UNDANI WA BODABODA ALIYENYONGWA KIVULE
![](http://api.ning.com:80/files/FBfnXTo9RIG6-NqDEuJCZ221kxbP80j4tcwVPcbNDfDYPzC8ACIIdli8YfKJCg8*2q0zWsZ4aLa3u7QNhG6AqKfRnw-vthg1/bodaboda.jpg?width=650)
Stori: Nyemo Chilongani Dereva wa Bodaboda aliyejulikana kwa jina la Musa Wambari, 25, mkazi wa Kitunda, jijini Dar es Salaam amekutwa amenyongwa na maiti yake kutupwa katika Uwanja wa Shule ya Abdu Juma huko Kivule. Marehemu Musa na mkewe enzi za uhai wake. Tukio hilo la kuhuzunisha lilitokea Februari 9, mwaka huu saa 4 usiku baada ya marehemu kukodiwa na watu wawili. Imedaiwa na madereva bodaboda waliokuwa wakiegesha...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziJAMBO LEO YAICHABANGA BODABODA FC TAMASHA LA BODABODA UKONGA
11 years ago
Tanzania Daima17 Apr
Kivule wajenga daraja la muda
DIWANI wa Kivule, Nyansika Ngemo, kwa kushirikiana na wananchi wake wamechanga sh 710,000 kwa ajili ya ujenzi wa daraja la muda la watembea kwa miguu baada ya daraja la Mto...
10 years ago
Tanzania Daima03 Oct
Walimu Kivule hawana ofisi
SHULE ya Msingi Kivule jijini Dar es Salaam inahitaji sh milioni 97 kwa ajili ya ujenzi wa Ofisi ya Mwalimu Mkuu na Walimu ili kuhakikisha wanatoa elimu bora kwa wanafunzi....
11 years ago
Habarileo21 Apr
Wakazi wa Kivule wasikitishwa na Magufuli
WANANCHI katika eneo la Kivule, katika Wilaya ya Ilala wamesikitishwa na kauli ya Waziri wa Ujenzi, Dk John Magufuli kwamba madaraja yote katika Jiji la Dar es Salaam, sasa yanapitika, wakati eneo la Kivule bado halipitiki, baada ya kuharibiwa na mvua wiki iliyopita.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zXzp3DhECP5-YNfyxjV6i8TEVuv6uIpftHwIar--WHsHX5Ieyh8FyJmmGDLrO1jKdq23wjNvSJq0JCd5c53w2lUnopCfGG6P/IMG20150507WA0018.jpg?width=650)
MVUA ZILIVYOATHIRI DARAJA LA KIVULE, DAR
10 years ago
Tanzania Daima11 Nov
Tamisemi iwaondolee kero wakazi Kivule
HIVI karibuni wawakilishi wa wakazi wa Kata ya Kivule, Manispaa ya Ilala, Dar es Salaam walipataza sauti wakiilalamikia serikali kupuuza maombi yao ya kutaka kata yao igawanywe, ili kurahisisha upatikanaji...
10 years ago
Tanzania Daima31 Oct
Wakazi Kivule walia na viongozi Ukonga
WAKAZI wa Kata ya Kivule jijini Dar es Salaam wamemuomba Rais Jakaya Kikwete kusikiliza kilio chao na kuwaondolea kero ambazo zimedumu muda mrefu katika Kata hiyo. Akizungumza na Waandishi wa...
10 years ago
GPLDARAJA LA KIVULE DAR HATARINI KUKATIKA
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Q_eyRymWyaI/VkAUKXLpr0I/AAAAAAAIE7A/dFu80_C4vtc/s72-c/unnamed%2B%252822%2529.jpg)
Kivule Veterani yaibuka kidedea mbele ya EFM
![](http://3.bp.blogspot.com/-Q_eyRymWyaI/VkAUKXLpr0I/AAAAAAAIE7A/dFu80_C4vtc/s640/unnamed%2B%252822%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-zWwkU_5yaK8/VkAULBgsVOI/AAAAAAAIE7E/nCbbnutxo88/s640/unnamed%2B%252823%2529.jpg)