Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UHALAWE, KISARAWE


"USHUHUDA WA UTAJIRI NA UTALII WA KIHISTORIA ULIOPO KISARAWE"
Na Jokate Mwegelo, DC Kisarawe 
WAUKAE ,Jumamosi ya Julai 28,2018 majira ya saa 10 alasiri, Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Joseph Magufuli aliniteua kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe. 
Hakika ilikuwa siku ya kihistoria kwangu, hasa kwenye safari yangu ya kisiasa na uongozi nchini. Uteuzi huu umenipa nafasi ya kutumia na kuonesha vipaji vyangu vya kiuongozi. 
Sikuwahi kudhania kuwa ipo siku...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

DC AWAONYA WAKAZI WA KISARAWE

Na. Wambara Mayori, Pwani.   Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Bi Subira Khamis Mgalu, amewasihi wananchi wa  Kisarawe kulinda ardhi yao kama mboni ya jicho  na kuwataka kuacha tabia ya kuuza ardhi yao kiholela na badala yake wajikite katika kuyaendeleza maeneo yao. 
Bi Subira, amesema kuwa, kuna watu hutumia kofia ya uwekezaji katika nchi hii kujitwalia ardhi katika maeneo mbalimbali  na kisha kuyatelekeza bila ya kufanyiwa kazi kwa muda mrefu na kuleta usumbufu mkubwa kwa wananchi wanaoishi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kimbele amchapa Kisarawe

BONDIA Ramadhani Kimbele wa jijini Dar es Salaam, Jumatano iliyopita alitwaa ubingwa wa Shirikisho la Masumbwi ya Kulipwa Tanzania (TPBC), baada ya kumshinda Julius Kisarawe katika pambano la raundi 10...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Migogoro ya ardhi Kisarawe itatuliwe

WAHENGA walisema “okoa jahazi kabla halijazama”, na mimi ndivyo ninavyowataka viongozi wa Wilaya ya Kisarawe mkoani Pwani wakiwamo mkuu wa mkoa, wilaya, mkurugenzi, mbunge na madiwani washikamame kutatua migogoro ya...

 

9 years ago

Bongo Movies

Picha: Kingwendu Alivyotikisa Kisarawe

Hizi ni baadhi ya picha za msanii wa filamu za vichekesho nchini, Rashid Mwinshehe ‘Kingwendu’ ambaye ni mgembea ubunge  jimbo la Kisarawe kupitia tiketi ya  chama cha wananchi CUF  alipokuwa akinadiwa na mgombea mwenza wa  urasi kupitia CHADEMA, Juma Duni Haji hivi karibuni.

 

10 years ago

Habarileo

Kemikali Kisarawe yazua taharuki

Mafundi wa Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia (TAZARA) wakikarabati kipande cha reli mwishoni mwa wiki kilichoharibika baada ya treni ya mizigo iliyokuwa imebeba shehena ya madini ya salfa kuanguka katika Daraja la mto Mpiji, kijiji cha Kifuru, wilayani Kisarawe, Mkoa wa Pwani. (Picha na Fadhili Akida).SHEHENA ya kemikali ya salfa iliyoachwa Kijiji cha Kifuru, wilayani Kisararwe na Mamlaka ya Reli ya Tazara na Zambia (Tazara) baada ya treni yake ya mizigo kupata ajali, huenda ikawa tatizo kubwa kwa taifa kama itachelewa kuondolewa.

 

10 years ago

Mwananchi

Wafugaji tisa wauawa Kisarawe

 Mapigano makali yamezuka kati ya jamii mbili za wafugaji katika Wilaya ya Kisarawe mkoani Pwani na kusababisha vifo vya watu zaidi ya tisa.

 

9 years ago

Michuzi

MUZIKI MNENE NDANI YA KISARAWE

WAKAZI wa kisarawe walipata burudani ya aina yake, jumamosi ya juzi tarehe 19 mwezi huu kutoka redio ya 93.7 EFM kupitia kampeni ya muziki mnene. Burudani hiyo ilianza na mpira wa miguu kati ya EFM na buffalo kisarawe, ambapo timu ya Buffalo ilitetea ushindi nyumbani kwa kuifunga EFM magoli mawili huku EFM ikiambulia sifuri.

Baada ya mechi hiyo burudani ya aina yake iliendelea ndani ya Tausi bar, huku Rdj’s na watangazaji wa EFM wakishikilia usukani wa burudani hivo kuwapagawisha ...

 

11 years ago

GPL

BODABODA ACHINJWA-KISARAWE II KIGAMBONI

Bi. Sakina, ambaye ni mama mzazi wa John Thobias akiweka shada la maua kwa uchungu. Katekista Millinga akiweka msalaba. Jeneza likiwa ndani ya…

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kisarawe waaswa wasichague viongozi wa msimu

WANANCHI wilayani Kisarawe, Mkoa wa Pwani, wametakiwa kuchagua viongozi ambao watakuwa nao karibu katika shughuli mbalimbali za kimaendeleo badala ya wale wa kuwagawia zawadi huku wakiwaacha bila kushirikiana nao hadi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani