Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Utafiti unaonyesha kuwa magonjwa mengi na ajali yanachangiwa na matumizi ya pombe

Na Chalila Kibuda,Globu ya Jamii
Utafiti unaonyesha kuwa magonjwa ya kifua Kikuu , Ukimwi ,Kansa pamoja na ajali zinachangiwa na matumizi ya pombe kwa kiwango cha juu, na vijana ndio waathirika wakubwa kutokana na kutokuwepo kwa sera ya matumizi ya pombe.
Utafiti huo umetolewa na Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu –Kituo cha Mwanza (NIMR),uliofanywa katika Mikoa ya Kilimanjaro na Mwanza na ambao ulilenga vijana kuanzia Miaka 15-24.
Wakizungumza katika semina ya wadau wa masula...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Utafiti:Kunyamba kunazuia magonjwa

Wanayansi wanasema wamegundua harufu mbaya kama vile ya kunyamba japo inachukiza kwa pua, ina manufaa makubwa kwa afya ya binadamu.

 

9 years ago

Bongo5

Utafiti: Kutazama sana TV kunasababisha magonjwa haya

couple-watching-tv-mainUtafiti mpya unaohusishwa na utazamaji wa TV uliopitiliza ufikao saa nane kwa siku unaweza kusababisha magonjwa hatari kama saratani, ugonjwa ini na Parkinson’s (kutetemeka). Watafiti kwenye taasisi ya taifa ya saratani, Michigan Marekani walibaini kuwa wale wanaotazama TV kwa saa tatu na nusu kwa siku hawapo kwenye hatari pekee ya kupata saratani au magonjwa ya […]

 

10 years ago

Habarileo

Utafiti: Unywaji pombe umeongeza watoto mitaani

POMBE imebainika kuleta athari nyingi za kijamii na kiuchumi miongoni mwake ikitajwa kuchangia ongezeko la watoto wanaoishi mitaani na ukatili wa kijinsia.

 

11 years ago

Mwananchi

Matumizi ya ARV, pombe yanavyohatarisha maisha

Watu wanaokunywa dawa za kufubaza makali ya Virusi Vya Ukimwi(ARV) huku wakitumia pombe kwa wingi wametajwa kujiweka katika hatari zaidi.

 

10 years ago

Michuzi

UTAFITI: AINA ZA POMBE NA UFANISI WAKE KWA WATUMIAJI!

1. Pombe za Chimpumu, Dengerua, Kabungusi, Kangara, Komoni, Mbege na Chibuku.
Hupoteza uwezo wa kufikili wa mtumiaji Huongeza ufanisi wa viungo vya mwili vilivyo katikati ya miguu ya mtumiaji chini ya kiuno kwa mbele, hivyo kuongeza uwezekano wa mtumiaji kujiusisha na ngono zisizo salama na kubaka. Zaidi ya 60% ya kesi zote za kubaka zilizotokana na ulevi zimehusishwa na utumiaji wa pombe hizi!Hukakamaza misuli ya midomo na kuongeza ufanisi wa koromeo (voicebox),hivyo si ajabu kuwakuta...

 

11 years ago

Mwananchi

Utafiti: Pombe huchochea hamu, uwezo wa kula zaidi

>Taasisi ya kimataifa ya uwiano wa uzito na lishe ya Slimming World yenye makao yake makuu nchini Uingereza, imefanya uchunguzi kuhusu watu wanaokunywa pombe na kubaini kuwa inawaongezea kasi ya kula kupita kiasi ndani ya saa 24.

 

9 years ago

Michuzi

HALFA YA KUFUNGA KONGAMANO LA 29 LA SAYANSI LILILOANDALIWA NA TAASISI YA TAIFA YA UTAFITI WA MAGONJWA YA BINADAMU.

Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Donald Mmbando akizungumza na wanasayansi wa magonjwa ya binadamu wakati wa hafla ya kufunga kongamano la 29 la Kisayansi lililoandaliwa na Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu ili kuwasilisha na kujadili matokeo ya tafiti za tiba katika maendeleo ya kijamii na kiuchumi. (Na Mpiga Picha Wetu).

 

5 years ago

Michuzi

Dawa ya Taasisi ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR) yatoa mwanga wa matumaini kwa wagonjwa wa corona


DAWA iliyofanyiwa kazi na Taasisi ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR), imetoa mwanga wa matumaini kwa wagonjwa wa homa kali ya mapafu, inayosababishwa na virusi vya corona.
Dawa hiyo iliyopewa jina la NIMRCAF (pichani), inatokana na mchanganyiko wa vyakula; na katika majaribio imeonesha ina uwezo mkubwa wa kudhibiti virusi vya corona. 

Akielezea mchanganyiko huo, Mkurugenzi wa Kitengo cha Tiba Asili cha NIMR, Dk Justine Omolo alisema ni fomula ya tiba lishe, ambayo ina mchanganyiko wa...

 

10 years ago

Mwananchi

Wataalamu: Tanzania iwe na sera maalumu kudhibiti matumizi ya pombe

Ni kawaida kushuhudia watu wengi, hasa nyakati za jioni, wakijiburudisha kwa kunywa pombe maeneo mbalimbali. Kuwapo kwa baa katika maeneo mengi nchini ni uthibitisho kuwa ni biashara yenye wateja wengi. Pombe zipo za aina nyingi kuanzia vinywaji vikali, yaani vyenye kiwango kikubwa cha kilevi pamoja na vile vya wastani.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani