Vijimambo: Namtafuta Ndugu Yangu, Alisema Anakwenda Harusini-JB
Kufuatia kichapo cha timu ya Yanga hapo jana, JB ameandika bandiko hili akimtafuta ndugu yake anaeonekana kwenye picha hapo juu.
“Amepotea:jamani namtafuta ndugu yangu pichani hapo juu.mara ya mwisho tulikwenda nae mpirani hakurudi kwenye gari na simu haipatikani.nyumbani pia hayuko.alisema anakwenda harusini,atakaye muona anijulishe au apige simu polisi”
Jamani mweye taarifa amsaidie JB.
Mzee wa Ubuyu
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies08 Mar
Vijimambo :Naelekea Harusini-Ray
Baada ya kuonekana kukataa kuweka dau mezani, Staa wa Bongo Movies ‘Ray’ ambae ni shabiki mkubwa wa Yanga ameshare nasi picha akiwa anaelekea kiwanjani kushuhudia mechi ya watani wa jadi, Simba na Yanga inayopigwa leo uwanja wataifa.
“Nimeshajiandaa tayari sasa naelekea harusini.....nasikia biharusi kapendeza sana”-aliandika na kumtagi JB
Baadhi ya watu wanamuliza bila majibu kama ameweka mazigo au la? Au hana uhakika na timu yake?
Siku ya jana JB ambae ni mshabiki wa Simba,...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/e94-*Sv1fqrqTXKxTow0k7P5EzOlFGTS*sHQFsZycdrvd4fH3tJuFz2d9tVEVsn9mLKkXpxynPTtnzhymaEzFG7BR-brcfvB/CHEKANAKITIME.jpg)
KUMBE RAIS MTARAJIWA NDUGU YANGU KABISA
11 years ago
Mwananchi30 Jul
Ajinyonga baada ya kuaga anakwenda Marekani
10 years ago
Bongo Movies01 Jan
Wastara:Marehemu Sajuki Alisema Atatakufa Mwaka Mpya
"Hii siku ya tal 31 mpka tal 2 January ni siku mbaya sana kwangu unifanya nilie kuliko siku zote uumwa sababu ya mawazo niliambiwa neno ambalo sikuwa tayari kulipokea, marehemu sajuki alisema.nitakufa huku watu bado wanasheherekea mwaka mpya nami nitakufa mwaka mpya alianza kuhesabu saa yake kufa tal 31 na kweli ilipofika tal 1 aliniomba nimtoroshe hosptal nimpelke beach akashike maji ya bahari kwa ya mwisho, ni rahisi sana wew kusoma haya maneno lakini ni maneno mazito na yenye kuchoma moyo...
10 years ago
Bongo Movies20 Apr
Picha: Nani Alisema Wazazi Hawana Mvuto?-Kajala
Kupitia ukurasa wake mtandaoni, staa wa Bongo Movies anaesifika kuwa figa matata ya kiafrika, Kajala Masanja ‘Kay’ amebandika picha akiwa katika pozi matata (Hiyo hapo juu) na kuachia swali ambalo bila shaka jibu lake lipo wazi wazi.
Kajala ambae ni mama wa mtoto mmoja ameuliza “Who said moms can't be SEXY???...”
Bila shaka wewe mwenyewe umejionea hapo juu, hebu mpe majibu.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/EWMw8iXl*iWIkJai7bVtr9dWdJZ3MHgQPEvNUCBYWoGzKprU871KQfUgIRAoLUxAPLvb6bI7bcE343XAr-NMoYI5j*vIQA5p/OMOTOLA_Invest_Africa_01Feb.jpg?width=650)
OMOTOLA: MUME WANGU ANAKWENDA SOKONI, MIMI NAPIKA
9 years ago
Bongo529 Dec
Mwana FA: Sijawahi kukaa na baba yangu maisha yangu yote (Video)
![12292738_1516860355279681_1179389451_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/12292738_1516860355279681_1179389451_n-300x194.jpg)
Pengine hukuwa unalijua hili. Mwana FA hajawahi kuishi na baba yake katika maisha yake yote.
FA ametuambia hilo baada ya kumuuliza tofauti ya malezi aliyoyapata kutoka kwa baba yake na yale anayompa mwanae wa kike, Malikah.
“Mimi sijawahi kukaa na baba yangu maisha yangu yote,” anasema.
“Nimekuwa naruka ruka sana, mara nakaa kwa shangazi yangu, mara nakaa kwa babu yangu, kwa bibi yangu ndiyo kwetu ilikuwa, kwa shangazi yangu mwingine hivyo,” ameongeza.
“Experience niliyokuwa naiona ni kwa...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-s_KR-9BAeIY/VQFY320X3zI/AAAAAAABdDE/31hVuNUncTA/s72-c/Tita%2B1.jpg)
NDUGU NSAJIGWA KENNEDY MWANG'ONDA ANATAFUTWA NA NDUGU ZAKE
![](http://4.bp.blogspot.com/-s_KR-9BAeIY/VQFY320X3zI/AAAAAAABdDE/31hVuNUncTA/s1600/Tita%2B1.jpg)
9 years ago
BBCSwahili14 Aug
Amisom waliwaua 6 harusini Somalia