TIMU YA TANZANIA WAICHAPA EALA MABAO 4-0
Timu ya Tanzania jana wailiichapa timu ya EALA mabao 4 kwa 0 ambapo Mh. Joshua Nassari alifunga bao la kwanza na bao la pili kufungwa na na mchezaji mahiri Yusuph Gogo na la tatu kufungwa na Ahmed Ngwali na bao la nne timu ya EALAwalijifunga wao wenyewe kupitia kwa beki wao Wyclif Keto katika harakati za kuokoa mpira
Timu ya EALA
Naibu Waziri wa Fedha Adam Malima kiongozi wa timu ya Tanzania akiwa katika picha ya pamoja na waamuzi wa mechi kati ya Tanzania na EALA jana katika uwanja...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi10 Dec
TIMU YA EALA WAICHAPA BURUNDI 4-2
![](https://mail.google.com/mail/u/0/images/cleardot.gif)
![SAM_0035](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/mbrG7r1lBwnuMCQUKxhZwR2GzcWEvN-O4Y2KcOEAeKzTRBuST7pEqLol3-chCWzLIAcotyhzQLT2AiLp89ypRXfTdqtRm2CxWD2LGLia50ViA5tv4KgMIEQ=s0-d-e1-ft#https://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/12/sam_0035.jpg?w=660)
Kipindi cha...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-3XoHDWc4q4Q/XmZAgyra22I/AAAAAAALiQE/JytjH8gDpvc4ycFivZiVxyDDvYXQE9McQCLcBGAsYHQ/s72-c/127-1270644_simba-sc-simba-sports-club-logo.png)
TIMU YA VIJANA YA SIMBA YAIBUKA NA USHINDI WA MABAO 2- 0 DHIDI YA TIMU YA YANGA
![](https://1.bp.blogspot.com/-3XoHDWc4q4Q/XmZAgyra22I/AAAAAAALiQE/JytjH8gDpvc4ycFivZiVxyDDvYXQE9McQCLcBGAsYHQ/s400/127-1270644_simba-sc-simba-sports-club-logo.png)
TIMU ya vijana wenye umri chini ya miaka 17 wa Simba wameibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya wapinzani wao Yanga katika mchezo wa utangulizi uliochezwa Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
Mchezo wa timu hizo mbili ambao ulikuwa wa utangulizi kabla ya mechi ya timu ya Simba na Yanga wanaoshiriki Ligi Kuu Tanzania Bara. Mtangane ulianza saa nane mchana ambapo vijana hao kwa kila timu walionesha umahiri wao wa kusakata kabumbu licha ya umri walionao. Timu ya...
10 years ago
Dewji Blog11 Apr
Polisi Singida waichapa timu ya wandishi wa habari Singpress 3-2
Timu waandishi wa habari mkoa wa Singida iliyopambana na timu ya polisi katika mechi kali na ya kusisimua ya bonanza iliyofanyika uwanja wa Namfua.
Na Nathaniel Limu, Singida
TIMU ya soka ya jeshi la polisi mkoani Singida,imeichapa timu ya klabu ya waandishi wa habari (Singpress) mkoa wa Singida goli 3-2 kwenye mchezo wa bonanza iliyoandaliwa na kufadhiliwa na kampuni ya simu Vodacom Tanzania tawi la Singida.
Mechi hiyo kali na ya kusisimua,imefanyika kwenye uwanja wa michezo wa Namfua...
9 years ago
Michuzi04 Jan
TIMU YA KILUVYA UNITED YAITUNGUA AFRICAN LYON KWA MABAO 2-1 LIGI DARAJA LA KWANZA
Katika mchezo huo wa Kundi 'A' ulikuwa na upinzani wa hali ya juu kutokana na kila timu kucheza kufa na kupona kwa lengo la kuweza kuibuka na ushindi na kujinyakulia pointi tatau muhimu ili iweze kujiwekea...
10 years ago
MichuziTimu ya Zanzibar Diaspora USA Yanyakua Kombe la Muungano Washington DC, Kwa Ushindi wa Mabao 7-1 dhidhi ya Tanganyika
10 years ago
Dewji Blog01 Aug
Simba imeshinda katika mchezo wake wa pili wa mazoezi dhidi ya timu ya Black Sailor kwa mabao 4—0
Jopo la Makocha wa timu ya Simba...
10 years ago
MichuziSimba Imeshinda katika mchezo wake wa Pili wa Mazoezi dhidi ya Timu ya Black Sailor kwa mabao 4--0
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-jhHRq1Zv5Oo/Vd3FLoPUkUI/AAAAAAAH0OU/Lc5wZWOU4Kc/s72-c/IMG-20150823-WA0028.jpg)
TIMU ZA FC BONGO NA FC KILIMANJARO ZILITOKA SARE YA MABAO MAWILI MAWILI KATIKA MECHI ILIYOFANYIKA KTK JIJI LA HELSINKI NCHINI FINLAND
Kilimanjaro ilikuja juu na kufanikiwa kusawazisha kwa kona iliyopigwa na Richard Joseph ambayo ilimshinda nguvu kipa wa fc Bongo baada ya purukushani ndani ya lango hilo.
Kipindi cha pili kilianza kwa nguvu na kwenye dkk ya 80 Abass Kunha aliongeza bao la pili, vijana wa kilimanjaro waliongeza nguvu na baada ya dkk 5 wakafanikiwa kukomboa...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-sKlPjdrY4vY/VHx5W_O4ZFI/AAAAAAAG0nQ/d1pz7uiGcXA/s72-c/unnamed%2B(19).jpg)
UZINDUZI WA USHIRIKIANO KATI YA BODI YA UTALII TANZANIA NA TIMU YA SUNDERLAND YA NCHINI UINGEREZA WAKATI WA MECHI YAO NA TIMU YA CHELSEA
![](http://1.bp.blogspot.com/-sKlPjdrY4vY/VHx5W_O4ZFI/AAAAAAAG0nQ/d1pz7uiGcXA/s1600/unnamed%2B(19).jpg)