TANGA KUNANI: RC Magalula, ulipima uamuzi wako kabla?
Gumzo la wakazi wa Jiji la Tanga kwa takribani mwezi mmoja sasa ni kuhamishwa kwa kituo cha mabasi yaendayo mikoani kutoka eneo la Ngamiani na kwenda Kange nje ya jiji hilo umbali wa kilometa tano.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziMKUU WA MKOA WA RUKWA ALIYEHAMISHWA KUTOKA TANGA MAGALULA SAID MAGALULA AWASILI MKOANI RUKWA NA KUKABIDHIWA RASMI OFISI YAKE MPYA
![](http://4.bp.blogspot.com/-g4u_oYmZck4/VgJZhl0tcEI/AAAAAAAAHJ0/2mocHSKsKhM/s640/DSC_4028.jpg)
9 years ago
Mwananchi25 Oct
Uamuzi ni wako ni leo
Leo Watanzania watatumia haki yao ya kikatiba kuchagua Rais wa Jamhuri ya Muungano, Rais wa Zanzibar, wabunge wa Bunge la Muungano, madiwani na wawakilishi kwa upande wa visiwani baada ya utawala wa Serikali ya Awamu ya Nne kuhitimisha kipindi chake cha pili cha miaka mitano.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-et2uJEgzmVU/XkzN_lBg7kI/AAAAAAALeNM/3sXsBrWAa68604nCRB038A5ZvXieU-0hQCLcBGAsYHQ/s72-c/737637be12c25dbefdbd7da9f3ff81ec.jpg)
Uamuzi wa kupunguza idadi ya wachezaji wa kigeni TPL uangaliwe kwa mapana zaidi kabla ya hatua hiyo kuchukuliwa
![](https://1.bp.blogspot.com/-et2uJEgzmVU/XkzN_lBg7kI/AAAAAAALeNM/3sXsBrWAa68604nCRB038A5ZvXieU-0hQCLcBGAsYHQ/s640/737637be12c25dbefdbd7da9f3ff81ec.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-L20P9priZ-E/XkzN_u0qfYI/AAAAAAALeNE/sj5RUD1VPGElAo3vLmEuxQAvqWPmAkmgwCLcBGAsYHQ/s640/_70607978_ivorians_.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-_3tQEYqLbFg/XkzN_tYVs5I/AAAAAAALeNI/WO9NBKPlcPsiZfjEdlYRLMwqmK-AB9WmgCLcBGAsYHQ/s640/Yangapic.jpg)
Na Mdau wa Soka Arusha
Hatua hii itakuwa siyo ya kujenga bali ni kubomoa soka letu. Kiuhalisia kwa sasa ni timu 3 zenye uwezo wa kusajili wachezaji 10 wa kigeni; Simba, Yanga na Azam.
Usajili kwa sasa unaruhusu kila timu ya TPL kusajili wachezaji mpaka 30 kwa msimu.Kwa mahesabu hayo jumla ya namba ya wachezaji wanaosajiliwa na timu 20 za ligi kuu ni 600(30 x20).
Chukulia mfano timu 3 kubwa zimesajili wachezaji 10 wa kigeni kila moja ukijumlisha unapata wachezaji 30.
Chukulia pia mfano timu 17...
10 years ago
VijimamboMwanaFA atembelea yatima kabla ya shoo "Vodacom Life is better" Tanga
10 years ago
MichuziMwanaFA atembelea kituo cha watoto yatima kabla ya kuangusha bonge la shoo ya"Vodacom Life is better"Tanga
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/0jwS8IDgkuWAo4k3TucMaT2-e9U-AGlALAJdF9Ps5fj99mnCsCGDgNn8CZCDloSl0Rn0klG0oS*2yhg2-48EbsLl*-KBZIOI/mahaba.jpg?width=650)
UMUHIMU WAKO KWA MWENZI WAKO UKO WAPI? -3
KAMA kuna mambo muhimu unayotakiwa kuyajua katika mapenzi ni pamoja na umuhimu wako kwa mwenzi wako. Ndugu zangu, huwezi kuwa kwenye uhusiano ambao hauna faida. Mambo yanakwenda hovyo, huthaminiwi wala kupewa kipaumbele. Katika mada hii tunaendelea kuangalia ni kwa namna gani utakuwa mwenye umuhimu kwenye uhusiano wako. Ngoja niwachekeshe kidogo; kuna wakati niliwahi kukutana na msichana mmoja ofisini akihitaji ushauri. Jambo...
9 years ago
BBCSwahili14 Oct
Je,utakubali mshahara wako kukatwa na kupewa mzazi wako?
Sera isio ya kawaida na ambayo imeanzishwa na kampuni moja nchini Uchina kwa wafanyikazi kutoa kiwango kidogo cha mishahara yao kwa wazazi wao imezua mjadala mkubwa
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mK50tPAXydWWQKXTbhj3*-mF1qOgY0m92*oxbs4uWYE98cy7Z5q8xuTVUL6bUOIxQFNDpKOR1dRpMqetqEz6Q5A4c6W4nyfB/mahaba.jpg?width=650)
UMUHIMU WAKO KWA MWENZI WAKO UKO WAPI?
KUNA wakati inatokea kwenye uhusiano, mmoja wao akadhauriwa na mpenzi wake na kuonekana wa kawaida tu. Athari kubwa zaidi katika kuonekana wa kawaida au kudharauliwa ni kuachana wakati wowote – kwa ghafla. Mara nyingi tendo la kuachana kwa wenzi wa aina hii huwa hakuna sababu kubwa sana. Jambo dogo tu linaweza kukatisha uhusiano lakini kumbe ndani kuna siri nyingine kubwa zaidi; kushuka thamani – kupoteza...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/S4xgI8hj9Ws/default.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania