Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tupunguze hadaa, udanganyifu, upoteza muda na siasa bandia

KWA mara ya kwanza tangu ufanyike Uchaguzi Mkuu mwezi Oktoba uliopita, nachukua fursa hii kuandik

Jenerali Ulimwengu

Raia Mwema

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

2015 TUPUNGUZE SIASA, TUFANYE KAZI

Waziri mkuu Mizengo Pinda. LEO ni siku ya pili tangu tumeanza mwaka 2015, ambao utakuwa na pilikapilika nyingi, pengine kuliko ilivyokuwa mwaka uliopita. Ni jambo la kushukuru Mungu kwamba tumefanikiwa kufika salama, kwa wale ndugu zetu waliotangulia mbele ya haki, walio majeruhi na wagonjwa, tuwaombee kila dakika. Tumeumaliza mwaka 2014 tukiwa na stress kubwa, maana mambo mengi ya kisiasa yalituachia makovu yasiyofutika, lakini...

 

10 years ago

Habarileo

Sina muda kujibu siasa za majitaka-Ntimizi

MGOMBEA ubunge wa jimbo la Igalula kwa tiketi ya CCM, Musa Ntimizi amesema siku zote huwa hana muda wa kujibu siasa za majitaka wala malumbano. Kauli hiyo alitoa kwenye uzinduzi wa kampeni za jimbo la Igalula iliyofanyika wilayani Uyui.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wanawake tutambue majukumu tupunguze watoto wa mitaani

MWEZI uliopita Tanzania iliungana na nchi nyingine duniani kuadhimisha Siku ya Wanawake Duniani inayoadhimishwa Machi 8 ya kila mwaka. Tunafahamu kwamba mwanamke ni nguzo ya familia hivyo ana jukumu la...

 

5 years ago

Michuzi

WANAFUNZI WA KIKE MSIJIRAHISISHE TUPUNGUZE UKATILI- DC KASESERA

Na Mwandishi Wetu Iringa

Mkuu wa Wilaya ya Iringa Mhe. Richard Kasesela amewataka wanafunzi wa kike kutojirahisisha mpaka kupelekea kufanyiwa vitendo vya ukatili dhidi yao.

Ameyasema hayo leo mkoani Iringa wakati akiupokea Msafara wa kijinsia wa kutokomeza ukatili wa kijinsia mkoani hapo.

Ameongeza kuwa vitendo vya kikatili vimekuwa vikiongezeka siku hadi siku hasa katika familia na vimekuwa vikifumbiwa macho na kumalizana kimya kimya.

"Msijirahisishe watoto wangu mnatupa tabu sana maana...

 

9 years ago

Raia Mwema

Kuingia uchumi wa viwanda si lelemama, tupunguze misamiati

MIAKA 53 iliyopita, mwaka 1962, mwaka mmoja tu baada ya Uhuru wa Tanganyika; Baba wa Taifa, Mwali

Joseph Mihangwa

 

10 years ago

Tanzania Daima

10 years ago

BBCSwahili

Udanganyifu wa mitihani ni kawaida India

Udanganyifu wa mtihani umekuwa jambo la kawaida katika Jimbo la India la Bihar lakini picha

 

10 years ago

BBCSwahili

Kenya yakanusha kushiriki udanganyifu

Shirikisho la riadha la Kenya limekanusha kushiriki udanganyifu na njama ya kuficha matumizi ya madawa haramu ya kuongeza nguvu mwilini

 

10 years ago

BBCSwahili

Pacquiao ashutumiwa kwa udanganyifu

Bondia wa Ufilipino Manny Pacquiao ameshutumiwa kwa udanganyifu wa kuumia bega kabla ya pambano na Floyd Mayweather

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani