Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TANGA KUNANI: RC Magalula, ulipima uamuzi wako kabla?

Gumzo la wakazi wa Jiji la Tanga kwa takribani mwezi mmoja sasa ni kuhamishwa kwa kituo cha mabasi yaendayo mikoani kutoka eneo la Ngamiani na kwenda Kange nje ya jiji hilo umbali wa kilometa tano.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

MKUU WA MKOA WA RUKWA ALIYEHAMISHWA KUTOKA TANGA MAGALULA SAID MAGALULA AWASILI MKOANI RUKWA NA KUKABIDHIWA RASMI OFISI YAKE MPYA

Mkuu wa Mkoa wa Rukwa aliyehamishwa kutoka Tanga Mhe. Magalula Said Magalula (katikati) akisalimiana na watumishi wa ofisi yake mpya waliokusanyika kumpokea rasmi nje ya jengo la ofisi hiyo jana tarehe 22 Septemba 2015.Mkuu Mpya wa Mkoa wa Rukwa Mhe. Magalula Said Magalula kulia na Katibu Tawala Mkoa huo Ndugu Smythies Pangisa kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Rukwa aliyemaliza muda wake Eng. Stella Manyanya ambaye yupo kwenye harakati za kugombea Ubunge Jimbo la Nyasa wakisaini nyaraka za...

 

9 years ago

Mwananchi

Uamuzi ni wako ni leo

Leo Watanzania watatumia haki yao ya kikatiba kuchagua Rais wa Jamhuri ya Muungano, Rais wa Zanzibar, wabunge wa Bunge la Muungano, madiwani na wawakilishi kwa upande wa visiwani baada ya utawala wa Serikali ya Awamu ya Nne kuhitimisha kipindi chake cha pili cha miaka mitano.

 

5 years ago

Michuzi

Uamuzi wa kupunguza idadi ya wachezaji wa kigeni TPL uangaliwe kwa mapana zaidi kabla ya hatua hiyo kuchukuliwa




Na Mdau wa Soka Arusha
Hatua hii itakuwa siyo ya kujenga bali ni kubomoa soka letu. Kiuhalisia kwa sasa ni timu 3 zenye uwezo wa kusajili wachezaji 10 wa kigeni; Simba, Yanga na Azam.
Usajili  kwa sasa unaruhusu kila timu ya TPL kusajili wachezaji mpaka 30 kwa msimu.Kwa mahesabu hayo jumla ya namba ya wachezaji wanaosajiliwa na timu 20 za ligi kuu ni 600(30 x20). 
Chukulia mfano timu 3 kubwa zimesajili wachezaji 10 wa kigeni kila moja ukijumlisha unapata wachezaji 30.
Chukulia pia mfano timu 17...

 

10 years ago

Vijimambo

MwanaFA atembelea yatima kabla ya shoo "Vodacom Life is better" Tanga

Mlezi wa kituo cha kulelea watoto yatima cha Diana kilichopo jijini Tanga Tatu Chamchuo akipokea zawadi ya jezi kutoka mwanamziki wa muziki wa kizazi kipya Bongo Fleva Mwana FA alizozikabidhi kwa niaba ya Vodacom Tanzania, Mwanamuziki huyo alitembelea kituo hicho kabla ya kufanya shoo yake ya"Vodacom Life is better" katika ukumbi wa Lacasachika mjini Tanga hapo jana.Mwanamuziki wa muziki wa kizazi kipya Bongo Fleva MwanaFA akipiga picha kwa kutumia simu yake ya mkononi pamoja na mshindi wa...

 

10 years ago

Michuzi

MwanaFA atembelea kituo cha watoto yatima kabla ya kuangusha bonge la shoo ya"Vodacom Life is better"Tanga

Mlezi wa kituo cha kulelea watoto yatima cha Diana kilichopo jijini Tanga Tatu Chamchuo Akipokea zawadi ya jezi kutoka mwanamziki wa muziki wa kizazi kipya Bongo fleva Mwana FA alizozikabidhi kwa niaba ya Vodacom Tanzania,Mwanamziki huyo alitembelea kituo hicho kabla ya kufanya shoo yake ya"Vodacom Life is better" katika ukumbi wa Lacasachika mjini Tanga hapo jana. Mwanamuziki wa muziki wa kizazi kipya Bongo fleva MwanaFA akipiga picha kwa kutumia simu yake ya mkononi pamoja na mshindi wa wa...

 

11 years ago

GPL

UMUHIMU WAKO KWA MWENZI WAKO UKO WAPI? -3

KAMA kuna mambo muhimu unayotakiwa kuyajua katika mapenzi ni pamoja na umuhimu wako kwa mwenzi wako. Ndugu zangu, huwezi kuwa kwenye uhusiano ambao hauna faida. Mambo yanakwenda hovyo, huthaminiwi wala kupewa kipaumbele. Katika mada hii tunaendelea kuangalia ni kwa namna gani utakuwa mwenye umuhimu kwenye uhusiano wako. Ngoja niwachekeshe kidogo; kuna wakati niliwahi kukutana na msichana mmoja ofisini akihitaji ushauri. Jambo...

 

9 years ago

BBCSwahili

Je,utakubali mshahara wako kukatwa na kupewa mzazi wako?

Sera isio ya kawaida na ambayo imeanzishwa na kampuni moja nchini Uchina kwa wafanyikazi kutoa kiwango kidogo cha mishahara yao kwa wazazi wao imezua mjadala mkubwa

 

11 years ago

GPL

UMUHIMU WAKO KWA MWENZI WAKO UKO WAPI?

KUNA wakati inatokea kwenye uhusiano, mmoja wao  akadhauriwa na mpenzi wake na kuonekana wa kawaida tu. Athari kubwa zaidi katika kuonekana wa kawaida au kudharauliwa ni kuachana wakati wowote – kwa ghafla. Mara nyingi tendo la kuachana kwa wenzi wa aina hii huwa hakuna sababu kubwa sana. Jambo dogo tu linaweza kukatisha uhusiano lakini kumbe ndani kuna siri nyingine kubwa zaidi; kushuka thamani – kupoteza...

 

10 years ago

Vijimambo

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani