Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tanesco inapaswa kujivua gamba

Mwishoni mwa wiki iliyopita, wezi walivamia na kuiba nyaya katika kituo cha kusambazia umeme cha Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), Ubungo, Dar es Salaam hivyo kuathiri huduma ya umeme katika sehemu kubwa ya jiji hilo kwa takriban siku tatu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Diwani- DC Gamba aliinita sisimizi

SHAHIDI wa pili katika shauri linalomkabili Mkuu wa Wilaya ya Korogwe, Mrisho Gamba mbele ya Baraza la Maadili ya Viongozi wa Umma, diwani wa Kata ya Mndolwa wilaya ya Korogwe, Hillary Ngonyani ambaye aliwahi kuwa Mwenyekiti wa Halmashauri hiyo amedai DC huyo aliwahi kumwita `sisimizi’ wakiwa katika vikao vya halmashauri.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Meneja wa Sitta avua gamba Urambo

BARAZA la Vijana Taifa la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (BAVICHA), limeibomoa ngome ya Mbunge wa Urambo Mashariki mkoani Tabora, Samuel Sitta, baada ya kuzoa wanachama wapya zaidi ya 200,...

 

9 years ago

Mwananchi

MJASIRIAMALI : Biashara yoyote inapaswa kuwa na maadili

Mara nyingi baadhi ya watu wamekuwa wakifikiri kuwa wajasiriamali ni watu wanaoendesha shughuli zao bila mfumo na maadili.

 

10 years ago

Raia Tanzania

Kwa rasilimali ilizonazo, Tanzania inapaswa kuongoza katika AGOA

RAIS Barak Obama, tangu ameingia madarakani, amekuwa akisisitiza mtazamo na sera yake kuhusu Afrika ni ‘Biashara badala ya misaada’.

Kutokana na msimamo huo amekuwa akiwaeleza viongozi wa bara hili, kila alipokutana nao, kuwa nchi za Kiafrika haziwezi kuendelea kwa kutegemea misaada kutoka mataifa tajiri kama vile Marekani, hata  kama misaada hiyo ni mikubwa kiasi gani.

Mara nyingi ameziasa nchi hizi kuacha kutegemea misaada kama msingi wa maendeleo, badala yake zitumie rasilimali...

 

10 years ago

Michuzi

jamii inapaswa kuwekeza katika sayansi na teknolojia - Balozi Sefue

Na May-Zuhura Simba
Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue amesema kuwa ili jamii iweze kukua kwa kasi na kupata maendeleo haina budi kuwekeza katika sayansi na teknolojia.
Aliongea hayo jana jijini Dar es Salaam wakati wa ufunguzi wa warsha ya kupitia marejeo ya mfumo wa Taifa wa sayansi,teknolojia na ubunifu ulioandaliwa na Wizara ya Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia.
“ubunifu katika sayansi na teknolojia ni kitu muhimu katika kupata uvumbuzi wa vitu mbalimbali muhimu vinavyoleta maendelao...

 

10 years ago

Michuzi

mtangazaji mahiri wa ITV na Radio One Isaack Muyenzwa Gamba ahamia DW Ujerumani

Aliyekuwa mtangazaji wa ITV na Radio One Isaack Muyenzwa Gamba (wa pili kulia) akiwa na watangazaji wakongwe wa DW jijini Bonn, Ujerumani alikohamia hivi karibuni. Wengine kutoka kulia ni Mohamed Dahman, Sudi Mnete, Sekioni Kitojo, Abdul Mtulya na mdau.

 

9 years ago

Mwananchi

Wasomi wataka CCM ijihoji Kingunge kujivua uanachama

Siku moja baada ya mwanasiasa mkongwe na kada wa CCM, Kingunge Ngombale-Mwiru kutangaza kujivua uanachama, wasomi waliohojiwa na gazeti hili wamepokea uamuzi huo kwa hisia tofauti, baadhi wakisema CCM imepoteza mtu muhimu na inatakiwa itafakari upya mwenendo wake.

 

9 years ago

Vijimambo

BALOZI JUMA MWAPACHU KUJIVUA RASMI UANACHAMA CCM KESHO

NAJIVUA UANACHAMA WA CCMNdugu zangu,
Kesho ni siku muhimu katika kalenda ya Taifa letu. Tunamkumbuka marehemu Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere aliyetutoka miaka 16 iliyopita. Nadhani ni siku mwafaka kwangu kufanya maamuzi magumu katika maisha yangu ambayo yanahusu uanasiasa wangu. Mimi ni mwanachama wa CCM tangu mwaka 1967 wakati nilipojiunga na TANU Youth League. Nimepata fursa ya kuwa kiongozi ndani ya Chama hiki. Lakini kuanzia kesho mimi si mwanachama wa CCM tena. Natoa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani