Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TGNP KUFANYA TAMASHA LA JINSIA 1-4 SEPTEMBA 2015





Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

TGNP yazindua Ilani ya Uchaguzi katika Tamasha la Jinsia

TTTT

Kaimu Mkurugenzi wa TAMWA Edda Sanga akiongea kuhusu ilani ya Mtandao wa wanawake wa katiba na uchaguzi iliyozinduliwa hapo jana katika viwanja vya TGNP Mabibo, Dar es salaam. Wanaofuata ni Mwakilishi wa TAWLA, Mkurugenzi wa TGNP Lilian Liundi na Mwenyekiti wa Bodi ya Chuo cha Mafunzo ya Jinsia (GTI) Asseny Muro.

ILANI YA UCHAGUZI YA MTANDAO WA WANAWAKE NA KATIBA NA UCHAGUZI

UCHAGUZI MKUU  2015

UTANGULIZI    

Uchaguzi wa mwaka 2015 ni wa kihistoria katika harakati za ukombozi wa mwanamke ...

 

9 years ago

Michuzi

TAMASHA LA KIMATAIFA LA SANAA NA UTAMADUNI KUFANYIKA SEPTEMBA 21-27, 2015 WILAYANI BAGAMOYO

 Mwenyekiti wa Tamasha la Kimataifa la Sanaa na Utamaduni Bagamoyo, John Mponda (katikati), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo, kuhusu tamasha hilo litakalofanyika kwa mara ya 34 kuanzia tarehe 21-27 Septemba katika ukumbi na viunga vya Taasisi ya Sanaa na Utamaduni Bagamoyo ambao ndio wenyeji na waandaaji wa tamasha hilo kongwe Tanzania. Kulia ni Mwenyekiti wa Kamati ya Maonyesho ya tamasha hilo, Christa Komba na kushoto ni Mwenyekiti wa Kamati ya Ufundi na...

 

5 years ago

Michuzi

TGNP YAENDESHA MAFUNZO YA JINSIA, DEMOKRASIA NA UONGOZI KWA WADAU WA HAKI ZA WANAWAKE


Washiriki wa mafunzo ya Jinsia, Demokrasia na Uongozi wakiwemo viongozi wa Taasisi za Kijamii, Mashirika yasiyo ya kiserikali,waendesha bodaboda,watu wenye ulemavu na viongozi wa dini na kimila wilaya ya Kishapu mkoani Shinyanga wakipeana mrejesho wa mambo waliyojifunza kuongeza ushiriki wa wanawake katika uongozi na kufanya maamuzi kwa nia ya kubadili mtazamo wa jamii kuhusu ushiriki wa wanawake leo Ijumaa Februari 14,2020 katika ukumbi wa BM Maganzo.Mzee wa Mila Juma Kidaha Makwaiya...

 

10 years ago

GPL

MTANDAO WA JINSIA TANZANIA (TGNP) WAENDESHA MAFUNZO KWA WANAHABARI KANDA YA MASHARIKI

Mtoa mada Kenny Ngomuo akitoa mafunzo kwa waandishi wa habari (hawapo pichani). Wanahabari wakimsikiliza Kenny Ngomuo. Wanahabari wakifuatilia mafunzo hayo.…

 

10 years ago

Dewji Blog

TGNP yafanya Tamasha kupinga Ukatili wa Kijinsia

v

Kaimu Mkuu wa Mtandao wa Jinsia Tanzania (TGNP), Bi.Lilian Liundi akizungumza na baadhi ya vyombo vya habari.

Na Mwandishi wetu

Tamasha  la kupinga  ukatili wa kijinsia lililojulikana kama siku ya rangi ya chungwa lilifanyika jana jijini Dar es Salaam kupinga unyanyasaji kwa mwanamke na mtoto wa kike.

Akizungumza na waandishi wa habari Kaimu Mkurugenzi wa  TGNP Liliani Liundi alisema, Tanzania ilipewa jina la kisiwa cha amani lakini  jina  hili haliwezi kuwa la kweli ikiwa kuna...

 

10 years ago

GPL

TAMASHA LA 33 LA TASUBA KUANZA 22 SEPTEMBA BAGAMOYO

Mwenyekiti wa tamasha la kimataifa la sanaa na utamaduni, Abraham Bura (kulia),  Kaimu Mkuu wa Idara ya Taaluma, Gabriel Kiiza, Mkuu wa Chuo, Michael Kadinda, na Afisa Habari, Sophia Mtakasimba.…

 

10 years ago

Michuzi

TAMASHA LA SANAA NA UTAMADUNI KUFANYIKA SEPTEMBA 22-28-2014 WILAYANI BAGAMOYO

Kaimu Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya Sanaa na Utamaduni Bagamoyo (TaSUba), Michael Kadinde (katikati), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam, kuhusu Tamasha la 33 la taasisi hiyo litakalofanyika kuanzia Septemba 22 hadi 28 mwaka huu. Kulia ni Mwenyekiti wa Tamasha hilo, Abraham Fadhil na Mkuu wa Mafunzo, Gabriel Kiiza.Dotto Mwaibale
TAASISI ya sanaa na utamaduni Bagamoyo (TaSUba) imeanadaa tamasha la 33  lenye lengo la kukuza mila na desturi za watanzania.
Katika ...

 

10 years ago

GPL

TAMASHA LA SANAA NA UTAMADUNI KUFANYIKA SEPTEMBA 22-28, 2014 WILAYANI BAGAMOYO‏

 Kaimu Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya Sanaa na Utamaduni Bagamoyo (Tasuba), Michael Kadinde.  Mwenyekiti wa Tamasha hilo, Abraham Fadhil.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani