Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TAMWA: We are not anti


TAMWA: We are not anti-men, just pro-women.
IPPmedia
There is this belief that female activists are always angry, whining, agonising, unhappy, troublesome, and can be very anti social! This image is enhanced every time they open their mouths they appear to be just that! Some go to the extent of calling them anti ...

men, just pro

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Bilal asifia Tamwa

MAKAMU wa Rais, Dk Mohammed Gharib Bilal alisema serikali itaendelea kuthamini mchango wa Chama cha Waandishi wa Habari Wanawake (TAMWA) katika kufikia malengo ya kupunguza umasikini mchini (MKUKUTA) na (MKUZA) na kuleta usawa wa kijinsia katika jamii mbalimbali nchini.

 

10 years ago

Habarileo

Tamwa yapongeza uteuzi wa Samia

Samia SuluhuCHAMA cha Waandishi wa Habari Wanawake TAMWA Zanzibar kimepongeza uteuzi uliofanywa na mgombea wa nafasi ya urais wa Jamhuri ya Muungano Dk John Magufuli wa kumteua Samia Suluhu Hassan kuwa mgombea mwenza wa nafasi ya rais ya makamo wa rais wa muungano.

 

11 years ago

Mwananchi

Tamwa yahimiza kuandika unyanyasaji

Chama cha Waandishi wa Habari Wanawake Tanzania (Tamwa), kimewataka waandishi wa habari kuandika habari za matukio ya unyanyasaji wa jinsia kwa wingi ili jamii ipate ufahamu wa matukio hayo.

 

10 years ago

Daily News

TAMWA hails Bilal over financial support


TAMWA hails Bilal over financial support
Daily News
TANZANIA Media Women's Association (TAMWA) has applauded Vice-President Dr Mohamed Bilal for his 10m/- contribution during a fundraising event and for offering to sponsor two children whose parents are not able to pay school fees. According to a ...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Tamwa: Tumesikia kilio cha walemavu

MACHI, mwaka 1988 Chama cha Waandishi wa Habari Wanawake Tanzania (Tamwa) kilizindua jarida linalojulikana ‘Sauti ya Siti’. Jarida hili lilikuwa na lengo la kuandika habari za wanawake ambazo zilikuwa hazitolewi...

 

10 years ago

AllAfrica.Com

TAMWA Chief for CEFM Award On Tuesday


TAMWA Chief for CEFM Award On Tuesday
AllAfrica.com
TANZANIA Media Women's Association (TAMWA) Executive Director Valerie Msoka is to receive the first Champion of Early and Forced Marriage (CEFM) in Tanzania Award by the Canadian High Commission in Dar es Salaam. The High Commission said in ...

 

10 years ago

Habarileo

Tamwa kuadhimisha Siku ya Mtoto wa Kike

CHAMA cha Wanahabari Wanawake (Tamwa) kwa kushirikiana na Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Idadi ya Watu Duniani (UNFPA) na mashirika mengine yasiyo ya kiserikali kitaadhimisha Siku ya Mtoto wa Kike duniani kwa kufanya mjadala mpana juu ya kukomesha ndoa za utotoni hapa Tanzania.

 

11 years ago

Habarileo

Tamwa yalaani udhalilishaji wanawake hotelini

CHAMA cha Waandishi wa Habarim Wanawake (TAMWA) kimesikitishwa na kasi ya matukio ya udhalilishaji wa kijinsia ikiwemo wanawake kubakwa katika hoteli za kitalii pamoja na wafanyakazi wa ndani majumbani.

 

10 years ago

Dewji Blog

Mkurugenzi wa TAMWA atunukiwa tuzo ya CEFM CHAMPION

DSC_01311-1024x681 (1)

Balozi wa Canada nchini Tanzania, Mh. Alexandre Lévêque akimkabidhi tuzo ya kwanza Mkurugenzi Mtendaji wa Chama cha Wanahabari Wanawake Tanzania-TAMWA,Bi. Valerie Msoka kwa kufanikisha kampeni dhidi ya ndoa za utotoni.(Picha zote kwa hisani ya mtandao wa hivisasa.co.tz).

Na modewjiblog team

Mkurugenzi wa Chama cha Waandishi wa Habari Tanzania (TAMWA) Valerie Msoka, amekuwa mtu wa kwanza kutunukiwa tuzo ya CEFM Champion, na Ubalozi wa Canada nchini.

Katika sherehe fupi iliyofanyika Serena...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani