WA MTANDAO KUTOKA BBC SWAHILI
![](http://2.bp.blogspot.com/-D7GASqyDPDM/VNocMMXKWVI/AAAAAAAHC2o/25iAQzDEgD0/s1600/safe_image.jpeg)
Kumezuka mtandao bandia unaotumia jina la BBC SWAHILI NEWS kuandika habari za uzushi na kulaghai wananchi kwa habari zisizokuwa na ukweli wala uhusiano na shirika hili la habari.
BBC inapenda kuwakumbusha wasikilizaji na wasomaji wake wote wanaofuatilia habari zake kuwa makini. BBC inaufahamisha umma wa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-zuxhxgYY-Og/Xmz0LuUOi7I/AAAAAAALjqs/qcubVbKvNXUKBAvWQ-ijjxWyrUW1RjrPwCLcBGAsYHQ/s72-c/PHOTO-2020-03-14-17-34-53.jpg)
KAMPUNI YA SMART OIL YAANZA KUCHUKUA TAHADHALI YA KORONA BUKOBA.
![](https://1.bp.blogspot.com/-zuxhxgYY-Og/Xmz0LuUOi7I/AAAAAAALjqs/qcubVbKvNXUKBAvWQ-ijjxWyrUW1RjrPwCLcBGAsYHQ/s1600/PHOTO-2020-03-14-17-34-53.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-XxzEngaVtIg/Xmz0LgQ1akI/AAAAAAALjqw/YM_5a-NCscYIDzfCT4VjWVAN-dWGwxs1QCLcBGAsYHQ/s1600/PHOTO-2020-03-14-17-33-39.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-wRvi3-moEI8/Xmz0Lyo8wTI/AAAAAAALjq0/XwE_6ddDoWQxlFMfQqWycuyFECxw9JsKQCLcBGAsYHQ/s1600/PHOTO-2020-03-14-17-34-16.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-xc1RyT3EyBc/Xmz0M8AoHMI/AAAAAAALjq4/0FCcXBekq1Io-GswK3e7Vi4OLbPHv3yhgCLcBGAsYHQ/s1600/PHOTO-2020-03-14-17-35-27.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-MqmejBGCoh0/VUvS1MieHgI/AAAAAAAHWPI/dpLkhjHG450/s72-c/MVUA%2BZA%2BMASIKA.jpeg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-yloyP-UzoNM/Xp8LvMX3GZI/AAAAAAALnvM/fP3bm9Tn1hAadTqpJp3qQv2XeSCsvRojwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200421-WA0012.jpg)
RC NDIKILO – CORONA HAINA MZAHA ,WANANCHI WAJILINDE NA KUCHUKUA TAHADHALI
![](https://1.bp.blogspot.com/-yloyP-UzoNM/Xp8LvMX3GZI/AAAAAAALnvM/fP3bm9Tn1hAadTqpJp3qQv2XeSCsvRojwCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200421-WA0012.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/IMG-20200421-WA0009.jpg)
****************************
NA MWAMVUA MWINYI,PWANI .
Mkuu wa Mkoa wa Pwani ,mhandisi Evarist Ndikilo ,amewaasa wananchi kuacha mzaha na kupuuzia kufuata elimu inayotolewa na wataalamu wa afya kujikinga na ugonjwa wa Corona huku akiwahimiza kuendelea kuchukua tahadhari .
Aidha amewahimiza kutumia kuvaa Barakoa wanapokwenda katika Ofisi mbali mbali za Umma na Binafsi ikiwemo Ofisi yake, kwenye Daladala, Bodaboda na maeneo ya Biashara ikiwemo Sokoni, Ndikilo alisema tayari Mkoa una wagonjwa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-RhOiwZ5d_y0/XnX4QH-4QwI/AAAAAAALkpI/ASoM296wd9IbFi_qaRvi4szLLx7-15NnQCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-21%2Bat%2B09.42.15.jpeg)