Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UNDANI BIFU LA RAY, CHIKI

Na Waandishi Wetu BAADA ya kuibuka sintofahamu kati ya waigizaji wa Bongo Movies, Salum Mchoma ‘Chiki’ na Vincent Kigosi ‘Ray’, Chiki ameibuka na kuzungumzia ishu hiyo. Staa katika tasnia ya filamu Bongo Vincent Kigosi ‘Ray’, Akipiga stori mbili tatu na paparazi wetu, Chiki alisema kuwa yeye na Ray hawakuwahi kuwa na bifu kama inavyozungumzwa kwenye mitandao ya kijamii isipokuwa...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

RAY, CHIKI NUSURA WAZICHAPE!

Stori: Musa Mateja
ILIBAKI kidogo mastaa wa sinema za Kibongo, Vincent Kigosi ‘Ray’, na Salum Mchoma ‘Chiki’, wazichape baada ya kutokea mzozo kati yao uliodumu kwa dakika tatu wakirushiana maneno. Staa wa sinema za Kibongo, Vincent Kigosi ‘Ray’. Tifu hilo lilitokea wikiendi iliyopita, Lamada Hotel – Ilala, Dar ambapo Chiki alimshukia Ray akidai kuwa (Ray) haungi mkono uongozi wa...

 

10 years ago

Bongo Movies

Ray Feki Awatapeli Watu Facebook, Ray Waukweli Atoa Angalizo!

“Wadau na wasanii wote mnaotaka kuigiza msidanganyike na account hii ya Facebook SIYO YANGU NI FAKE.

Maana napata tabu sana Ofisini kwangu watu wanakuja kudai Hela wakisema kuwa Eti Mimi nimetangaza usahili kupitia kwenye account hiyo hapo juu fake Kuwa nahitaji wasanii ni uongo mtupu mnaibiwa pesa zenu na namba anayotumia kuwaibia Watu Hela ni hiii hapa 0779 946440.

Msidanganywe ni matapeli hao Mimi Sijatangaza Chochote kwenye Facebook. Im done hope That You Have All understood...

 

11 years ago

GPL

CHUCHU AJICHORA TATUU YA RAY, RAY AJIBU

Stori: Imelda Mtema
KATIKA hali inayoonesha kuna kitu kikubwa kinakuja mbeleni, msanii wa filamu, Chuchu Hans amejichora ‘tatuu’ inayosomeka kwa jina la Ray huku anayedaiwa kuwa mpenzi wake, Vincent Kigosi ‘Ray’ naye akiwa amejichora tatuu inayosomeka kwa jina la Chuchu. Ray na Chuchu. Picha ambazo gazeti hili limezinasa zinawaonesha wawili hao wakipigia ‘promo’ uhusiano wao huku wadau...

 

10 years ago

Bongo Movies

Hiki ndicho Walichohaidiana JB na Ray Kigosi leo kabla ya mechi ya Simba na Yanga. JB ni SIMBA, Ray ni YANGA.

Huku tukisubiria kwa hamu sana ile mechi ya NANI MTANI JEMBE kati ya YANGA na SIMBA, Jacob Steven – JB mshabiki namba moya wa SIMBA SPORTS CLUB na VICENT KIGOSI – Ray, shabiki namba moja wa YANGA wamekubaliana haya yafuatayo.

Endapo timu moja SIMBA itafungwa, basi JB atavaa jezi ya YANGA na kumpa RAY pesa za kitanzania TSHS. MILLIONI MOJA (1) CASH na ikiwa YANGA itafungwa, basi RAY atavaa jezi ya SIMBA na kumpa JB pesa hiyo hiyo MILLIONI MOJA (1) CASH.

Unahisi nani ataibuka kidedea...

 

10 years ago

GPL

UJUE UNDANI WA MEZ B

MSANII wa muziki wa Bongo Fleva aliyekuwa akiwika na kundi la Chamber Squad, Moses Bushagama ‘Mez B’ amefariki dunia asubuhi ya leo majira ya saa 4:30 mjini Dodoma.Hii imekuwa ni pigo la pili kwa kundi la Chamber Squad kupoteza memba wake baada ya awali kumpoteza Albert Mangweha ‘Ngwear’.Katika makala haya yanauelezea undani wa Mez B mpaka kufikia umauti. Mez B akiwa katika moja ya mahojiano na kituo...

 

11 years ago

GPL

UNDANI STAA WA ISIDINGO...

Marehemu Lesego Motsepe ‘Lettie Matabane’ enzi za uhai wake. Sifael Paul na Mtandao
KIFO cha staa aliyekuwa mwingizaji wa shoo ya runingani ya Isidingo ‘The Need’, Lesego Motsepe ‘Lettie Matabane’ kimeibua vilio kwa ‘Wasauzi’ ikielezwa chanzo ni ugonjwa hatari wa Ukimwi, huu ndiyo undani kamili. Lettie Matabane aliyeaga dunia akiwa na umri wa miaka 40, alikutwa na kaka yake,...

 

10 years ago

GPL

UNDANI WA PROFESA ALIYECHINJWA

MATUKIO ya ukatili wa kutisha yanazidi kushika kasi kila kona ya nchi,  safari hii hofu imetanda kwa baadhi ya wakazi wa Dar ambapo Profesa maarufu aliyefahamika kwa jina la Joseph Minja, mkazi wa Makonde eneo la Mbezi-Beach anadaiwa kuuawa kwa kuchinjwa kinyama kisha mwili wake kukutwa kwenye  friji , Risasi Jumamosi lina undani kamili. Profesa maarufu anayefahamika kwa jina la Joseph Minja, mkazi wa Makonde eneo la...

 

11 years ago

GPL

UNDANI KIFO CHA MANDELA

SIYO habari tena, kwani dunia nzima inajua kuhusu kifo cha shujaa wa Afrika, nembo ya mapambano dhidi ya ubaguzi wa rangi, komredi aliyefungwa jela miaka 27 akitetea usawa baina ya wananchi wa Afrika Kusini, Nelson Rolihlahla Mandela.
Risasi Jumamosi, kwa msaada wa vyanzo mbalimbali, linamulika kwa undani chanzo hasa cha kifo cha Mandela, aliyefikwa na mauti usiku wa kuamkia jana, Desemba 5, mwaka huu akiwa na umri wa miaka 95. ...

 

11 years ago

GPL

UNDANI POLISI ALIYEUAWA NA MAJAMBAZI

Stori: Haruni Sanchawa na Makongoro Going,’ Pwani
JUMANNE, Juni 10, mwaka huu majambazi yapatayo sita, yalivamia Kituo Kidogo cha Polisi Kimanzichana na kupora silaha na baadaye kumuua askari polisi mmoja, mgambo mmoja na kumjeruhi mwingine na kutoweka. Marehemu Venance Mushi enzi za uhai wake. Kwa mujibu wa mashuhuda, majambazi hayo yalifika katika kituo hicho majira ya saa saba usiku, yakiwa yanakokota bodaboda mbili...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani