Utafiti: Kutazama sana TV kunasababisha magonjwa haya
Utafiti mpya unaohusishwa na utazamaji wa TV uliopitiliza ufikao saa nane kwa siku unaweza kusababisha magonjwa hatari kama saratani, ugonjwa ini na Parkinson’s (kutetemeka). Watafiti kwenye taasisi ya taifa ya saratani, Michigan Marekani walibaini kuwa wale wanaotazama TV kwa saa tatu na nusu kwa siku hawapo kwenye hatari pekee ya kupata saratani au magonjwa ya […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili16 Jul
Utafiti:Kunyamba kunazuia magonjwa
11 years ago
Mwananchi21 Jun
Haya ni magonjwa saba hatari yanayodhibitiwa kwa chanjo (2)
10 years ago
MichuziUtafiti unaonyesha kuwa magonjwa mengi na ajali yanachangiwa na matumizi ya pombe
Utafiti unaonyesha kuwa magonjwa ya kifua Kikuu , Ukimwi ,Kansa pamoja na ajali zinachangiwa na matumizi ya pombe kwa kiwango cha juu, na vijana ndio waathirika wakubwa kutokana na kutokuwepo kwa sera ya matumizi ya pombe.
Utafiti huo umetolewa na Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu –Kituo cha Mwanza (NIMR),uliofanywa katika Mikoa ya Kilimanjaro na Mwanza na ambao ulilenga vijana kuanzia Miaka 15-24.
Wakizungumza katika semina ya wadau wa masula...
9 years ago
MichuziHALFA YA KUFUNGA KONGAMANO LA 29 LA SAYANSI LILILOANDALIWA NA TAASISI YA TAIFA YA UTAFITI WA MAGONJWA YA BINADAMU.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-qtMEq3KMi9s/XrbJYe8s7jI/AAAAAAALplI/oQb_jMr3Ba0VT7wWBsoI7aQWszuv99S_gCLcBGAsYHQ/s72-c/PHOTO-2020-05-09-15-48-32.jpg)
Dawa ya Taasisi ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR) yatoa mwanga wa matumaini kwa wagonjwa wa corona
![](https://1.bp.blogspot.com/-qtMEq3KMi9s/XrbJYe8s7jI/AAAAAAALplI/oQb_jMr3Ba0VT7wWBsoI7aQWszuv99S_gCLcBGAsYHQ/s640/PHOTO-2020-05-09-15-48-32.jpg)
DAWA iliyofanyiwa kazi na Taasisi ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR), imetoa mwanga wa matumaini kwa wagonjwa wa homa kali ya mapafu, inayosababishwa na virusi vya corona.
Dawa hiyo iliyopewa jina la NIMRCAF (pichani), inatokana na mchanganyiko wa vyakula; na katika majaribio imeonesha ina uwezo mkubwa wa kudhibiti virusi vya corona.
Akielezea mchanganyiko huo, Mkurugenzi wa Kitengo cha Tiba Asili cha NIMR, Dk Justine Omolo alisema ni fomula ya tiba lishe, ambayo ina mchanganyiko wa...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-fvgAMwkLVWA/VbFDsmau6bI/AAAAAAAHrXI/rNJjvjCq-zA/s72-c/images.jpg)
MAKALA YA SHERIA: NI MUHIMU SANA MFANYABIASHARA/MJASIARIAMALI/MNUNUZI WA BIDHAA KUYAJUA HAYA.
![](http://1.bp.blogspot.com/-fvgAMwkLVWA/VbFDsmau6bI/AAAAAAAHrXI/rNJjvjCq-zA/s1600/images.jpg)
Ni muhimu sana kwa wajasiriamali kujua mambo yaliyo kwenye sheria hii ili kuepuka migongano na migogoro ya kibiashara.
Sheria hii hueleza jambo fulani likitokea hivi kati ya muuzaji na mnunuzi nani ana haki na mengine mengi kama nitakavyoonesha hapa. Ili ujumbe kufika vyema ...
9 years ago
Dewji Blog02 Dec
Chama cha Afya ya Jamii (TPHA) watembelea Hospitali ya Utafiti wa magonjwa na tiba ya “The Benjamin Mkapa Ultramodern Hospitalâ€!!
Baadhi ya wanachama wa Chama cha Afya ya Jamii Tanzania ( Tanzania Health Public Association-TPHA) wakipata maelezo kutoka kwa mmoja wa maafisa wa Hospitali ya Utafiti wa magonjwa na Tiba ya “The Benjamin Mkapa Ultra modern Hospital” iliyopo ndani ya viunga vya Chuo kikuu cha Dodoma UDOM. Ziara hiyo imefanyika jana Desemba Mosi. (Picha zote na Andrew Chale, Modewjiblog).
[DODOMA] Chama cha Afya ya Jamii Tanzania ( Tanzania Health Public Association-TPHA) kipo katika mkutano wake mkuu wa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-w0ghQigOlTY/XozOZLMAV7I/AAAAAAALmcU/wmMsaB_Ki3EGRjtLlKk8R6gg3J9z7rIiwCLcBGAsYHQ/s72-c/ECJS3fZXUAINZYc.jpg)
MAZINGIRA HAYA NI MABAYA,NI MAGUMU NA YANAUMIZA SANA KISAIKOLOJIA,MTU ASIOMBE KABISA KUKOSA UHURU WA KUTOKA NDANI-TOGOLANI
![](https://1.bp.blogspot.com/-w0ghQigOlTY/XozOZLMAV7I/AAAAAAALmcU/wmMsaB_Ki3EGRjtLlKk8R6gg3J9z7rIiwCLcBGAsYHQ/s400/ECJS3fZXUAINZYc.jpg)
Nianze ujumbe wangu kwa kutangaza maslahi binafsi.
Hapa nilipo, hii ni wiki ya pili tunamaliza tukiwa chini ya “total lockdown”. Nchi nzima tunalazimika kukaa ndani muda na hatujui tutatoka lini. Sina hakika na watu wengine waliowahi kuishi mazingira ya aina hii, ila niseme kwa ujasiri kabisa kwamba mazingira haya ni mabaya, ni magumu, na yanaumiza sana kisaikolojia.
Muda mwingi huwezi kufanya lolote la maana kwa kuwa unakua kama umepoteza "network". Mtu asiombe kabisa kukosa uhuru...
9 years ago
Bongo507 Oct
Kukosekana kwa umoja wa wasanii kunasababisha wajanja wachache kunufaika — Nikki Wa Pili