TGNP yazindua Ilani ya Uchaguzi katika Tamasha la Jinsia
Kaimu Mkurugenzi wa TAMWA Edda Sanga akiongea kuhusu ilani ya Mtandao wa wanawake wa katiba na uchaguzi iliyozinduliwa hapo jana katika viwanja vya TGNP Mabibo, Dar es salaam. Wanaofuata ni Mwakilishi wa TAWLA, Mkurugenzi wa TGNP Lilian Liundi na Mwenyekiti wa Bodi ya Chuo cha Mafunzo ya Jinsia (GTI) Asseny Muro.
ILANI YA UCHAGUZI YA MTANDAO WA WANAWAKE NA KATIBA NA UCHAGUZI
UCHAGUZI MKUU 2015
UTANGULIZI
Uchaguzi wa mwaka 2015 ni wa kihistoria katika harakati za ukombozi wa mwanamke ...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo17 Jul
9 years ago
MichuziMTANDAO WA WANAWAKE WAHITIMISHA TAMASHA LA UZINDUZI WA ILANI YA UCHAGUZI LEO JIJINI DAR
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-PREf2LnUxEU/XuobkqB7WjI/AAAAAAALuPQ/sw-CMhavQnIwfKylieP0YEclPpOzp7LWQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200616_164101_872%2B%25281%2529.jpg)
BAADHI YA CHANGAMOTO ZILIZOTATULIWA KATIKA UTEKELEZAJI WA ILANI YA UCHAGUZI YA 2015-2020
Diwani aliyemaliza muda wake wa kata ya Tumbi wilayani Kibaha mkoa wa Pwani Hemed Mnkai Chanyika akiwasilisha taarifa ya utekelezaji ilani ya uchaguzi ya mwaka 2015-2020 ameeleza kuwa katika kipindi chake cha uongozi amefanikiwa kutatua changamoto mbalimbali za wananchi ikiwemo miundombinu ,elimu,Afya,maji
michezo na ardhi.
Ameeleza hayo Jana Kibaha kuwa katika kusimamia tatizo la ajira kwa vijana aliweza kutoa mikopo mbalimbali kwa vijana,ili waweze kujiajiri na hivyo...
10 years ago
Dewji Blog14 Sep
Kinana katika ziara ya kuimarisha Chama na kukagua utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya Mwaka 2010
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiwahutubia wananchi wa Kata ya Kimanzichana jana wakati alipoanza ziara yake ya mikoa ya Pwani ,Tanga na Iringa Ikiwa ni kuimarisha Chama na kukagua utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya Mwaka 2010 huku akihimiza wananchi kushiriki katika shughuli za kujiletea maendeleo katika maeneo yao, Katibu Mkuu Abdulrahman Kinana anaongozana na Nape Nnauye Katibu wa NEC Siasa Itikadi na Uenezi na leo amefanya shughuli mbalimbali katika ziara hiyo. (PICHA NA...
10 years ago
GPLMTANDAO WA JINSIA TANZANIA (TGNP) WAENDESHA MAFUNZO KWA WANAHABARI KANDA YA MASHARIKI
5 years ago
MichuziTGNP YAENDESHA MAFUNZO YA JINSIA, DEMOKRASIA NA UONGOZI KWA WADAU WA HAKI ZA WANAWAKE
Washiriki wa mafunzo ya Jinsia, Demokrasia na Uongozi wakiwemo viongozi wa Taasisi za Kijamii, Mashirika yasiyo ya kiserikali,waendesha bodaboda,watu wenye ulemavu na viongozi wa dini na kimila wilaya ya Kishapu mkoani Shinyanga wakipeana mrejesho wa mambo waliyojifunza kuongeza ushiriki wa wanawake katika uongozi na kufanya maamuzi kwa nia ya kubadili mtazamo wa jamii kuhusu ushiriki wa wanawake leo Ijumaa Februari 14,2020 katika ukumbi wa BM Maganzo.
10 years ago
Dewji Blog26 Aug
TGNP yafanya Tamasha kupinga Ukatili wa Kijinsia
Kaimu Mkuu wa Mtandao wa Jinsia Tanzania (TGNP), Bi.Lilian Liundi akizungumza na baadhi ya vyombo vya habari.
Na Mwandishi wetu
Tamasha la kupinga ukatili wa kijinsia lililojulikana kama siku ya rangi ya chungwa lilifanyika jana jijini Dar es Salaam kupinga unyanyasaji kwa mwanamke na mtoto wa kike.
Akizungumza na waandishi wa habari Kaimu Mkurugenzi wa TGNP Liliani Liundi alisema, Tanzania ilipewa jina la kisiwa cha amani lakini jina hili haliwezi kuwa la kweli ikiwa kuna...
9 years ago
Michuzi28 Aug
UPENDO NKONE ACHOMOZA TAMASHA LA KUOMBEA AMANI KATIKA UCHAGUZI MKUU
![indexG](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/08/indexG.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-xKutnriKbTw/VAWIwk65uSI/AAAAAAAGbBQ/pib8N-K5cOI/s72-c/unnamed%2B(35).jpg)
MISINGI YA USAWA WA JINSIA IKILINDWA KATIKA KATIBA MPYA, TUTAPATA KATIBA YENYE MRENGO WA JINSIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-xKutnriKbTw/VAWIwk65uSI/AAAAAAAGbBQ/pib8N-K5cOI/s1600/unnamed%2B(35).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-cddAfEHJ76g/VAWIwaLnxvI/AAAAAAAGbBI/8lTVYnqs_LM/s1600/unnamed%2B(36).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-NB38tfhdHm8/VAWIwxrpIvI/AAAAAAAGbBM/XTuCl0lqumE/s1600/unnamed%2B(37).jpg)