Treni iliyobeba tindikali yapata ajali
Queensland, Australia
Treni ya mizigo, iliyokuwa imebeba lita 200,000 za tindikali hatari ya Sulphuric Acid, usiku wa kuamkia leo Jumatatu imepata ajali nje kidogo ya Mji wa Julia Creek, Kaskazini Magharibi mwa Jimbo la Queensland nchini Australia na kuzua hali ya sintofahamu.
Picha ya treni hiyo iliyopigwa kutokea angani
Polisi walilazimika kufunga shughuli zote zilizokuwa zikiendelea kwenye eneo la kilometa 2 kuzunguka eneo la ajali, wakihofia wananchi wanaweza kupata madhara makubwa kwa...
Global Publishers
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLTRENI YA MIZIGO YAPATA AJALI ENEO LA GULWE WILAYA YA MPWAPWA
11 years ago
MichuziTreni ya mizigo yapata ajali eneo la Gulwe Wilaya ya Mpwawa,Dodoma
10 years ago
Habarileo07 Nov
Ajali ya basi, treni yaua 12
MATUKIO ya ajali za barabarani nchini yameendelea kuteketeza maisha ya Watanzania, baada ya jana watu 12 kufa papo hapo katika ajali iliyohusisha basi na treni katika makutano ya reli eneo la Kiberege, wilaya Kilombero mkoani Morogoro.
10 years ago
Habarileo08 Nov
Maiti 4 ajali ya treni hawajatambuliwa
MIILI ya watu wanne kati ya 12 waliokufa papo hapo juzi kwa ajali ya basi la Kampuni ya Super Aljabir baada ya kugongana na gari moshi, mali ya Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia (TAZARA ), haijatambuliwa.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/m9h2OjxKkWfeM0Sfr8raeaw7jFTA0i6ezSyK9pG4aGjtHxW5Kg1TdpDAoHPXd1DAobYJ208pXXH4suxjK6myCK*RrUqk8-rF/AJALI.jpg)
AJALI YA TRENI YAUA 12 NCHINI INDIA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/n9CkP9pTfMPezhUlGiKG7uH-CpTdtaBJwA8TPtmDWzfQNjR0tlQo5gqMUApDC9s0QBuRUgheoYYcjnh5VxUVo3kOQfsLvmmg/TRENI.jpg?width=650)
TRENI LA MIZIGO LAPATA AJALI DAR
11 years ago
Mwananchi04 Jan
27 wapoteza maisha ajali za treni 2013
11 years ago
BBCSwahili26 May
20 wauawa katika ajali ya treni India
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/YTFvh9JoYPHM1HRabQ5DiKLmeJV4iLoI2TBPIEcDJ6jNRiJgxZc3Z9lvPx6ib8BMT437n2bqtojQxWamviLqyII3VMAToQya/Mtoto.gif?width=650)
MAAJABU AJALI YA BASI KUGONGA TRENI