Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TFF yazidi kukaliwa kooni

KAMATI ya Sheria na Hadhi za Wachezaji ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), imezidi kushushiwa lawama na wanachama wa Simba kwa walichokiita ‘kumkumbatia’ Mwenyekiti wao, Ismail Aden Rage ‘Tutu Vengere’....

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Chadema yazidi kuikalia kooni NEC

Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imesema Chadema inawasumbua kutokana na madai yao ya mara kwa mara, lakini chama hicho kikuu cha upinzani hakijakoma; kimeitaka Tume kujibu mambo matano kuhusu Uchaguzi Mkuu.

 

11 years ago

Mwananchi

TFF yaikalia kooni Yanga

Shirikisho la Soka Tanzania (TFF)limesema kuwa litaichukulia hatua za kinidhamu Yanga iwapo itabainika kuwa ilivunja kanuni za Ligi Kuu katika michezo yake miwili iliyopita dhidi ya Simba na Stand United.

 

11 years ago

Tanzania Daima

TFF yazidi kumlea Aden Rage

KAMATI ya Sheria na Hadhi za Wachezaji ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), imezidi kusisitiza kuwa bado Mwenyekiti wa Simba huku ikimtaka kuitisha mkutano mkuu kwa mujibu wa Katiba ya...

 

10 years ago

Mwananchi

Nyosso akaliwa kooni

Wadau mbalimbali wa soka nchini wameonyesha kuchukizwa na kitendo cha beki, Juma Nyosso kumdhalilisha mshambuliaji, John Bocco katika pambano kati ya Azam na Mbeya City lililofanyika kwenye Uwanja wa Azam Complex jijini juzi.

 

10 years ago

Habarileo

CAG aikalia kooni Serikali

Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Profesa Mussa AssadMDHIBITI na Mkaguzi Mkuu mpya wa Hesabu za Serikali (CAG), Profesa Mussa Assad, ameamua kuiorodheshea Serikali mapendekezo yote ya mtangulizi wake, Ludovic Utouh, ambayo hayajatekelezwa na Serikali tangu 2008 na kusisitiza sasa yatekelezwe.

 

11 years ago

Mwananchi

Sumatra yaendelea kuikalia kooni Uda

>Wakazi wa Jiji la Dar es Salaam kuanzia leo  wametakiwa kutoa taarifa kwa Mamlaka ya Udhibiti wa usafiri Majini na Nchi Kavu (Sumatra) pindi watakapotumia usafiri wa mabasi ya Shirika la Usafiri Dar es Salaam (Uda) yasiyokuwa na vibao vinavyoonyesha  njia.

 

10 years ago

Mwananchi

Jaji awakalia kooni vigogo Barcelona

Jaji wa Mahakama Kuu ya Hispania ameendelea kuwang’ang’ania mabosi wa klabu ya Barcelona wanaohusika na kashfa ya ukwepaji kodi.

 

10 years ago

Mwananchi

Wabunge wa Ukawa waikalia kooni Ikulu

>Mjadala wa bajeti mwaka 2015/16 umegeuka mwiba mchungu kwa Ofisi ya Rais baada ya mawaziri watatu waliopo katika ofisi hiyo kubanwa na wabunge wa upinzani hasa wale wanaounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), wakisema “njaa imeanzia Ikulu na Ofisi ya Rais inayosimamia Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) haina utashi wa kupambana na rushwa.”

 

9 years ago

Mwananchi

Waangalizi Ulaya waikalia kooni ZEC

Wakati sintofahamu ya kisiasa ikiendelea Zanzibar baada ya kufutwa matokeo ya Uchaguzi Mkuu na Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), Waangalizi wa Uchaguzi Mkuu kutoka Jumuiya ya Ulaya (EU EOM) wametoa wito wa kukamilishwa haraka mchakato wa uchaguzi visiwani humo kwa mujibu wa kanuni za chaguzi shirikishi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani