Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UKICHUNIWA SHIDA! UKIPENDWA KARAHA, UFANYIWE LIPI SASA?

Mpenzi msomaji ni Jumatatu nyingine murua tunakutana kwenye elimu mpya ya mapenzi.
Shukrani za dhati ziwafikie wasomaji na wafuatiliaji wa XXlove waliotuma maoni yao wiki iliyopita kuhusu mada zetu.
Leo tunajadili kuhusu wapenzi ambao wakipendwa hawapendeki. Wasipopendwa wananung’unika na kuwafanya wapenzi wao wawe njia panda. Nianze kwa kuuliza; hivi mapenzi ni kitu gani hasa, kwani mtu asipopendwa utasikia...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

NDOA YA SAUDA MWILIMA SASA NI SHIDA!

Stori: Gladness Mallya Oooh nooo! Miaka miwili baada ya kufunga pingu za maisha (ndoa) na mwanaume aitwaye Kauli Juma, imefichuka kwamba ndoa ya prizenta wa Star TV, Sauda Mwilima ina shida kwani haishi na mumewe, ikidaiwa kwamba kila mmoja anaishi nchi tofauti na mwenzake. Prizenta wa Star TV, Sauda Mwilima akiwa na mume wake, Kauli Jumasiku ya harusi yao. Kikizungumza na Ijumaa Wikienda, chanzo makini ambacho ni mtu wa karibu...

 

10 years ago

Vijimambo

BAADA YA MAXIMO, SASA PHILI SIMBA OUT NA HUYU NDIYO MRITHI WA WAKE NAE SIJUI ATADUMU SIMBA NA YANGA NI SHIDA

Kocha Patrick Phiri amesema ametaarifiwa kuhusiana na kibarua chake kusitishwa.
Phiri raia wa Zambia amesema ni suala la kawaida kumtokea kocha, hivyo hana kinyongo na uongozi wa klabu hiyo.
"Wamenitaarifu kuhusiana na kuachishwa kazi, hili si jambo jipya, ingawa niliona tungeweza kubadilisha mambo.
"Najua Simba wanataka kufanya vizuri, hivyo siwezi kumlaumu mtu na utaona mwendo wa timu yetu ulivyokuwa," alisema Phiri.
Phiri amesema anasubiri kiasi cha fedha alichokuwa anadai ambacho hakueleza...

 

10 years ago

Habarileo

Muswada wa makandarasi ufanyiwe marekebisho -CUF

MWAKILISHI wa jimbo la Ole kwa tiketi ya Chama cha Wananchi (CUF), Hamad Masoud ameitaka Wizara ya Ardhi, Makazi, Maji na Nishati kuifanyia marekebisho miswada mitatu iliopo chini ya Wizara hiyo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Waamua wakifa ubongo wao ufanyiwe tafiti

Mcheza mpira wa mikono nchini Marekani Steve Weatherford na msakata kabumbu wa ligi ya taifa ya ya NFLRice wameamua kiume.

 

10 years ago

Mwananchi

Ushuhuda huu kuhusu wauza ‘unga’ ufanyiwe kazi

Kwa zaidi ya wiki tatu sasa, Watanzania wamekuwa wenyeji wa mgeni ambaye ujio wake nchini umekuwa wa aina yake.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kulazimishwa kujiuzulu kunapongezwa kwa lipi?

OPERESHENI Tokomeza Ujangili iliyogeuka kashfa kubwa nchini, imewaacha mawaziri wanne wakipoteza nyadhifa zao. Kati ya mawaziri hao wanne, Waziri wa Maliasili na Utalii, Balozi Khamis Kagasheki; Ulinzi na Jeshi la...

 

10 years ago

Mwananchi

Kikwete atakapong’atuka, atakumbukwa kwa lipi?

Hotuba aliyotoa Rais Jakaya Kikwete, Oktoba 2014 alipokuwa Beijing, China ni kama alianza kuwaaga Watanzania  akijiandaa kustaafu urais.

 

11 years ago

GPL

TUNDU LISSU: TUMUUE ZITTO KWA LIPI?

WAKATI Watanzania wote macho na masikio yao yakiwa Dodoma kwenye kikao cha Bunge la Katiba, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) bado kuna mgogoro unaoendelea kuunguruma chinichini. Tundu Lissu akiongea na wafanyakazi wa Global (hawapo pichani). Mgogoro huo kati ya uongozi wa Chadema na…

 

11 years ago

Tanzania Daima

Polisi Moro, Ndanda FC na Stand Utd zinakuja na lipi?

TIMU tatu zitakazochukua nafasi ya zitakazoshuka Ligi Kuu msimu huu, zimeshajulikana baada ya kufanya kweli katika Ligi Daraja la Kwanza. Hizo ni Polisi Morogoro iliyorejea Ligi Kuu ambapo tayari imepanda...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani