Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tusisingizie stress twendeni studio na tutulize akili kuandika tu ngoma kali — Soggy

Rapper mkongwe na mtangazaji wa radio Efm, Anselm Tryphone Ngaiza a.k.a Soggy Doggy Anter au The Entertainer ametoa ushauri kwa wasanii wa muziki kuacha kusingizia ‘stress’ kama chanzo cha kujihusisha na mambo yasiyofaa pale muziki unapowaendea vibaya. Soggy ambaye huendesha kipindi cha X-Ray kila Jumamosi akishirikiana na Sam Kiama, Kupitia ukurasa wake wa Facebook ameandika: […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Audio: Soggy Doggy awakusanya Nature, Inspekta, Suma G kwenye ngoma mpya

Rapper mkongwe na mtangazaji wa redio, Soggy Doggy amesema yupo mbioni kuachia ngoma mpya na wasanii wakongwe wenzie, Juma Nature, Inspekta Haroun, Suma G na Hammer Q. Soggy ameiambia Bongo5 kuwa ngoma hiyo imetayarishwa na Q the Don. “Tangu nimerudi kuishi Dar nimeshaenda studio za Majani sana. Zaidi ya muziki natarajia zaidi kurekodi lakini kuna […]

 

11 years ago

Bongo5

Mpenzi wa Chris Brown, Karreuche Tran akili kuwa anapigana vita kali na Rihanna

Mpenzi wa on/off wa star wa R&B Chris Brown, Karreuche Tran amezungumzia jinsi mahusiano yake na Breezy yalivyo na changamoto nyingi hasa kutokana na ex wake hit maker wa ‘Diamonds’ Rihanna. Jina la Karreuche limekuwa katika vichwa vingi vya habari miaka ya karibuni kutokana na kuingia kwenye maisha ya star huyo. Karrueche amesema muda mwingi […]

 

9 years ago

Bongo5

Shetta: Nina ngoma saba mpya na zote kali

Baada ya Shikirobo tarajia ngoma zingine kali kutoka kwa Shetta. Rapper huyo ameiambia Bongo5 kuwa ameandaa nyimbo saba mpya ambapo atachagua moja ya kutoka. Amesema muziki wa sasa unahitaji nyimbo nzuri na sio kubahatisha. “Watu wategemee ngoma kali, sitaki kuongea sana, video kali. Kuna ngoma kama saba nimeziandaa,” amesema Shetta. “Yeyote itatoka kwasababu muziki umekuwa […]

 

10 years ago

CloudsFM

Nay Wa Mitego,Diamond waingia studio kwa mara nyingine kufanya ngoma.

Staa wa Bongo Fleva,Nay Wa Mitego anatarajia kuachia ngoma yake mpya aliyomshirikisha Diamond Platinumz hivi karibuni. Akizungumza na Clouds FM, Nay alisema kuwa ngoma hiyo ameifanya kwenye studio za Free Nation kwa producer Mr.Tee Touch na kwamba jina la ngoma hiyo atalisema siku ambayo atakayoitambulisha ngoma hiyo.

‘’Yaah nimefanya ngoma tena na Diamond Platinumz na nitaitambulisha hivi karibuni kikweli sijisifii ni bonge la ngoma,’’alisema Nay Wa Mitego.
Mastaa hao walishawahi kufanya...

 

10 years ago

CloudsFM

CYRIL AMPANDISHA NDEGE PRODUCER WAKE BAADA YA KUGONGEWA NGOMA KALI

Hivi karibuni msanii wa Hip Hop Bongo,Cyril Kamikaze aliwashangaza watu kwa kumpa ofa producer wake Geoff Master wa studio ya Tongwe Records baada kupigiwa biti ya ngoma flani ambayo haijatoka, cyril alimpeleka mjini Zanzibar Geoff Master kwa siku kama nne kwa ajili ya mapumziko kama shukrani ya kumfanyia ngoma.‘’Nimeamua kumpeleka producer wangu mjini Zanzibar kwa mapumziko kama shukrani ya kunifanyia ngoma kali ingawa sijajua kama itafanya vizuri au haitafanya vizuri lakini ni ngoma...

 

9 years ago

Bongo5

Hakuna ngoma kali za Bongo fleva — Asema producer mkongwe Enrico

Ukiwataja watayarishaji wakongwe wa muziki wa Bongo ambao mpaka sasa bado wapo na wanaendelea na kazi hiyo, huwezi kumuacha Enrico Figueiro wa studio ya Sound Crafters. Enrico ambaye kwasasa hasikiki kutokana na kutofanya sana Bongo Fleva ambayo ndio inapewa nafasi zaidi ya kutangazwa, amesema kuwa nyimbo zote zinazotoka siku hizi hazina ubora ndio maana hazidumu […]

 

9 years ago

Bongo5

Cyrill adai video na ngoma kali sio kila kitu kwa muziki wa sasa

kamikaze

Staa wa muziki Cyrill Kamikaze, amesema muziki wa sasa sio tu kufanya video kali na ngoma kali ili uweze kutoboa, bali unahitaji kutumia ubunifu zaidi kukidhi viwango vyenye ubora na kufikia soko la kimataifa.

kamikaze

Rapper huyo amekiambia kipindi cha Planet Bongo cha East Afica Radio kuwa watu wengi wanafikiri ukiwa na video nzuri ndio unafanikiwa.

“Unaweza ukawa na video kali halafu usihit, muziki ni zaidi ya chupa kali, ukirudishwa miaka fulani nyuma, ngoma kali ndio ilikuwa inahit, lakini sasa...

 

10 years ago

Bongo5

Noorah: Nilikata tamaa ya kuachia nyimbo baada ya ngoma mbili kali za mwisho kuchukuliwa poa

Rapper Noorah aka Babastylez amedai kuwa sababu iliyomkatisha tamaa kuendelea kuachia nyimbo ni kuchukuliwa poa kwa ngoma zake mbili za mwisho alizozitoa ambazo yeye aliamini ni kali na zilistahili kufanya vizuri. “Kuna nyimbo mbili tatu nilizitoa zilikuwa kali sana kama ‘Chambervement’ niliyomshirikisha marehemu Magwair na ‘Mapenzi Sinema’ niliyomshirikisha Dataz, hazikufika katika kiwango ambacho zilistahili kufika […]

 

9 years ago

Bongo Movies

Mwaka Huu Nimewajua Wasanii Waliokuwa na Akili na Wasiokuwa na Akili-Ray

"(FREEDOM OF SPEECH)

Kuna vitu vingi sana nimegunduakwenye uchaguzi wa mwaka huu nimewajua baadhi ya wasanii waliokuwa na akili na wasiokuwa na akili japokuwa nami nawezakuwa mmoja wapo katika hao wasiokuwa na akili. Why nasema hivi na samahani kama nitakuwa nime2mia lugha kali, Unajua nashanga sana sasa hivi kumekuwa na vita baina ya wasanii wanaosapoti (CCM) Na (UKAWA)

Jamani siasa ni democracy kila m2 ana haki yakuwa upande anayeuona yeye unamfaa. Mimi nilidhani badala ya kuwa na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani