TAMWA: We are not anti
TAMWA: We are not anti-men, just pro-women.
IPPmedia
There is this belief that female activists are always angry, whining, agonising, unhappy, troublesome, and can be very anti social! This image is enhanced every time they open their mouths they appear to be just that! Some go to the extent of calling them anti ...
men, just pro
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo01 Apr
Bilal asifia Tamwa
MAKAMU wa Rais, Dk Mohammed Gharib Bilal alisema serikali itaendelea kuthamini mchango wa Chama cha Waandishi wa Habari Wanawake (TAMWA) katika kufikia malengo ya kupunguza umasikini mchini (MKUKUTA) na (MKUZA) na kuleta usawa wa kijinsia katika jamii mbalimbali nchini.
10 years ago
Habarileo16 Jul
Tamwa yapongeza uteuzi wa Samia
CHAMA cha Waandishi wa Habari Wanawake TAMWA Zanzibar kimepongeza uteuzi uliofanywa na mgombea wa nafasi ya urais wa Jamhuri ya Muungano Dk John Magufuli wa kumteua Samia Suluhu Hassan kuwa mgombea mwenza wa nafasi ya rais ya makamo wa rais wa muungano.
11 years ago
Mwananchi17 Feb
Tamwa yahimiza kuandika unyanyasaji
10 years ago
Daily News20 Apr
TAMWA hails Bilal over financial support
Daily News
TANZANIA Media Women's Association (TAMWA) has applauded Vice-President Dr Mohamed Bilal for his 10m/- contribution during a fundraising event and for offering to sponsor two children whose parents are not able to pay school fees. According to a ...
10 years ago
Tanzania Daima13 Nov
Tamwa: Tumesikia kilio cha walemavu
MACHI, mwaka 1988 Chama cha Waandishi wa Habari Wanawake Tanzania (Tamwa) kilizindua jarida linalojulikana ‘Sauti ya Siti’. Jarida hili lilikuwa na lengo la kuandika habari za wanawake ambazo zilikuwa hazitolewi...
10 years ago
AllAfrica.Com24 Feb
TAMWA Chief for CEFM Award On Tuesday
AllAfrica.com
TANZANIA Media Women's Association (TAMWA) Executive Director Valerie Msoka is to receive the first Champion of Early and Forced Marriage (CEFM) in Tanzania Award by the Canadian High Commission in Dar es Salaam. The High Commission said in ...
10 years ago
Habarileo10 Oct
Tamwa kuadhimisha Siku ya Mtoto wa Kike
CHAMA cha Wanahabari Wanawake (Tamwa) kwa kushirikiana na Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Idadi ya Watu Duniani (UNFPA) na mashirika mengine yasiyo ya kiserikali kitaadhimisha Siku ya Mtoto wa Kike duniani kwa kufanya mjadala mpana juu ya kukomesha ndoa za utotoni hapa Tanzania.
11 years ago
Habarileo16 Apr
Tamwa yalaani udhalilishaji wanawake hotelini
CHAMA cha Waandishi wa Habarim Wanawake (TAMWA) kimesikitishwa na kasi ya matukio ya udhalilishaji wa kijinsia ikiwemo wanawake kubakwa katika hoteli za kitalii pamoja na wafanyakazi wa ndani majumbani.
10 years ago
Dewji Blog27 Feb
Mkurugenzi wa TAMWA atunukiwa tuzo ya CEFM CHAMPION
Balozi wa Canada nchini Tanzania, Mh. Alexandre Lévêque akimkabidhi tuzo ya kwanza Mkurugenzi Mtendaji wa Chama cha Wanahabari Wanawake Tanzania-TAMWA,Bi. Valerie Msoka kwa kufanikisha kampeni dhidi ya ndoa za utotoni.(Picha zote kwa hisani ya mtandao wa hivisasa.co.tz).
Na modewjiblog team
Mkurugenzi wa Chama cha Waandishi wa Habari Tanzania (TAMWA) Valerie Msoka, amekuwa mtu wa kwanza kutunukiwa tuzo ya CEFM Champion, na Ubalozi wa Canada nchini.
Katika sherehe fupi iliyofanyika Serena...