UHALAWE, KISARAWE
"USHUHUDA WA UTAJIRI NA UTALII WA KIHISTORIA ULIOPO KISARAWE"
Na Jokate Mwegelo, DC Kisarawe
WAUKAE ,Jumamosi ya Julai 28,2018 majira ya saa 10 alasiri, Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Joseph Magufuli aliniteua kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe.
Hakika ilikuwa siku ya kihistoria kwangu, hasa kwenye safari yangu ya kisiasa na uongozi nchini. Uteuzi huu umenipa nafasi ya kutumia na kuonesha vipaji vyangu vya kiuongozi.
Sikuwahi kudhania kuwa ipo siku...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziDC AWAONYA WAKAZI WA KISARAWE
Bi Subira, amesema kuwa, kuna watu hutumia kofia ya uwekezaji katika nchi hii kujitwalia ardhi katika maeneo mbalimbali na kisha kuyatelekeza bila ya kufanyiwa kazi kwa muda mrefu na kuleta usumbufu mkubwa kwa wananchi wanaoishi...
11 years ago
Tanzania Daima02 Aug
Kimbele amchapa Kisarawe
BONDIA Ramadhani Kimbele wa jijini Dar es Salaam, Jumatano iliyopita alitwaa ubingwa wa Shirikisho la Masumbwi ya Kulipwa Tanzania (TPBC), baada ya kumshinda Julius Kisarawe katika pambano la raundi 10...
11 years ago
Tanzania Daima26 Dec
Migogoro ya ardhi Kisarawe itatuliwe
WAHENGA walisema “okoa jahazi kabla halijazama”, na mimi ndivyo ninavyowataka viongozi wa Wilaya ya Kisarawe mkoani Pwani wakiwamo mkuu wa mkoa, wilaya, mkurugenzi, mbunge na madiwani washikamame kutatua migogoro ya...
9 years ago
Bongo Movies08 Sep
Picha: Kingwendu Alivyotikisa Kisarawe
Hizi ni baadhi ya picha za msanii wa filamu za vichekesho nchini, Rashid Mwinshehe ‘Kingwendu’ ambaye ni mgembea ubunge jimbo la Kisarawe kupitia tiketi ya chama cha wananchi CUF alipokuwa akinadiwa na mgombea mwenza wa urasi kupitia CHADEMA, Juma Duni Haji hivi karibuni.
10 years ago
Habarileo13 Oct
Kemikali Kisarawe yazua taharuki
SHEHENA ya kemikali ya salfa iliyoachwa Kijiji cha Kifuru, wilayani Kisararwe na Mamlaka ya Reli ya Tazara na Zambia (Tazara) baada ya treni yake ya mizigo kupata ajali, huenda ikawa tatizo kubwa kwa taifa kama itachelewa kuondolewa.
10 years ago
Mwananchi02 Dec
Wafugaji tisa wauawa Kisarawe
9 years ago
MichuziMUZIKI MNENE NDANI YA KISARAWE
Baada ya mechi hiyo burudani ya aina yake iliendelea ndani ya Tausi bar, huku Rdj’s na watangazaji wa EFM wakishikilia usukani wa burudani hivo kuwapagawisha ...
11 years ago
GPLBODABODA ACHINJWA-KISARAWE II KIGAMBONI
11 years ago
Tanzania Daima26 Jul
Kisarawe waaswa wasichague viongozi wa msimu
WANANCHI wilayani Kisarawe, Mkoa wa Pwani, wametakiwa kuchagua viongozi ambao watakuwa nao karibu katika shughuli mbalimbali za kimaendeleo badala ya wale wa kuwagawia zawadi huku wakiwaacha bila kushirikiana nao hadi...