Unazikumbuka pesa hizi zilizopata kutumika Tanzania? Je. ulipata kuzitumia?
Pichani ni baadhi ya fedha za kitanzania zilizokuwa katika mtindo wa noti. Ambapo wakati huo thamani ya fedha hizo zilikuwa ni kubwa mno.
Na Andrew Chale, modewjiblog
Enzi za miaka ya nyuma wakati wa Hayati Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere hizi zilikuwa pesa halali na zenye thamani kubwa. Leo zimebaki kuwa urembo tu hasa kwa watu wengi majumbani mwao. Mbali na kuwa ni urembo pia wapo watu wanatumia pesa hizi kwa minajiri mbalimbali ikiwemo ushirikina hasa kwa waganga wa kienyeji...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
MillardAyo31 Dec
Na hizi ndio picha 10 za mastaa Instagram zilizopata likes nyingi duniani mwaka 2015
Instagram ni mtandao wa kijamii ambao umepata watu wengi sana kwa mwaka 2015, ni mtandao ambao kila mtumiaji anao uhuru wa kupost picha na video fupi za sekunde kumi na tano…. hesabu na mimi TOP 10 ya picha zilizopata likes nyingi mwaka huu wa 2015. 10 Hiyo picha hapo juu kama unavyoiona tu ni ya Kendall Jenner […]
The post Na hizi ndio picha 10 za mastaa Instagram zilizopata likes nyingi duniani mwaka 2015 appeared first on TZA_MillardAyo.
9 years ago
MillardAyo22 Dec
Pesa ya China inaruhusiwa kutumika Zimbabwe? Kilichonifikia ni hiki..
Kwa kipindi kirefu Rais wa Zimbabwe, Robert Mugabe hajawa kwenye uhusiano mzuri na nchi za Ulaya na Marekani… upande wa pili Rais huyo amekuwa rafiki mkubwa sana na nchi ya China, na ndiko misaada mingi inakotokea kuingia Zimbabwe. Vichwa vya habari za kimataifa kwenye mitandao mikubwa vimeandika kwamba huenda Zimbabwe wakahalalisha pesa ya China ianze […]
The post Pesa ya China inaruhusiwa kutumika Zimbabwe? Kilichonifikia ni hiki.. appeared first on TZA_MillardAyo.
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-ILGqrzWy9xs/VUniKw6NQeI/AAAAAAABt50/vX3VK_8ShFs/s72-c/MA%2B1.jpg)
MAALIM SEIF AKITEMBELEA SEHEMU ZILIZOPATA MAAFA ZANZIBAR
![](http://4.bp.blogspot.com/-ILGqrzWy9xs/VUniKw6NQeI/AAAAAAABt50/vX3VK_8ShFs/s1600/MA%2B1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-5MSEivByuSk/VUniNSq28sI/AAAAAAABt58/xfd_MS9RBmg/s1600/MA%2B3.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-sn3mebjzZtA/VUniSqgrXcI/AAAAAAABt6M/Z5hI8jRk7JU/s1600/MA%2B5.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/--X9HMBAzkIA/VUniVDNauGI/AAAAAAABt6U/JcdnaurwYZw/s1600/MA%2B7.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-OJlxqW6GQh8/VUniPmaipvI/AAAAAAABt6E/DsT0_neBg4E/s1600/MA%2B4.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://img.youtube.com/vi/RHrwGmoxFnQ/default.jpg)
Wateja wa Tigo Pesa sasa wanaweza kutuma na kupokea pesa kutoka M-PESA ya Kenya, MTN nchini Uganda, Airtel na MTN nchini Rwanda
Huduma hii ni wazi sasa kwamba inawaunganisha wateja wa Tigo Pesa na mitandao mingine mikubwa ya mawasiliano katika ukanda wa Afrika Mashariki inayotoa huduma za kifedha kupitia simu za mkononi hatua ambayo itakuza...
10 years ago
BBCSwahili07 Jan
Gesi yaanza kutumika Tanzania
10 years ago
StarTV12 Jan
Waliokopeshwa zana za kilimo watakiwa kuzitumia kwa umakini.
Na Zacharia Mtigandi,
Manyara.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Uwekezaji na Uwezeshaji dokta Mary Nagu, amewataka wananchi waliokopeshwa zana mbalimbali za kilimo nchini, kuhakikisha wanaitumia mikopo hiyo kwa umakini ili iweze kuwa chachu ya kuinu hali zao za kiuchumi.
Aidha aliwataka kuhakikisha wanafanya marejesho ya mikopo hiyo kwa wakati kulingana na mikataba waliokubaliana na taasisi zilizowakopesha.
Zana za kilimo zilizokopeshwa kwa wingi kwa wakulima nchini msimu wa mwaka...
5 years ago
MichuziBREAKING: ANGA LA TANZANIA SASA RASMI KUTUMIKA - WAZIRI MHANDISI KAMWELWE
Mkurugenzi wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA), Hamza Johari (kushoto) na Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Nchini, Mhandisi Julius Ndyamukana (kulia), wakimsikiliza Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Mhandisi...
10 years ago
GPLTCRA YAWATAKA WAMILIKI BLOGS KUZITUMIA VIZURI WAKATI WA UCHAGUZI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/650FoUqjosboosnqcbwFQzV5SscolYStB76Nx6evOOvSsqJ6z4tR-HsCVfons1E*ZclG0NE-Fe2Tnju*MJIILXPxIhS5wxp1/001.MEZALAUNCH.jpg?width=650)
WATEJA WA VODACOM M-PESA SASA KUTUMA PESA NCHINI KENYA